Elections 2015 Kukatwa kwa Lowassa, ni mwisho wa ile safari, au ni mwanzo wa Safari Halisi ya Matumaini?

Elections 2015 Kukatwa kwa Lowassa, ni mwisho wa ile safari, au ni mwanzo wa Safari Halisi ya Matumaini?

Kwa kweli Pasco huyu jamaa
angelikuwa anaishi nchi kama UK.
sasa hivi angelikuwa Jela.
 
Kichwa cha habari hapo juu chahusika!

1. Andaa mkutano wa hadhara hapo JANGWANI, Kwenye huo mkutano hakikisha Unamwaga MBOGA, UGALI, MAJI YA KUNAWA NA yA KunYWA! mwaga kila kitu usibaki hata kimoja!

2. Hakikisha Unawaomba radhi na kutubu madhambi yote mliyowafanyia "watanzania" tangu uhuru ilipokuwa ccm!

3.Hakikisha Unaongozwa sala ya toba na hapo hapo uwanjani na mchungaji yeyote utakayemwandaa kwa ajili ya tukio hilo(hili ni muhimu sana ili kuzawaliwa upya baada ya kumtumia shetani(ccm) kwa muda mrefu!

4.Baada ya kukamilisha taratibu hizo hapo juu OMBA UKAWA WAKUPOKEE KWA MIKONO MIWILI na UPEWE KADI AMA YA CDM/CUF/NCCR-MAGEUZI/NLD!

5.Baada ya hiyo no4 sasa washukuru UKAWA na wananchi kwa ujumla na utangaze msimamo wa KUMUUNGA MKONO MGOMBEA WA UKAWA!


Mwisho, baada ya hatua zote hizo hakika utakuwa kiumbe KIPYA NA hakuna wa kukuita KUBWA LA MAFISADI TENA!

KARIBU UKAWA-SAFARI YA UHAKIKA KUELEKEA WHITE HOUSE MAGOGONI.

1. Kwanini aanyie Jangwani? Si yeye bwana mapesa bwana, aandae press conference irushwe TVstations zote.

2. Mliyowafanyia watanzania? Yeye na nani? Why now?

3. Yaani sasa hivi ndiyo azaliwe upya? Unajua maana ya kuzaliwa upya Au kikiasa? If so, wale wachungaji, maaskofu, Masheikh walikuwa "wadhambi"? H8vi bado hamjaelewa lile somo la kuwa ' MUNGU hadhihakiwi'?

4. You are too naive to think UKAWA watampokea Lowassa, the guys aren't desprate but he is!

5. Lowassa is too proud to do that!


Anyway, nimesoma katika BBC Swahili Tweet kuwa atahamia ACT na Mh. Zito Kabwe kumpokea.
 
CCM ingeweza kupeperusha vyema bendera yake kwenye mbio za urais kama wangempitisha Lowassa kwa sababu ndiye mwenye maamuzi magumu na sahihi ambayo yamekosekana katika awamu ya nne.

Kukatwa kwake ndio mwanzo wa Ccm kujichimbia kaburi lao.

Lowassa fanya maamuzi magumu,tunakuhitaji ikulu.
 
CCM ingeweza kupeperusha vyema bendera yake kwenye mbio za urais kama wangempitisha Lowassa kwa sababu ndiye mwenye maamuzi magumu na sahihi ambayo yamekosekana katika awamu ya nne.

Kukatwa kwake ndio mwanzo wa Ccm kujichimbia kaburi lao.

Lowassa fanya maamuzi magumu,tunakuhitaji ikulu.

Maamuzi magumu alonayo lowassa Ni ya kutumia pesa Tu.
 
Kichwa cha habari hapo juu chahusika!

1. Andaa mkutano wa hadhara hapo JANGWANI, Kwenye huo mkutano hakikisha Unamwaga MBOGA, UGALI, MAJI YA KUNAWA NA yA KunYWA! mwaga kila kitu usibaki hata kimoja!

2. Hakikisha Unawaomba radhi na kutubu madhambi yote mliyowafanyia "watanzania" tangu uhuru ilipokuwa ccm!

3.Hakikisha Unaongozwa sala ya toba na hapo hapo uwanjani na mchungaji yeyote utakayemwandaa kwa ajili ya tukio hilo(hili ni muhimu sana ili kuzawaliwa upya baada ya kumtumia shetani(ccm) kwa muda mrefu!

4.Baada ya kukamilisha taratibu hizo hapo juu OMBA UKAWA WAKUPOKEE KWA MIKONO MIWILI na UPEWE KADI AMA YA CDM/CUF/NCCR-MAGEUZI/NLD!

5.Baada ya hiyo no4 sasa washukuru UKAWA na wananchi kwa ujumla na utangaze msimamo wa KUMUUNGA MKONO MGOMBEA WA UKAWA!


Mwisho, baada ya hatua zote hizo hakika utakuwa kiumbe KIPYA NA hakuna wa kukuita KUBWA LA MAFISADI TENA!

KARIBU UKAWA-SAFARI YA UHAKIKA KUELEKEA WHITE HOUSE MAGOGONI.

Bwana asifiwe!!!!!!!!!!!
 
Majibu ya walioingia tano bora muda wowote yanaweza kubadilika
 
Pasco


Najiuliza;
Yaliyotokea Kenya yanaweza kutokea Tanzania?
Daniel arp Moi alimpiga panga Makamu wake, Emilio Mwai Kibaki, akamteua Uhuru Kenyatta.
Mwai Kibaki akajiuliza; kulikoni?
Akajiengua KANU, akawaachia Moi na Kenyatta chama chao..
Akaunganisha nguvu na wapinzani,na wakawashinda Rais Moi, Kenyatta na KANU kwenye sanduku la kura.
Hali hiyo yaweza kuja Tanzania?
Edward Ngoyai Lowassa aungane na UKAWA kuiangusha CCM?
HAKIKA, UTABIRI WA BABA WA TAIFA UTAKUWA UMETIMIA
[/QUOTE
Natamani iwe hivyo

Hata bila huyo lowasa UKAWA ni mpango wa MUNGU amini hivyo.
 
Last edited by a moderator:
KWA KILA JAMBO KUNA:-
a. Wakati wake
B. majira yake
c. sababu yake
D. makusudi yake
Tuache hivyo vitu nne VIAMUE.... kwa kuwa maneno ya Mwanadamu hayawezi kubadilisha Chochote isipokua hivyo vitu vinne.
 
Maamuzi magumu alonayo lowassa Ni ya kutumia pesa Tu.
Mkuu pesa inatafutwa ili itumike,Tanzania ya leo yenye changamoto nyingi,yenye kuhitaji kusonga mbele hakika inamhitaji kiongonzi mwenye elements za kidikteta.Lowassa anastahili sana, na kwakuwa CCM wamefanya kosa kubwa la kumkata wasubirie na wategemee anguko KUU mwaka HUU​.
 
Wanabodi,

CC ya CCM, imefanya kazi yake, imelikata jina la kipenzi cha wengi, Edward Ngoyai Lowassa!.

Jee kukatwa huku ndio mwisho wa ile safari ya matumaini, au ndio mwanzo wa safari ya kweli ya matumaini, kwa kipenzi cha watu, kuanza rasmi safari ya ukombozi wa kweli wa pili wa Mtanzania, kwa kuipeleka rasmi CCM kaburini?

Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, aliwahi kusema, upinzani wa kweli, utatoka CCM. Jee hiki ndio kipindi cha upinzani huu?

Kwa miaka 50 sasa, Watanzania tumelogwa na jinamizi la CCM kiasi cha kuamini mgombea wa CCM ndie automatically atakuwa rais wa Tanzania!. Wanaopiga kura sio CCM bali ni Watanzania!. Kama Lowassa ndie chaguo la watu, CCM wakaamua kumkata, jee sisi ambao ndio watu, tumchukue Lowassa, kupitia chama kingine chochote tumuingize ikulu?

Jee Lowassa tuliombatiza jina la mwamba, ataliishi hilo jina la mwamba kwa kuonyesha umwamba wake kwa kutokubali kuchinjwa na kufanywa mbuzi wa shughuli, au lile jina la mwamba, tulimpachika tuu, ila in reality kumbe sii mwamba lolote wala chochote, bali ni kichuguu tuu?

Mimi bado ni muumini wa andiko hili lisemalo "Jiwe Walilolikataa Waashi, Litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni!", jee Watanzania tuendelee kuwatumainia hawa waashi wa CCM kuamua hatma yetu na taifa letu, au tumchukue mtu wetu na kusindikiza ikulu nje ya CCM?

Nauliza tena, jee huu ndio mwisho wa safari, au mwanzo wa safari ya kweli ya matumaini kwanza kwa kuingoa CCM na kuikomboa Tanzania?

Pasco!


Kwa heshima mkuu huyu mzee labda kwa kutokujua au kushauriwa vibaya amezivunja sharia zote za uchaguzi kiasi kwamba hakuna jinsi anaweza kusimama kwenye uchaguzi hapa nchini. Hakuna chama kitampa nafasi huku kikijua wazi watapa pingamizi la uchaguzi.
 
aseee...so dissapointed...tho mi sio ccm...ila lowasa ni jembe
 
Pasco


Najiuliza;
Yaliyotokea Kenya yanaweza kutokea Tanzania?
Daniel arp Moi alimpiga panga Makamu wake, Emilio Mwai Kibaki, akamteua Uhuru Kenyatta.
Mwai Kibaki akajiuliza; kulikoni?
Akajiengua KANU, akawaachia Moi na Kenyatta chama chao..
Akaunganisha nguvu na wapinzani,na wakawashinda Rais Moi, Kenyatta na KANU kwenye sanduku la kura.
Hali hiyo yaweza kuja Tanzania?
Edward Ngoyai Lowassa aungane na UKAWA kuiangusha CCM?
HAKIKA, UTABIRI WA BABA WA TAIFA UTAKUWA UMETIMIA


Lowassa kawa msafi lini na genge lake? Kama wapinzani UKAWA wanampendekeza kwa nafasi hiyo kuna sababu gani ya kuwasapoti? Nadhani wenye nia njema na nchi hii tutarudi CCM. Simsapoti Lowassa na majizi yote.
 
Maamuzi magumu alonayo lowassa Ni ya kutumia pesa Tu.

Kweli mkuu sasa tumuone tena akigawa pesa. Si amesema anauchukia umaskini basi sisi maskini atugawie hizo hela zake sio lazima awe rais. Misikitini na makanisani wanamsubiri atoe zingine
 
Mkuu pesa inatafutwa ili itumike,Tanzania ya leo yenye changamoto nyingi,yenye kuhitaji kusonga mbele hakika inamhitaji kiongonzi mwenye elements za kidikteta.Lowassa anastahili sana, na kwakuwa CCM wamefanya kosa kubwa la kumkata wasubirie na wategemee anguko KUU mwaka HUU​.

Akajaribu kugombea nchi nyingine.Tanzania urais haununuliwi kwa kutoa rushwa.
 
Back
Top Bottom