Kukatika umeme Bungeni hadi Bunge kuhairishwa hii ni dhahiri kuwa Serikali imeshindwa kutawala

Kukatika umeme Bungeni hadi Bunge kuhairishwa hii ni dhahiri kuwa Serikali imeshindwa kutawala

Hivi bunge pamoja na kupeana mafao kabla ya kazi wanashindwa kununua STANDBY GENERATOR? Au plan b wakati wa power outage?
Ma injinia wa umeme wako Kariakoo wanauza nyanya wao wanashindwa kuajiri wawili?
 
Hivi bunge pamoja na kupeana mafao kabla ya kazi wanashindwa kununua STANDBY GENERATOR? Au plan b wakati wa power outage?
Ma injinia wa umeme wako Kariakoo wanauza nyanya wao wanashindwa kuajiri wawili?
Ahirisha, siyo hairisha.
 
Hata uwanja wa Taifa unakatika kila mara,Leo bungeni, hii agenda ifanyiwe kazi haraka
 
Spika wa a bunge Dk Tulia Aksoni amehairisha bunge leo baada ya hitilafu kubwa ya umeme hii ni hujuma dhidi ya waziri au nchi hii imeshindikana.

Hapa wazidi lazima awajike na timu yake, tutamkumbuka sana Rais Magufuli kwa haya yanayoendelea sasa.

Tulianza kuona shida ya umeme tangu januari awe waziri na akasema shida ni maji mvua ziliponyesha akabadilisha akasema shida ni uchakavu wa mitambo kwamba kwa miaka mitano ya jpm kukuwa na service yoyote sasa sijui ana sababu gani nyingine

Ukakatika sana majumbani kisha kwenye taasisi kama pale kwa mkapa na watu wanafukuzwa kazi sijui sasa Bungeni watasemaje ?


USSR
View attachment 2622580

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeshaasema kuwa tatizo ni kiongozi namba moja
 
Wamekwepa ishu ya kariakoo ndo maana wamezima umeme makusudi huu mgomo ni kaa la Moto Kwa serikali..
Huu ni mgomo ambao utaingia Hadi mikoani
 
Spika wa a bunge Dk Tulia Aksoni amehairisha bunge leo baada ya hitilafu kubwa ya umeme hii ni hujuma dhidi ya waziri au nchi hii imeshindikana.

Hapa wazidi lazima awajike na timu yake, tutamkumbuka sana Rais Magufuli kwa haya yanayoendelea sasa.

Tulianza kuona shida ya umeme tangu januari awe waziri na akasema shida ni maji mvua ziliponyesha akabadilisha akasema shida ni uchakavu wa mitambo kwamba kwa miaka mitano ya jpm kukuwa na service yoyote sasa sijui ana sababu gani nyingine

Ukakatika sana majumbani kisha kwenye taasisi kama pale kwa mkapa na watu wanafukuzwa kazi sijui sasa Bungeni watasemaje ?


USSR
View attachment 2622580

Sent using Jamii Forums mobile app
........duu hii ni fedhea Sasa, kule uwanja wa mkapa nilichukulia labda ni kutoipa thamani michezo, Sasa na bungeni tena, eneo nyeti linakosaje regular and daily checking(maintenance)ya miundombinu ya umeme, au kuna kikundi kinataka kudhalilisha mamlaka za juu, ingawa nina uhakika kuwajibika kutafuta ila haifuti doa hilo, tusipomakinika hili linaweza kutokea hata white house, kwakweli hili limenisikitisha sana......
 
Spika wa a bunge Dk Tulia Aksoni amehairisha bunge leo baada ya hitilafu kubwa ya umeme hii ni hujuma dhidi ya waziri au nchi hii imeshindikana.

Hapa wazidi lazima awajike na timu yake, tutamkumbuka sana Rais Magufuli kwa haya yanayoendelea sasa.

Tulianza kuona shida ya umeme tangu januari awe waziri na akasema shida ni maji mvua ziliponyesha akabadilisha akasema shida ni uchakavu wa mitambo kwamba kwa miaka mitano ya jpm kukuwa na service yoyote sasa sijui ana sababu gani nyingine

Ukakatika sana majumbani kisha kwenye taasisi kama pale kwa mkapa na watu wanafukuzwa kazi sijui sasa Bungeni watasemaje ?


USSR
View attachment 2622580

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kitu kinaandaliwa...
Aibu kubwa hii.
 
Ni umeme wa gridi auni umeme wa jengo la bunge?

Maana naamini jengo la bunge litakuwa na backup power ya D.G, hivyo hata kama Tanesco akiwa off ina maana kuna D.G inabidi iwake...
 
Hiyo nzuri ili na wao wajionee uhovyo wa shirika la tanesco.sisi huku kwetu tumezoea kwa siku umeme unakata zaidi ya mara nne.
 
Mnapangwa ili muone kwamba hili sio swala la kuwajibika ni dharula kweli kweli[emoji1787][emoji1787]
 
Umeme umekatika kwa technical fault Ndani ya mfumo wa Umeme wa Bunge na sio kwa sababu ya Umeme kukatika toka TAENSCO.We jamaa huwa muongo muongo sana.
Technical fault? Bungeni? Hauko serious wewe!

London, walikaa miaka 88 bila kujua kama kuna hitilafu ya umeme au kukatika kwa umeme, ulizima kwa dk 2, ikawa gumzo nchi nzima!

Hitilafu mitaani, hitilafu viwanjani, hitilafu kwenye hadhara ya raisi Kilimanjaro, hitilafu bungeni, kweli?

Ebu weka utaratibu wa ukaguzi wa mfumo wa umeme wa jengo nyeti kama hilo ili tuone hiyo hitilafu iliwezaje kutokuonekana au kuotewa mapema?
 
Spika wa a bunge Dk Tulia Aksoni amehairisha bunge leo baada ya hitilafu kubwa ya umeme hii ni hujuma dhidi ya waziri au nchi hii imeshindikana.

Hapa wazidi lazima awajike na timu yake, tutamkumbuka sana Rais Magufuli kwa haya yanayoendelea sasa.

Tulianza kuona shida ya umeme tangu januari awe waziri na akasema shida ni maji mvua ziliponyesha akabadilisha akasema shida ni uchakavu wa mitambo kwamba kwa miaka mitano ya jpm kukuwa na service yoyote sasa sijui ana sababu gani nyingine

Ukakatika sana majumbani kisha kwenye taasisi kama pale kwa mkapa na watu wanafukuzwa kazi sijui sasa Bungeni watasemaje ?


USSR
View attachment 2622580

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni umeme kukatika au ni hitilafu hapo kwenye mfumo wa umeme bungeni..?
Ebu tuwekeni sawa kwenye hili
 
Back
Top Bottom