Kukithiri kwa wingi kwa pombe fake, Mamlaka imeshindwa kudhibiti?

Kukithiri kwa wingi kwa pombe fake, Mamlaka imeshindwa kudhibiti?

Wahusika wapo wanaimba mama anaupiga mwingi wanasahau kazi zao TBS nao wanacheza regge. Kiujumla TFDA hawapo nchini naona.
 
Kalia hiviii, ee hapo hapo binuka binua

Pole
Aiseee una enjoy na image yangu angalia usipige kelele kwanguvu, ukishusha mzigu masikini kukamatia pis ni ngumu sana endelea kusafiria hii ishu
 
Kumekuwepo kwa kukithiri kwa wingi kwa pombe fake hapa Tanzania ni kama mamlaka imeshindwa kuthibiti hali imekua mbaya sana serekali ionee huruma wananchi wake huko mbeleni hali itakua mbaya sana
Anza kujidhibiti wewe mwenyewe kwanza kwa kuwacha kunywa mipombe.
 
Wafanyakazi wa TANZANIA KONYAGI wanahusika moja kwa moja kwenye utengenezaji wa KONYAGI FEKI!! Vijiji vya Kanda ya ziwa hasa hasa Kagera na Geita huwezi kukuta bar wanauza Konyagi Genuine hata siku moja.
Ha ha! Acha kuifananisha mbandule ya ndizi na vitu cya ajabu ajabu. Hainaga hang over!.
 
Kumekuwepo kwa kukithiri kwa wingi kwa pombe fake hapa Tanzania ni kama mamlaka imeshindwa kuthibiti hali imekua mbaya sana serekali ionee huruma wananchi wake huko mbeleni hali itakua mbaya sana
Je, Hata Kiwingu ni fake?
 
izo fake zina shida nyingi,. coz hazija pimwa kujua zime contain nn apart from ethanol, wanatumia uchachusahaji local, wadudu sio common wakati. fermentation inatakiwa iwe Homoone
 
Inatengenezwa chini ya kiwango. Zile ingredients zinakuwa sio zenyewe baadhi zinatafutwa mbadala tu.

Au kama ni zenyewe watabalansi isivyo hali itayofanya kuwe na utofauti wa kiwango cha alcohol kuzidi au kupungua au ladha kuwa tofauti kidogo.

Kuna nyingine wanapatia kila kitu ila wanabugi kwenye kifungashio tu.

Binafsi nimekunywa feki mara tatu, sina hamu.
Mara ya kwanza tulikuwa wawili, tukamrudishia muuzaji aonje ladha akabaini utofauti. Kisha tukamwonesha nembo za TRA zimepandana. Tukasema achague orijino ni ipi, akasema itakuwa ni hii. Tukasema tutalipia orijino feki kunywa mwenyewe. Na yeye akambana aliyemuuzia.
ili kuepukana na pombe fake kunyweni pombe ambazo sio maarufu kwavile zile maarufu demand ni kubwa ndo maana fake zinakuwepo!
 
Inatengenezwa chini ya kiwango. Zile ingredients zinakuwa sio zenyewe baadhi zinatafutwa mbadala tu.

Au kama ni zenyewe watabalansi isivyo hali itayofanya kuwe na utofauti wa kiwango cha alcohol kuzidi au kupungua au ladha kuwa tofauti kidogo.

Kuna nyingine wanapatia kila kitu ila wanabugi kwenye kifungashio tu.

Binafsi nimekunywa feki mara tatu, sina hamu.
Mara ya kwanza tulikuwa wawili, tukamrudishia muuzaji aonje ladha akabaini utofauti. Kisha tukamwonesha nembo za TRA zimepandana. Tukasema achague orijino ni ipi, akasema itakuwa ni hii. Tukasema tutalipia orijino feki kunywa mwenyewe. Na yeye akambana aliyemuuzia.
Safi sana mkuu Umeelezea kinagaubaga .kweli nihatar kwa afya
 
Siku hizi kinachofanyika ni kutumia vifangashio vya hizi pombe zenye ruhusa kuweka vinywaji vyetu vya asili.
Ni wakati wa kufanya utafiti kubaini athali za pombe za viwandani zisizotokana na mimea.
Hali sio nzuri siku zijazo.
 
Back
Top Bottom