"Kukataa Uwepo wa Mwenyezi Mungu: Ishara ya IQ ndogo na Utumwa wa Shetani"

If something can be proved then that thing is true God can be proved kwahiyo yupo
Incase unakataa hiyo proval means una low IQ
 
Nchi ambazo zina low percentage ya huu ujinga zinaendelea kwa kasi kama China sisi tumezubaa tu na malumbano yasiyo na tija, na viingereza vya kukariri
 
Sijui shida ni nini labda!!!!!!!!

🥶🥶🥶
 
Hata kushupalia kumtangaza na kumtetea kuua au kufia Mungu "muweza" ni ishara tosha ya akili ndogo kama si upunguani mwanangu.
 
Ukiona mtu anapinga uwepo wa Mungu ni either amekaririshwa na watu ama ameamua tu kwa kiburi chake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…