Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe ni jitu la hovyo kabisa lililokuwa addicted ni madawa ya hovyo linajitahidi kutetea uhovyo wake"Duae iniuriae do ius facere"Ndoa ya masanja ilitaka kuvunjika je sababu ilikuwa ni pombe? Je umetafiti kiasi gani mpaka kufikia hizo conclusion..kuna wanakwaya hawanywi pombe lakini wanazagamuana wao kwa wao, whats the difference?
Ha ha ha....sumu iliyoexpaya ndio ikoje[emoji2]Pombe hatari halafu ukute feki ni hatari square ,sawa na kunywa sumu iliyo expire
Ukinywa soda sumu, maji yaliyoumbwa na Mungu ambayo hayajawekwa kwenye jikofu kunywa kwa afya yako.Epuka juice unazodamganywa ni za matunda halisi. Kula tunda lenyewe ili ufaidi na roughage ambazo huchujwa na watengeneza juice hao ambazo zinafaida mwiliniTofauti na pombe ninywe kinywaji gani mkuu?nishauri
Iyo Eagle pamoja na balimi mtu akizinunua jirani yangu nahama sikai nae meza mojaNikipiga zangu eagle au bingwa natulia tuliii kiroho safi.hizo spirit kunyweni wenyewe kuna siku nilipiga valuer macho yakagoma kufunguka uzuri nilikuwa nyumbani tangu siku hiyo sitaki kusikia kitu kinaitwa spirit
Umeanza lini kutoa semina mkuu?Yaani unafungua Uzi kabisa kwa sababu ya madawa ya kulevya aina ya pombe?
Umelazimishwa kunywa? Kama unakunywa pombe basi wewe ni jitu la hovyo kabisa, jibinafsi ,linalozulumu familia yake kwa kutumia asilimia 70 ya mapato yake lenyewe na majitu MINGINE ya hovyo unayoyakuta huko huko baa ysliyotelekeza familia na yanaishi kwa kula nyama mbichi za kupashwa kwenye moto maarufu kama nyama choma.
Ni lijitu la hovyo kabisa ambalo halina uwezo wa kuthibiti tamaa za mwili wake kwa kuharibu mwili wake, kwa madawa hayo ya kulevya aina ya pombe
Ni lidude la hovyo ambalo Kila siku hujitetea au hutumia fedha nyingi kulipa fidia au kuomba msamaa kwa makosa lililoyafanya likuliwa nimeb wia madawa hayo aina ya pombe
Ni jitu la hovyo Sana ambalo limeacha MKE mzuri na vitoto vizuri na kwenda kubeba MAGUMEGUME yenye maradhi mbalimbali anayoyakuta yanajiuza huko yakiwa yamejipiga ma make up kuvunika ngozi iliyoshbuliwa na mahonywa lenyewe likishabwia madawa hayo linabeba mwishowe linakusanya na mahonywa kuyapeleka nyumbani. Hovyo kabisa. Kwani usipokunywa unakuta? Hasara za pombe ni kubwa Sana. Watu wamefilisika kwa ajili ya pombe, ma genius darasani wamekuwa vichaa kwa ajili ya pombe, wafanyakazi wamefukuzwa kazi kwa ajili ya pombe, ndoa zimevunyika kwa ajili ya pombe, wamekufa mapema kwa ajili ya pombe. Kama unakunywa wewe ni jitu la hovyo Sana na libinafsi. Kuna vitu vingi vya kufanya zaidi ya pombe, jikite kwenye michezo, mazoezi, ibada, kwaya, vikundi mbalimbali vya kimaendeleo badilisha hobby na marafiki. Achana kabisa ni madude ya hovyo yanayokushauri kunywa madawa hayo yanayokuletea u nusu kichaa
Valuer sio spirit ni brandNikipiga zangu eagle au bingwa natulia tuliii kiroho safi.hizo spirit kunyweni wenyewe kuna siku nilipiga valuer macho yakagoma kufunguka uzuri nilikuwa nyumbani tangu siku hiyo sitaki kusikia kitu kinaitwa spirit
Tofaut ya spirit na brand Ni ipi[emoji848]Valuer sio spirit ni brand
Ulitelekezwa mwaka gani??Yaani unafungua Uzi kabisa kwa sababu ya madawa ya kulevya aina ya pombe?
Umelazimishwa kunywa? Kama unakunywa pombe basi wewe ni jitu la hovyo kabisa, jibinafsi ,linalozulumu familia yake kwa kutumia asilimia 70 ya mapato yake lenyewe na majitu MINGINE ya hovyo unayoyakuta huko huko baa ysliyotelekeza familia na yanaishi kwa kula nyama mbichi za kupashwa kwenye moto maarufu kama nyama choma.
Ni lijitu la hovyo kabisa ambalo halina uwezo wa kuthibiti tamaa za mwili wake kwa kuharibu mwili wake, kwa madawa hayo ya kulevya aina ya pombe
Ni lidude la hovyo ambalo Kila siku hujitetea au hutumia fedha nyingi kulipa fidia au kuomba msamaa kwa makosa lililoyafanya likuliwa nimeb wia madawa hayo aina ya pombe
Ni jitu la hovyo Sana ambalo limeacha MKE mzuri na vitoto vizuri na kwenda kubeba MAGUMEGUME yenye maradhi mbalimbali anayoyakuta yanajiuza huko yakiwa yamejipiga ma make up kuvunika ngozi iliyoshbuliwa na mahonywa lenyewe likishabwia madawa hayo linabeba mwishowe linakusanya na mahonywa kuyapeleka nyumbani. Hovyo kabisa. Kwani usipokunywa unakuta? Hasara za pombe ni kubwa Sana. Watu wamefilisika kwa ajili ya pombe, ma genius darasani wamekuwa vichaa kwa ajili ya pombe, wafanyakazi wamefukuzwa kazi kwa ajili ya pombe, ndoa zimevunyika kwa ajili ya pombe, wamekufa mapema kwa ajili ya pombe. Kama unakunywa wewe ni jitu la hovyo Sana na libinafsi. Kuna vitu vingi vya kufanya zaidi ya pombe, jikite kwenye michezo, mazoezi, ibada, kwaya, vikundi mbalimbali vya kimaendeleo badilisha hobby na marafiki. Achana kabisa ni madude ya hovyo yanayokushauri kunywa madawa hayo yanayokuletea u nusu kichaa
Basi ngoja nimuache nadhani amenielewa sana mkuu ndio maana alikua anajaa, nikimvuta anajaa nikumvua anajaaMwamba unamtesa sana mwanadafada, siyo poa kivilee.
Pombe kali (Hard liquor) zipo haina nyingi kama Spirit, Vodka, Whiskey, Gin, Cognac etcTofaut ya spirit na brand Ni ipi[emoji848]
Wewe ni mpuuzi kama wapuuzi wengine...hunywi pombe but unakunywa juice whats a difference..they both kill your kidney..na akili yako ndogo unahisi wanaokunywa pombe ndo wanaochepuka..mbona wewe hinywi na umejaza michepuko kwenye simu yakoNa wewe ni jitu la hovyo kabisa lililokuwa addicted ni madawa ya hovyo linajitahidi kutetea uhovyo wake"Duae iniuriae do ius facere"
Unakuwa na ubora zaidi😅Ha ha ha....sumu iliyoexpaya ndio ikoje[emoji2]
Weee mbuzi kinywaji changu ni maji ya Mungu tuu. Tena sinnywi yaliyowekwa kwenye jokofu. Matunda ninakula yenyewe na maganda yake kenge la hovyo kabisa wee unsokesha baa luteketeza fedha na machangu wakati nyumbani umeacha hela ya dagaa jahanuni mkubwa wee mpenda sifa unajifanya pedrshee ili utajwe jina kwenye live band unawsmwagia fedha wakati kwako kunaangamia binafsi kuu weweWewe ni mpuuzi kama wapuuzi wengine...hunywi pombe but unakunywa juice whats a difference..they both kill your kidney..na akili yako ndogo unahisi wanaokunywa pombe ndo wanaochepuka..mbona wewe hinywi na umejaza michepuko kwenye simu yako
Kwanini mkuu au zimekaa kishamba?Iyo Eagle pamoja na balimi mtu akizinunua jirani yangu nahama sikai nae meza moja
Wewe ni young Dee? Amepost habari kama hiyo instaKumekuwepo kwa kukithiri kwa wingi kwa pombe fake hapa Tanzania ni kama mamlaka imeshindwa kudhibiti hali imekuwa mbaya sana serikali ionee huruma wananchi wake huko mbeleni hali itakuwa mbaya sana
Ukiwa bar kuanzia saa sita usiku na kuendelea bia zinazouzwa mida hii nyingi ni fake
Hakuna tofauti na wewe unaye mwaga hizo pesa kanisani alafu mchungaji wako anaenda kuhonga vimada. Alafu upuuzi mwingine ulionao unadhani kula matunda ndo upo salama, matunda yanaweza kuwa hatari kuliko hizo pombe, uneshawahi jiuliza ni tani ngapi za sumu zinatumika kukuza hayo matunda mpaka ukayala na je hufahamu kwamba sukari ya kwenye hayo matunda is a worse ingredients that can kill your organs while smilling. Dont be zombi kijana. Na hayo maji kuweka au kutokuweka kwemye fridge what is the difference?Weee mbuzi kinywaji changu ni maji ya Mungu tuu. Tena sinnywi yaliyowekwa kwenye jokofu. Matunda ninakula yenyewe na maganda yake kenge la hovyo kabisa wee unsokesha baa luteketeza fedha na machangu wakati nyumbani umeacha hela ya dagaa jahanuni mkubwa wee mpenda sifa unajifanya pedrshee ili utajwe jina kwenye live band unawsmwagia fedha wakati kwako kunaangamia binafsi kuu wewe
du!!! bora njikite kwenye kunywa mnazi!!Kumekuwepo kwa kukithiri kwa wingi kwa pombe fake hapa Tanzania ni kama mamlaka imeshindwa kudhibiti hali imekuwa mbaya sana serikali ionee huruma wananchi wake huko mbeleni hali itakuwa mbaya sana.
Ukiwa bar kuanzia saa sita usiku na kuendelea bia zinazouzwa mida hii nyingi ni fake.