Kitumbo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 549
- 185
KUTOKA DODOMA 4U MOVEMENT
TANGAZO:
Tunawatangazia kwamba kufikia saa nne kamili asubuhi kwa wana 4U ambao si wa NEC wala wajumbe wa mkutano mkuu wawe wameshakabidhi vyumba katika hotel walizofikia, Pia wale wajumbe wa NEC na mkutano mkuu 4U hatutaendelea kugharamia uwepo wenu hapa dodoma!
Mwisho:
Hakutakuwa na usafiri wa mabasi yetu kuwarudisha wale wana 4U huko mikoani kila mtu atajigharamia.
asante
Mr Hemed Ally
Mratibu Taifa (National Coordinator)
@4u movement
4U Movement | FRIENDS OF LOWASSA
TANGAZO:
Tunawatangazia kwamba kufikia saa nne kamili asubuhi kwa wana 4U ambao si wa NEC wala wajumbe wa mkutano mkuu wawe wameshakabidhi vyumba katika hotel walizofikia, Pia wale wajumbe wa NEC na mkutano mkuu 4U hatutaendelea kugharamia uwepo wenu hapa dodoma!
Mwisho:
Hakutakuwa na usafiri wa mabasi yetu kuwarudisha wale wana 4U huko mikoani kila mtu atajigharamia.
asante
Mr Hemed Ally
Mratibu Taifa (National Coordinator)
@4u movement
4U Movement | FRIENDS OF LOWASSA