Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Kumekuwepo kwa kukithiri kwa wingi kwa pombe fake hapa Tanzania ni kama mamlaka imeshindwa kudhibiti hali imekuwa mbaya sana serikali ionee huruma wananchi wake huko mbeleni hali itakuwa mbaya sana.
Ukiwa bar kuanzia saa sita usiku na kuendelea bia zinazouzwa mida hii nyingi ni fake.
Pia soma - Matumizi ya Kemikali ya Ethanol yanaweza kuathiri ini na kusababisha Saratani
Ukiwa bar kuanzia saa sita usiku na kuendelea bia zinazouzwa mida hii nyingi ni fake.
Pia soma - Matumizi ya Kemikali ya Ethanol yanaweza kuathiri ini na kusababisha Saratani