Kukatika umeme Bungeni hadi Bunge kuhairishwa hii ni dhahiri kuwa Serikali imeshindwa kutawala

Kukatika umeme Bungeni hadi Bunge kuhairishwa hii ni dhahiri kuwa Serikali imeshindwa kutawala

Tayari TANESCO wamesharuka kimanga, wamesema hawahusiki maana hiyo laini ya bunge haina shida upande wao.

Ipo siku hata hii katika ya mitaani wataikana kutokuhusika halafu kila siku wanatuma ujumbe wakiomba mrejesho wa huduma zao ili waboreshe,si uchuro huo.

Kama kukatika kwa umeme kunakoonekana hadi na walemavu wa macho wameshindwa nikishauri waanze kuunganisha wateja umeme kwa mfumo wa wireless je!

Matatizo yao wanayajua,maoni gani zaidi wanataka?
 
Siku hizi tumeshazoea umeme ukikatika jua kuna jambo linaumbwa.

Wanachanganya mambo yawe meeengi ili tusifike mwafaka.

WAZIRI WA BIASHARA, TRA, EFD ndio HEAD LINE
Hii nchi tumeshazoea hizi aibu ndogo ndogo kwa hiyo hakuna anayejali.
 
Spika wa a bunge Dk Tulia Aksoni amehairisha bunge leo baada ya hitilafu kubwa ya umeme hii ni hujuma dhidi ya waziri au nchi hii imeshindikana.

Hapa wazidi lazima awajike na timu yake, tutamkumbuka sana Rais Magufuli kwa haya yanayoendelea sasa.

Tulianza kuona shida ya umeme tangu januari awe waziri na akasema shida ni maji mvua ziliponyesha akabadilisha akasema shida ni uchakavu wa mitambo kwamba kwa miaka mitano ya jpm kukuwa na service yoyote sasa sijui ana sababu gani nyingine

Ukakatika sana majumbani kisha kwenye taasisi kama pale kwa mkapa na watu wanafukuzwa kazi sijui sasa Bungeni watasemaje?


USSR


Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni hitilafu haina shida kwani ni kitu hutokea bila taarifa. Na kumhusisha January na hiyo hitilafu siyo sahihi kwa sababu hakuisababisha yeye. Get it in your skull , dude
 
Spika wa a bunge Dk Tulia Aksoni amehairisha bunge leo baada ya hitilafu kubwa ya umeme hii ni hujuma dhidi ya waziri au nchi hii imeshindikana.

Hapa wazidi lazima awajike na timu yake, tutamkumbuka sana Rais Magufuli kwa haya yanayoendelea sasa.

Tulianza kuona shida ya umeme tangu januari awe waziri na akasema shida ni maji mvua ziliponyesha akabadilisha akasema shida ni uchakavu wa mitambo kwamba kwa miaka mitano ya jpm kukuwa na service yoyote sasa sijui ana sababu gani nyingine

Ukakatika sana majumbani kisha kwenye taasisi kama pale kwa mkapa na watu wanafukuzwa kazi sijui sasa Bungeni watasemaje?


USSR


Sent using Jamii Forums mobile app
Bunge halina jenereta?. Aisee hili bunge linatumika sana kwenye ujinga.
 
Hivi hawanaga na usitishaji wa posho zao Kama wanavyositishaga vikao
 
Ni umeme wa gridi auni umeme wa jengo la bunge?

Maana naamini jengo la bunge litakuwa na backup power ya D.G, hivyo hata kama Tanesco akiwa off ina maana kuna D.G inabidi iwake...
Kipara huwa huwa anasingiziaga kunguru ndo wanapigisha short
 
Wizara ya Nishati apewe Bashe,Mama afanye Cabinet Reshuffle haraka, huyu Msambaa kashiba sasa anautaka Uraisi wa Nchi kauchoka Uraisi wa Bumbuli.
Hapo Nishati arudi Kalemani,uyo Bashe akaungane na MwanaFA kule Michezo na Utamaduni.
 
Hili SSH amejitakia, unamtoa Kalemani unamleta Makamba, seriously???

Mbaya zaidi management ya TANESCO ameweka wafanyabiashara akiamini wataweza kulisukuma shirika lijiendeshe kibiashara.
Wale Bankers wakina Mchechu, Mafuru et al!
 
Siku hizi tumeshazoea umeme ukikatika jua kuna jambo linaumbwa.

Wanachanganya mambo yawe meeengi ili tusifike mwafaka.

WAZIRI WA BIASHARA, TRA, EFD ndio HEAD LINE
Una akili sana, kuna mjinga huko ndani alikuwa anaweka breaker ON and OFF kutuchanganya raia. Mchongo huo
 
Asalaaale! Angekuepo JPM huu umeme ungekatika na ajira za watu huu!
 
Umekatwa makusudi, bwana tozo anataka kupanga mipango ya kuwadhibiti viongozi wa wafanyabiashara kkoo
 
Back
Top Bottom