Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajidhaniae amesimama aangali hasianguke
Kichwa cha habari hapo juu chahusika!
1. Andaa mkutano wa hadhara hapo JANGWANI, Kwenye huo mkutano hakikisha Unamwaga MBOGA, UGALI, MAJI YA KUNAWA NA yA KunYWA! mwaga kila kitu usibaki hata kimoja!
2. Hakikisha Unawaomba radhi na kutubu madhambi yote mliyowafanyia "watanzania" tangu uhuru ilipokuwa ccm!
3.Hakikisha Unaongozwa sala ya toba na hapo hapo uwanjani na mchungaji yeyote utakayemwandaa kwa ajili ya tukio hilo(hili ni muhimu sana ili kuzawaliwa upya baada ya kumtumia shetani(ccm) kwa muda mrefu!
4.Baada ya kukamilisha taratibu hizo hapo juu OMBA UKAWA WAKUPOKEE KWA MIKONO MIWILI na UPEWE KADI AMA YA CDM/CUF/NCCR-MAGEUZI/NLD!
5.Baada ya hiyo no4 sasa washukuru UKAWA na wananchi kwa ujumla na utangaze msimamo wa KUMUUNGA MKONO MGOMBEA WA UKAWA!
Mwisho, baada ya hatua zote hizo hakika utakuwa kiumbe KIPYA NA hakuna wa kukuita KUBWA LA MAFISADI TENA!
KARIBU UKAWA-SAFARI YA UHAKIKA KUELEKEA WHITE HOUSE MAGOGONI.
CCM ingeweza kupeperusha vyema bendera yake kwenye mbio za urais kama wangempitisha Lowassa kwa sababu ndiye mwenye maamuzi magumu na sahihi ambayo yamekosekana katika awamu ya nne.
Kukatwa kwake ndio mwanzo wa Ccm kujichimbia kaburi lao.
Lowassa fanya maamuzi magumu,tunakuhitaji ikulu.
Kichwa cha habari hapo juu chahusika!
1. Andaa mkutano wa hadhara hapo JANGWANI, Kwenye huo mkutano hakikisha Unamwaga MBOGA, UGALI, MAJI YA KUNAWA NA yA KunYWA! mwaga kila kitu usibaki hata kimoja!
2. Hakikisha Unawaomba radhi na kutubu madhambi yote mliyowafanyia "watanzania" tangu uhuru ilipokuwa ccm!
3.Hakikisha Unaongozwa sala ya toba na hapo hapo uwanjani na mchungaji yeyote utakayemwandaa kwa ajili ya tukio hilo(hili ni muhimu sana ili kuzawaliwa upya baada ya kumtumia shetani(ccm) kwa muda mrefu!
4.Baada ya kukamilisha taratibu hizo hapo juu OMBA UKAWA WAKUPOKEE KWA MIKONO MIWILI na UPEWE KADI AMA YA CDM/CUF/NCCR-MAGEUZI/NLD!
5.Baada ya hiyo no4 sasa washukuru UKAWA na wananchi kwa ujumla na utangaze msimamo wa KUMUUNGA MKONO MGOMBEA WA UKAWA!
Mwisho, baada ya hatua zote hizo hakika utakuwa kiumbe KIPYA NA hakuna wa kukuita KUBWA LA MAFISADI TENA!
KARIBU UKAWA-SAFARI YA UHAKIKA KUELEKEA WHITE HOUSE MAGOGONI.
Pasco
Najiuliza;
Yaliyotokea Kenya yanaweza kutokea Tanzania?
Daniel arp Moi alimpiga panga Makamu wake, Emilio Mwai Kibaki, akamteua Uhuru Kenyatta.
Mwai Kibaki akajiuliza; kulikoni?
Akajiengua KANU, akawaachia Moi na Kenyatta chama chao..
Akaunganisha nguvu na wapinzani,na wakawashinda Rais Moi, Kenyatta na KANU kwenye sanduku la kura.
Hali hiyo yaweza kuja Tanzania?
Edward Ngoyai Lowassa aungane na UKAWA kuiangusha CCM?
HAKIKA, UTABIRI WA BABA WA TAIFA UTAKUWA UMETIMIA[/QUOTE
Natamani iwe hivyo
Hata bila huyo lowasa UKAWA ni mpango wa MUNGU amini hivyo.
Mkuu pesa inatafutwa ili itumike,Tanzania ya leo yenye changamoto nyingi,yenye kuhitaji kusonga mbele hakika inamhitaji kiongonzi mwenye elements za kidikteta.Lowassa anastahili sana, na kwakuwa CCM wamefanya kosa kubwa la kumkata wasubirie na wategemee anguko KUU mwaka HUU​.Maamuzi magumu alonayo lowassa Ni ya kutumia pesa Tu.
Wanabodi,
CC ya CCM, imefanya kazi yake, imelikata jina la kipenzi cha wengi, Edward Ngoyai Lowassa!.
Jee kukatwa huku ndio mwisho wa ile safari ya matumaini, au ndio mwanzo wa safari ya kweli ya matumaini, kwa kipenzi cha watu, kuanza rasmi safari ya ukombozi wa kweli wa pili wa Mtanzania, kwa kuipeleka rasmi CCM kaburini?
Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, aliwahi kusema, upinzani wa kweli, utatoka CCM. Jee hiki ndio kipindi cha upinzani huu?
Kwa miaka 50 sasa, Watanzania tumelogwa na jinamizi la CCM kiasi cha kuamini mgombea wa CCM ndie automatically atakuwa rais wa Tanzania!. Wanaopiga kura sio CCM bali ni Watanzania!. Kama Lowassa ndie chaguo la watu, CCM wakaamua kumkata, jee sisi ambao ndio watu, tumchukue Lowassa, kupitia chama kingine chochote tumuingize ikulu?
Jee Lowassa tuliombatiza jina la mwamba, ataliishi hilo jina la mwamba kwa kuonyesha umwamba wake kwa kutokubali kuchinjwa na kufanywa mbuzi wa shughuli, au lile jina la mwamba, tulimpachika tuu, ila in reality kumbe sii mwamba lolote wala chochote, bali ni kichuguu tuu?
Mimi bado ni muumini wa andiko hili lisemalo "Jiwe Walilolikataa Waashi, Litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni!", jee Watanzania tuendelee kuwatumainia hawa waashi wa CCM kuamua hatma yetu na taifa letu, au tumchukue mtu wetu na kusindikiza ikulu nje ya CCM?
Nauliza tena, jee huu ndio mwisho wa safari, au mwanzo wa safari ya kweli ya matumaini kwanza kwa kuingoa CCM na kuikomboa Tanzania?
Pasco!
Pasco
Najiuliza;
Yaliyotokea Kenya yanaweza kutokea Tanzania?
Daniel arp Moi alimpiga panga Makamu wake, Emilio Mwai Kibaki, akamteua Uhuru Kenyatta.
Mwai Kibaki akajiuliza; kulikoni?
Akajiengua KANU, akawaachia Moi na Kenyatta chama chao..
Akaunganisha nguvu na wapinzani,na wakawashinda Rais Moi, Kenyatta na KANU kwenye sanduku la kura.
Hali hiyo yaweza kuja Tanzania?
Edward Ngoyai Lowassa aungane na UKAWA kuiangusha CCM?
HAKIKA, UTABIRI WA BABA WA TAIFA UTAKUWA UMETIMIA
Maamuzi magumu alonayo lowassa Ni ya kutumia pesa Tu.
Mkuu pesa inatafutwa ili itumike,Tanzania ya leo yenye changamoto nyingi,yenye kuhitaji kusonga mbele hakika inamhitaji kiongonzi mwenye elements za kidikteta.Lowassa anastahili sana, na kwakuwa CCM wamefanya kosa kubwa la kumkata wasubirie na wategemee anguko KUU mwaka HUU​.