Hii nchi tumeshazoea hizi aibu ndogo ndogo kwa hiyo hakuna anayejali.Siku hizi tumeshazoea umeme ukikatika jua kuna jambo linaumbwa.
Wanachanganya mambo yawe meeengi ili tusifike mwafaka.
WAZIRI WA BIASHARA, TRA, EFD ndio HEAD LINE
Kama ni hitilafu haina shida kwani ni kitu hutokea bila taarifa. Na kumhusisha January na hiyo hitilafu siyo sahihi kwa sababu hakuisababisha yeye. Get it in your skull , dudeSpika wa a bunge Dk Tulia Aksoni amehairisha bunge leo baada ya hitilafu kubwa ya umeme hii ni hujuma dhidi ya waziri au nchi hii imeshindikana.
Hapa wazidi lazima awajike na timu yake, tutamkumbuka sana Rais Magufuli kwa haya yanayoendelea sasa.
Tulianza kuona shida ya umeme tangu januari awe waziri na akasema shida ni maji mvua ziliponyesha akabadilisha akasema shida ni uchakavu wa mitambo kwamba kwa miaka mitano ya jpm kukuwa na service yoyote sasa sijui ana sababu gani nyingine
Ukakatika sana majumbani kisha kwenye taasisi kama pale kwa mkapa na watu wanafukuzwa kazi sijui sasa Bungeni watasemaje?
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Bunge halina jenereta?. Aisee hili bunge linatumika sana kwenye ujinga.Spika wa a bunge Dk Tulia Aksoni amehairisha bunge leo baada ya hitilafu kubwa ya umeme hii ni hujuma dhidi ya waziri au nchi hii imeshindikana.
Hapa wazidi lazima awajike na timu yake, tutamkumbuka sana Rais Magufuli kwa haya yanayoendelea sasa.
Tulianza kuona shida ya umeme tangu januari awe waziri na akasema shida ni maji mvua ziliponyesha akabadilisha akasema shida ni uchakavu wa mitambo kwamba kwa miaka mitano ya jpm kukuwa na service yoyote sasa sijui ana sababu gani nyingine
Ukakatika sana majumbani kisha kwenye taasisi kama pale kwa mkapa na watu wanafukuzwa kazi sijui sasa Bungeni watasemaje?
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora CHAUMMAUnataka chama gani kitawale?
Kipara huwa huwa anasingiziaga kunguru ndo wanapigisha shortNi umeme wa gridi auni umeme wa jengo la bunge?
Maana naamini jengo la bunge litakuwa na backup power ya D.G, hivyo hata kama Tanesco akiwa off ina maana kuna D.G inabidi iwake...
Hapo Nishati arudi Kalemani,uyo Bashe akaungane na MwanaFA kule Michezo na Utamaduni.Wizara ya Nishati apewe Bashe,Mama afanye Cabinet Reshuffle haraka, huyu Msambaa kashiba sasa anautaka Uraisi wa Nchi kauchoka Uraisi wa Bumbuli.
Wale Bankers wakina Mchechu, Mafuru et al!Hili SSH amejitakia, unamtoa Kalemani unamleta Makamba, seriously???
Mbaya zaidi management ya TANESCO ameweka wafanyabiashara akiamini wataweza kulisukuma shirika lijiendeshe kibiashara.
Au apewe Biteko ambaye ni machachari sana.Hapo Nishati arudi Kalemani,uyo Bashe akaungane na MwanaFA kule Michezo na Utamaduni.
Asee aibu kweli [emoji3] lakini wao waoni cha ajabuKuna siku huko Kilimanjaro umeme ulikata wakat Rais anahutubia na Bado hakuna hatua iliyochukuliwa
Sembuse bunge
Una akili sana, kuna mjinga huko ndani alikuwa anaweka breaker ON and OFF kutuchanganya raia. Mchongo huoSiku hizi tumeshazoea umeme ukikatika jua kuna jambo linaumbwa.
Wanachanganya mambo yawe meeengi ili tusifike mwafaka.
WAZIRI WA BIASHARA, TRA, EFD ndio HEAD LINE
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nyie hii nchi hii[emoji16][emoji16][emoji16]
hii ndio TanzaniaHawana Genereta???
Mtoto pendwa huyo hagusiki [emoji3],kuna uzi uliletwa huku kipindi Magu amefariki kuhusu mzee makamba kumwombea mwanae hio nafasi ya nishatimambo ya first born wa mama