"Kukataa Uwepo wa Mwenyezi Mungu: Ishara ya IQ ndogo na Utumwa wa Shetani"

"Kukataa Uwepo wa Mwenyezi Mungu: Ishara ya IQ ndogo na Utumwa wa Shetani"

Kwanza kabisa naona umeikosea sana demographic isiyoamini Mungu, hawa Watu sio kwamba wamejitakia iwe hivyo; mapito yao Katika maisha yamewapeleka katika huo mtazamo

Pili, sichukulii kukosa Imani juu ya uwepo wa Mwenyezi Mungu ni symptom ya low IQ, nachukulia situation hii kwamba mtu ana IQ kubwa maana "Kajiuliza Maswali" (low IQ kwenye Imani haziulizagi maswali bali zina tii tu)

Imani juu ya Mwenyezi Mungu hailazimishwi na wala haikaririshwi (wengi wamekariri),

Mwenyezi Mungu anajidhihirisha kama matokeo ya experience ya muda mrefu na tafakari ya maisha

Nenda kaishi na teja (ambaye haamini Mungu) mtaani afu uje uniambie haamini Mungu kwasababu ana low IQ
If something can be proved then that thing is true God can be proved kwahiyo yupo
Incase unakataa hiyo proval means una low IQ
 
Nchi ambazo zina low percentage ya huu ujinga zinaendelea kwa kasi kama China sisi tumezubaa tu na malumbano yasiyo na tija, na viingereza vya kukariri
 
KICHAKA CHA AKILI DUNI: KUKATAA UWEPO WA MWENYEZI MUNGU NI USHETANI
Haiwezekani dunia hii kubwa, mataifa yenye nguvu, na maajabu yasiyoelezeka viwepo halafu bado mtu adai Mungu hayupo! Hili ni jambo linaloonesha upungufu wa akili (IQ) na kushindwa kuona ukweli wa wazi kabisa.
1. Historia Inashuhudia
Kuanzia enzi za kale, watu wameamini Mungu. Manabii wamekuja, wamehubiri, na wamethibitisha uwepo Wake kwa miujiza. Je, yote haya ni hadithi za kubuni? au upinzani kutoka kwa watu wenye IQ ndogo.

2. Ushirikina Upo Lakini Mungu Hayupo?
Wale wanaosema Mungu hayupo bado wanaamini uchawi na nguvu za giza. Ikiwa nguvu hizo za giza zipo, je, huoni kuwa kuna nguvu ya mwanga inayozishinda?

3. Maombi Yanaponya
Watu wameombewa na wakapona magonjwa ambayo hata sayansi ilishindwa kueleza. Wapo waliokaribia kufa, lakini maombi yamewarejesha. Huu ni ushahidi wa moja kwa moja kwamba Mungu yupo.

4. Uislamu, Ibada, na Kufunga
Kwa nini mamilioni ya watu hufunga Ramadhani, huswali, na kuabudu kila siku kwa nidhamu ya hali ya juu? Kwa nini dini kubwa duniani zina mfumo thabiti wa ibada? Je, unadhani hii yote ni bahati mbaya? au mtazamo wa watu wenye IQ ndogo hushindwa kufikiri.

5. "If something can be proved, then that thing is absolutely correct."
Ushahidi wa uwepo wa Mwenyezi Mungu upo kila mahali, ila upofu wa kiakili na kiroho huwazuia watu kuutambua. Kukataa ukweli huu ni sawa na kusema jua halipo kwa sababu tu umefumba macho!

6. Hisia za Kiroho Ndani ya Mwanadamu
Kila mtu kwa asili ana hisia za kutafuta maana ya maisha. Hili linaonesha kuwa ndani ya roho ya binadamu kuna kitu kinachomtamanisha Muumba wake.


7. Dini na Mfumo wa Ibada Uliodumu Karne Nyingi
Tangu enzi za mababu zetu, watu wamekuwa wakiabudu nguvu kubwa isiyoonekana. Kuabudu, kufunga, na sala vimekuwepo kwa miaka mingi na vinaendelea kudumu.

8. Ushirikina na Nguvu za Giza
Ikiwa nguvu za giza na uchawi zipo, basi kuna nguvu ya mwanga inayoyashinda. Na hiyo ni nguvu ya Mungu. Katika kila dini na tamaduni, watu huamini nguvu zisizoonekana. Hili linathibitisha kuwa kuna ulimwengu wa kiroho unaodhibitiwa na Mwenyezi Mungu.

9. Uwepo wa Ulimwengu na Utaratibu Wake
Ulimwengu haukujitokeza tu kutoka kwenye "kitu kisicho na mpangilio." Sayansi inakiri kuwa kila kitu kilitokana na chanzo fulani, na huo ni Uwezo wa Mungu. Sayari, jua, mwezi, na nyota zote zina mpangilio maalum na hazigongani. Ni nani anayezidhibiti?


10. Muujiza wa Uhai
Binadamu, wanyama, na mimea vyote vina mfumo wa kushangaza unaofanya kazi kwa usahihi mkubwa. Damu inapita mwilini, moyo unadunda bila kupumzika, ubongo unafanya kazi bila kushindwa. Yote haya hayawezi kuwa matokeo ya bahati mbaya

Kwa Nini Tunasema Una IQ Ndogo Ukikataa Uwepo wa Mwenyezi Mungu?
1. Unapuuza Ukweli Ulio Wazi:
Ulimwengu una mpangilio kamili, lakini bado unadai haujaumbwa na nguvu yoyote.

2. Sayansi Hata Yenyewe Haikanushi Mungu: Wanasayansi wengi wanakiri kuwa kuna nguvu kubwa inayoendesha vitu, lakini bado unakataa.

3. Unakubali Ushirikina Lakini Hukubali Mungu: Unaamini uchawi na nguvu za giza zipo, lakini hukubali kuwa kuna nguvu ya mwanga inayoyashinda.

4. Unakataa Historia ya Manabii: Manabii wengi wamekuja na ushahidi wa Mungu, lakini bado huamini.

5. Unapinga Maombi Yanavyoponya: Watu wamepona kupitia maombi, lakini bado unashikilia msimamo wako wa kukataa Mungu.

6. Unapuuza Miujiza ya Maumbile: Jinsi mwili wa binadamu unavyofanya kazi, mpangilio wa dunia, na viumbe vya ajabu vyote ni ushahidi wa Muumba.

7. Huwezi Kutoa Maelezo Mbadala: Unakataa Mungu lakini huwezi kueleza kwa ufasaha nani aliyeumba vyote.

8. Unajidanganya Mwenyewe: Unasema Mungu hayupo, lakini unapopatwa na shida kubwa, unamuita Yeye kwa msaada.

9. Unadhani Wewe Ndiye Mwerevu Kuliko Wengine Wote: Mamilioni ya watu wanaamini Mungu, lakini unadhani wao wote wamekosea na wewe peke yako uko sahihi.


Kwa hiyo, mwenye IQ ndogo ndiye atakayekataa uwepo wa Mungu, na mwenye akili timamu atatafakari, kuelewa, na kukubali ukweli dhahiri wa uwepo wa Muumba wa vyote!
Sijui shida ni nini labda!!!!!!!!

🥶🥶🥶
 
KICHAKA CHA AKILI DUNI: KUKATAA UWEPO WA MWENYEZI MUNGU NI USHETANI
Haiwezekani dunia hii kubwa, mataifa yenye nguvu, na maajabu yasiyoelezeka viwepo halafu bado mtu adai Mungu hayupo! Hili ni jambo linaloonesha upungufu wa akili (IQ) na kushindwa kuona ukweli wa wazi kabisa.
1. Historia Inashuhudia
Kuanzia enzi za kale, watu wameamini Mungu. Manabii wamekuja, wamehubiri, na wamethibitisha uwepo Wake kwa miujiza. Je, yote haya ni hadithi za kubuni? au upinzani kutoka kwa watu wenye IQ ndogo.

2. Ushirikina Upo Lakini Mungu Hayupo?
Wale wanaosema Mungu hayupo bado wanaamini uchawi na nguvu za giza. Ikiwa nguvu hizo za giza zipo, je, huoni kuwa kuna nguvu ya mwanga inayozishinda?

3. Maombi Yanaponya
Watu wameombewa na wakapona magonjwa ambayo hata sayansi ilishindwa kueleza. Wapo waliokaribia kufa, lakini maombi yamewarejesha. Huu ni ushahidi wa moja kwa moja kwamba Mungu yupo.

4. Uislamu, Ibada, na Kufunga
Kwa nini mamilioni ya watu hufunga Ramadhani, huswali, na kuabudu kila siku kwa nidhamu ya hali ya juu? Kwa nini dini kubwa duniani zina mfumo thabiti wa ibada? Je, unadhani hii yote ni bahati mbaya? au mtazamo wa watu wenye IQ ndogo hushindwa kufikiri.

5. "If something can be proved, then that thing is absolutely correct."
Ushahidi wa uwepo wa Mwenyezi Mungu upo kila mahali, ila upofu wa kiakili na kiroho huwazuia watu kuutambua. Kukataa ukweli huu ni sawa na kusema jua halipo kwa sababu tu umefumba macho!

6. Hisia za Kiroho Ndani ya Mwanadamu
Kila mtu kwa asili ana hisia za kutafuta maana ya maisha. Hili linaonesha kuwa ndani ya roho ya binadamu kuna kitu kinachomtamanisha Muumba wake.


7. Dini na Mfumo wa Ibada Uliodumu Karne Nyingi
Tangu enzi za mababu zetu, watu wamekuwa wakiabudu nguvu kubwa isiyoonekana. Kuabudu, kufunga, na sala vimekuwepo kwa miaka mingi na vinaendelea kudumu.

8. Ushirikina na Nguvu za Giza
Ikiwa nguvu za giza na uchawi zipo, basi kuna nguvu ya mwanga inayoyashinda. Na hiyo ni nguvu ya Mungu. Katika kila dini na tamaduni, watu huamini nguvu zisizoonekana. Hili linathibitisha kuwa kuna ulimwengu wa kiroho unaodhibitiwa na Mwenyezi Mungu.

9. Uwepo wa Ulimwengu na Utaratibu Wake
Ulimwengu haukujitokeza tu kutoka kwenye "kitu kisicho na mpangilio." Sayansi inakiri kuwa kila kitu kilitokana na chanzo fulani, na huo ni Uwezo wa Mungu. Sayari, jua, mwezi, na nyota zote zina mpangilio maalum na hazigongani. Ni nani anayezidhibiti?


10. Muujiza wa Uhai
Binadamu, wanyama, na mimea vyote vina mfumo wa kushangaza unaofanya kazi kwa usahihi mkubwa. Damu inapita mwilini, moyo unadunda bila kupumzika, ubongo unafanya kazi bila kushindwa. Yote haya hayawezi kuwa matokeo ya bahati mbaya

Kwa Nini Tunasema Una IQ Ndogo Ukikataa Uwepo wa Mwenyezi Mungu?
1. Unapuuza Ukweli Ulio Wazi:
Ulimwengu una mpangilio kamili, lakini bado unadai haujaumbwa na nguvu yoyote.

2. Sayansi Hata Yenyewe Haikanushi Mungu: Wanasayansi wengi wanakiri kuwa kuna nguvu kubwa inayoendesha vitu, lakini bado unakataa.

3. Unakubali Ushirikina Lakini Hukubali Mungu: Unaamini uchawi na nguvu za giza zipo, lakini hukubali kuwa kuna nguvu ya mwanga inayoyashinda.

4. Unakataa Historia ya Manabii: Manabii wengi wamekuja na ushahidi wa Mungu, lakini bado huamini.

5. Unapinga Maombi Yanavyoponya: Watu wamepona kupitia maombi, lakini bado unashikilia msimamo wako wa kukataa Mungu.

6. Unapuuza Miujiza ya Maumbile: Jinsi mwili wa binadamu unavyofanya kazi, mpangilio wa dunia, na viumbe vya ajabu vyote ni ushahidi wa Muumba.

7. Huwezi Kutoa Maelezo Mbadala: Unakataa Mungu lakini huwezi kueleza kwa ufasaha nani aliyeumba vyote.

8. Unajidanganya Mwenyewe: Unasema Mungu hayupo, lakini unapopatwa na shida kubwa, unamuita Yeye kwa msaada.

9. Unadhani Wewe Ndiye Mwerevu Kuliko Wengine Wote: Mamilioni ya watu wanaamini Mungu, lakini unadhani wao wote wamekosea na wewe peke yako uko sahihi.


Kwa hiyo, mwenye IQ ndogo ndiye atakayekataa uwepo wa Mungu, na mwenye akili timamu atatafakari, kuelewa, na kukubali ukweli dhahiri wa uwepo wa Muumba wa vyote!
Hata kushupalia kumtangaza na kumtetea kuua au kufia Mungu "muweza" ni ishara tosha ya akili ndogo kama si upunguani mwanangu.
 
KICHAKA CHA AKILI DUNI: KUKATAA UWEPO WA MWENYEZI MUNGU NI USHETANI
Haiwezekani dunia hii kubwa, mataifa yenye nguvu, na maajabu yasiyoelezeka viwepo halafu bado mtu adai Mungu hayupo! Hili ni jambo linaloonesha upungufu wa akili (IQ) na kushindwa kuona ukweli wa wazi kabisa.
1. Historia Inashuhudia
Kuanzia enzi za kale, watu wameamini Mungu. Manabii wamekuja, wamehubiri, na wamethibitisha uwepo Wake kwa miujiza. Je, yote haya ni hadithi za kubuni? au upinzani kutoka kwa watu wenye IQ ndogo.

2. Ushirikina Upo Lakini Mungu Hayupo?
Wale wanaosema Mungu hayupo bado wanaamini uchawi na nguvu za giza. Ikiwa nguvu hizo za giza zipo, je, huoni kuwa kuna nguvu ya mwanga inayozishinda?

3. Maombi Yanaponya
Watu wameombewa na wakapona magonjwa ambayo hata sayansi ilishindwa kueleza. Wapo waliokaribia kufa, lakini maombi yamewarejesha. Huu ni ushahidi wa moja kwa moja kwamba Mungu yupo.

4. Uislamu, Ibada, na Kufunga
Kwa nini mamilioni ya watu hufunga Ramadhani, huswali, na kuabudu kila siku kwa nidhamu ya hali ya juu? Kwa nini dini kubwa duniani zina mfumo thabiti wa ibada? Je, unadhani hii yote ni bahati mbaya? au mtazamo wa watu wenye IQ ndogo hushindwa kufikiri.

5. "If something can be proved, then that thing is absolutely correct."
Ushahidi wa uwepo wa Mwenyezi Mungu upo kila mahali, ila upofu wa kiakili na kiroho huwazuia watu kuutambua. Kukataa ukweli huu ni sawa na kusema jua halipo kwa sababu tu umefumba macho!

6. Hisia za Kiroho Ndani ya Mwanadamu
Kila mtu kwa asili ana hisia za kutafuta maana ya maisha. Hili linaonesha kuwa ndani ya roho ya binadamu kuna kitu kinachomtamanisha Muumba wake.


7. Dini na Mfumo wa Ibada Uliodumu Karne Nyingi
Tangu enzi za mababu zetu, watu wamekuwa wakiabudu nguvu kubwa isiyoonekana. Kuabudu, kufunga, na sala vimekuwepo kwa miaka mingi na vinaendelea kudumu.

8. Ushirikina na Nguvu za Giza
Ikiwa nguvu za giza na uchawi zipo, basi kuna nguvu ya mwanga inayoyashinda. Na hiyo ni nguvu ya Mungu. Katika kila dini na tamaduni, watu huamini nguvu zisizoonekana. Hili linathibitisha kuwa kuna ulimwengu wa kiroho unaodhibitiwa na Mwenyezi Mungu.

9. Uwepo wa Ulimwengu na Utaratibu Wake
Ulimwengu haukujitokeza tu kutoka kwenye "kitu kisicho na mpangilio." Sayansi inakiri kuwa kila kitu kilitokana na chanzo fulani, na huo ni Uwezo wa Mungu. Sayari, jua, mwezi, na nyota zote zina mpangilio maalum na hazigongani. Ni nani anayezidhibiti?


10. Muujiza wa Uhai
Binadamu, wanyama, na mimea vyote vina mfumo wa kushangaza unaofanya kazi kwa usahihi mkubwa. Damu inapita mwilini, moyo unadunda bila kupumzika, ubongo unafanya kazi bila kushindwa. Yote haya hayawezi kuwa matokeo ya bahati mbaya

Kwa Nini Tunasema Una IQ Ndogo Ukikataa Uwepo wa Mwenyezi Mungu?
1. Unapuuza Ukweli Ulio Wazi:
Ulimwengu una mpangilio kamili, lakini bado unadai haujaumbwa na nguvu yoyote.

2. Sayansi Hata Yenyewe Haikanushi Mungu: Wanasayansi wengi wanakiri kuwa kuna nguvu kubwa inayoendesha vitu, lakini bado unakataa.

3. Unakubali Ushirikina Lakini Hukubali Mungu: Unaamini uchawi na nguvu za giza zipo, lakini hukubali kuwa kuna nguvu ya mwanga inayoyashinda.

4. Unakataa Historia ya Manabii: Manabii wengi wamekuja na ushahidi wa Mungu, lakini bado huamini.

5. Unapinga Maombi Yanavyoponya: Watu wamepona kupitia maombi, lakini bado unashikilia msimamo wako wa kukataa Mungu.

6. Unapuuza Miujiza ya Maumbile: Jinsi mwili wa binadamu unavyofanya kazi, mpangilio wa dunia, na viumbe vya ajabu vyote ni ushahidi wa Muumba.

7. Huwezi Kutoa Maelezo Mbadala: Unakataa Mungu lakini huwezi kueleza kwa ufasaha nani aliyeumba vyote.

8. Unajidanganya Mwenyewe: Unasema Mungu hayupo, lakini unapopatwa na shida kubwa, unamuita Yeye kwa msaada.

9. Unadhani Wewe Ndiye Mwerevu Kuliko Wengine Wote: Mamilioni ya watu wanaamini Mungu, lakini unadhani wao wote wamekosea na wewe peke yako uko sahihi.


Kwa hiyo, mwenye IQ ndogo ndiye atakayekataa uwepo wa Mungu, na mwenye akili timamu atatafakari, kuelewa, na kukubali ukweli dhahiri wa uwepo wa Muumba wa vyote!
Ukiona mtu anapinga uwepo wa Mungu ni either amekaririshwa na watu ama ameamua tu kwa kiburi chake
 
Back
Top Bottom