USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Spika wa a bunge Dk Tulia Aksoni amehairisha bunge leo baada ya hitilafu kubwa ya umeme hii ni hujuma dhidi ya waziri au nchi hii imeshindikana.
Hapa wazidi lazima awajike na timu yake, tutamkumbuka sana Rais Magufuli kwa haya yanayoendelea sasa.
Tulianza kuona shida ya umeme tangu januari awe waziri na akasema shida ni maji mvua ziliponyesha akabadilisha akasema shida ni uchakavu wa mitambo kwamba kwa miaka mitano ya jpm kukuwa na service yoyote sasa sijui ana sababu gani nyingine
Ukakatika sana majumbani kisha kwenye taasisi kama pale kwa mkapa na watu wanafukuzwa kazi sijui sasa Bungeni watasemaje?
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa wazidi lazima awajike na timu yake, tutamkumbuka sana Rais Magufuli kwa haya yanayoendelea sasa.
Tulianza kuona shida ya umeme tangu januari awe waziri na akasema shida ni maji mvua ziliponyesha akabadilisha akasema shida ni uchakavu wa mitambo kwamba kwa miaka mitano ya jpm kukuwa na service yoyote sasa sijui ana sababu gani nyingine
Ukakatika sana majumbani kisha kwenye taasisi kama pale kwa mkapa na watu wanafukuzwa kazi sijui sasa Bungeni watasemaje?
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app