Ibra tiger
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 294
- 707
Wanywaji wenyew hawalalamiki ikiwa kali ndio wanapenda watakwambia izo za tbs sio kali acheni watu wanywe wamependa wenyeweKumekuwepo kwa kukithiri kwa wingi kwa pombe fake hapa Tanzania ni kama mamlaka imeshindwa kuthibiti hali imekua mbaya sana serekali ionee huruma wananchi wake huko mbeleni hali itakua mbaya sana