Kukithiri kwa wingi kwa pombe fake, Mamlaka imeshindwa kudhibiti?

Kukithiri kwa wingi kwa pombe fake, Mamlaka imeshindwa kudhibiti?

Kumekuwepo kwa kukithiri kwa wingi kwa pombe fake hapa Tanzania ni kama mamlaka imeshindwa kudhibiti hali imekuwa mbaya sana serikali ionee huruma wananchi wake huko mbeleni hali itakuwa mbaya sana

Ukiwa bar kuanzia saa sita usiku na kuendelea bia zinazouzwa mida hii nyingi ni fake
Mbona Kila siku naona watu wanalalamika pombe fake pombe fake ila sijawahi kuona videos au pictures wakizionyesha wamenunua na ikawa pombe fake?😀😀
 
Kuna pombe zinapikwa Kwa sukari na hamira,wapikaji wakija kwangu kununua hamira huificha wanywaji wasione,ni hatar sana,zinapikwa na ziaiva within a day,wanywaji ukiwaona afya zao ni tete
Sukari+amira+ majani ya chai..hiyo inaitwa Wanzuki
 
Nikipiga zangu eagle au bingwa natulia tuliii kiroho safi.hizo spirit kunyweni wenyewe kuna siku nilipiga valuer macho yakagoma kufunguka uzuri nilikuwa nyumbani tangu siku hiyo sitaki kusikia kitu kinaitwa spirit
 
Kumekuwepo kwa kukithiri kwa wingi kwa pombe fake hapa Tanzania ni kama mamlaka imeshindwa kudhibiti hali imekuwa mbaya sana serikali ionee huruma wananchi wake huko mbeleni hali itakuwa mbaya sana

Ukiwa bar kuanzia saa sita usiku na kuendelea bia zinazouzwa mida hii nyingi ni fake
Yaani unafungua Uzi kabisa kwa sababu ya madawa ya kulevya aina ya pombe?

Umelazimishwa kunywa? Kama unakunywa pombe basi wewe ni jitu la hovyo kabisa, jibinafsi ,linalozulumu familia yake kwa kutumia asilimia 70 ya mapato yake lenyewe na majitu MINGINE ya hovyo unayoyakuta huko huko baa ysliyotelekeza familia na yanaishi kwa kula nyama mbichi za kupashwa kwenye moto maarufu kama nyama choma.

Ni lijitu la hovyo kabisa ambalo halina uwezo wa kuthibiti tamaa za mwili wake kwa kuharibu mwili wake, kwa madawa hayo ya kulevya aina ya pombe

Ni lidude la hovyo ambalo Kila siku hujitetea au hutumia fedha nyingi kulipa fidia au kuomba msamaa kwa makosa lililoyafanya likuliwa nimeb wia madawa hayo aina ya pombe

Ni jitu la hovyo Sana ambalo limeacha MKE mzuri na vitoto vizuri na kwenda kubeba MAGUMEGUME yenye maradhi mbalimbali anayoyakuta yanajiuza huko yakiwa yamejipiga ma make up kuvunika ngozi iliyoshbuliwa na mahonywa lenyewe likishabwia madawa hayo linabeba mwishowe linakusanya na mahonywa kuyapeleka nyumbani. Hovyo kabisa. Kwani usipokunywa unakuta? Hasara za pombe ni kubwa Sana. Watu wamefilisika kwa ajili ya pombe, ma genius darasani wamekuwa vichaa kwa ajili ya pombe, wafanyakazi wamefukuzwa kazi kwa ajili ya pombe, ndoa zimevunyika kwa ajili ya pombe, wamekufa mapema kwa ajili ya pombe. Kama unakunywa wewe ni jitu la hovyo Sana na libinafsi. Kuna vitu vingi vya kufanya zaidi ya pombe, jikite kwenye michezo, mazoezi, ibada, kwaya, vikundi mbalimbali vya kimaendeleo badilisha hobby na marafiki. Achana kabisa ni madude ya hovyo yanayokushauri kunywa madawa hayo yanayokuletea u nusu kichaa
 
Yaani unafungua Uzi kabisa kwa sababu ya madawa ya kulevya aina ya pombe?

Umelazimishwa kunywa? Kama unakunywa pombe basi wewe ni jitu la hovyo kabisa, jibinafsi ,linalozulumu familia yake kwa kutumia asilimia 70 ya mapato yake lenyewe na majitu MINGINE ya hovyo unayoyakuta huko huko baa ysliyotelekeza familia na yanaishi kwa kula nyama mbichi za kupashwa kwenye moto maarufu kama nyama choma.

Ni lijitu la hovyo kabisa ambalo halina uwezo wa kuthibiti tamaa za mwili wake kwa kuharibu mwili wake, kwa madawa hayo ya kulevya aina ya pombe

Ni lidude la hovyo ambalo Kila siku hujitetea au hutumia fedha nyingi kulipa fidia au kuomba msamaa kwa makosa lililoyafanya likuliwa nimeb wia madawa hayo aina ya pombe

Ni jitu la hovyo Sana ambalo limeacha MKE mzuri na vitoto vizuri na kwenda kubeba MAGUMEGUME yenye maradhi mbalimbali anayoyakuta yanajiuza huko yakiwa yamejipiga ma make up kuvunika ngozi iliyoshbuliwa na mahonywa lenyewe likishabwia madawa hayo linabeba mwishowe linakusanya na mahonywa kuyapeleka nyumbani. Hovyo kabisa. Kwani usipokunywa unakuta? Hasara za pombe ni kubwa Sana. Watu wamefilisika kwa ajili ya pombe, ma genius darasani wamekuwa vichaa kwa ajili ya pombe, wafanyakazi wamefukuzwa kazi kwa ajili ya pombe, ndoa zimevunyika kwa ajili ya pombe, wamekufa mapema kwa ajili ya pombe. Kama unakunywa wewe ni jitu la hovyo Sana na libinafsi. Kuna vitu vingi vya kufanya zaidi ya pombe, jikite kwenye michezo, mazoezi, ibada, kwaya, vikundi mbalimbali vya kimaendeleo badilisha hobby na marafiki. Achana kabisa ni madude ya hovyo yanayokushauri kunywa madawa hayo yanayokuletea u nusu kichaa
Tofauti na pombe ninywe kinywaji gani mkuu?nishauri
 
Yaani unafungua Uzi kabisa kwa sababu ya madawa ya kulevya aina ya pombe?

Umelazimishwa kunywa? Kama unakunywa pombe basi wewe ni jitu la hovyo kabisa, jibinafsi ,linalozulumu familia yake kwa kutumia asilimia 70 ya mapato yake lenyewe na majitu MINGINE ya hovyo unayoyakuta huko huko baa ysliyotelekeza familia na yanaishi kwa kula nyama mbichi za kupashwa kwenye moto maarufu kama nyama choma.

Ni lijitu la hovyo kabisa ambalo halina uwezo wa kuthibiti tamaa za mwili wake kwa kuharibu mwili wake, kwa madawa hayo ya kulevya aina ya pombe

Ni lidude la hovyo ambalo Kila siku hujitetea au hutumia fedha nyingi kulipa fidia au kuomba msamaa kwa makosa lililoyafanya likuliwa nimeb wia madawa hayo aina ya pombe

Ni jitu la hovyo Sana ambalo limeacha MKE mzuri na vitoto vizuri na kwenda kubeba MAGUMEGUME yenye maradhi mbalimbali anayoyakuta yanajiuza huko yakiwa yamejipiga ma make up kuvunika ngozi iliyoshbuliwa na mahonywa lenyewe likishabwia madawa hayo linabeba mwishowe linakusanya na mahonywa kuyapeleka nyumbani. Hovyo kabisa. Kwani usipokunywa unakuta? Hasara za pombe ni kubwa Sana. Watu wamefilisika kwa ajili ya pombe, ma genius darasani wamekuwa vichaa kwa ajili ya pombe, wafanyakazi wamefukuzwa kazi kwa ajili ya pombe, ndoa zimevunyika kwa ajili ya pombe, wamekufa mapema kwa ajili ya pombe. Kama unakunywa wewe ni jitu la hovyo Sana na libinafsi. Kuna vitu vingi vya kufanya zaidi ya pombe, jikite kwenye michezo, mazoezi, ibada, kwaya, vikundi mbalimbali vya kimaendeleo badilisha hobby na marafiki. Achana kabisa ni madude ya hovyo yanayokushauri kunywa madawa hayo yanayokuletea u nusu kichaa
Wewe mjinga
 
Wachina walishawahi kukamatwa wanatengeneza kvant feki. Yaani hiyo ni biashara kubwa hapa mjini watu wanapiga pesa kwa kutengeneza vilevi feki..hizi double kick,kisungura,kvant,valeur n.k nyingi ni feki tu
 
Tz kila kitu fake
Mm nashangaa watu wanalalamikia pombe fake tu!!

Mitaani kumejaa feki zifuatazo:
1. Sura feki (asante mkorogo)
2. Makalio (trako) fake (asante mchina)
3. Mihogo ya jang'ombe feki (asante mchina).

Siku hizi ukitaka kuchumbia inabidi umpe mchumba wako maji na sabuni anawe ili ujue muonekano wake halisi

Unaweza ukaenda mbali zaidi ukamuamuru achojoe ili uangalie kama makalio na hips ni halisi ama la
 
Mm nashangaa watu wanalalamikia pombe fake tu!!

Mitaani kumejaa feki zifuatazo:
1. Sura feki (asante mkorogo)
2. Makalio (trako) fake (asante mchina)
3. Mihogo ya jang'ombe feki (asante mchina).

Siku hizi ukitaka kuchumbia inabidi umpe mchumba wako maji na sabuni anaweza ili ujue muonekano wake halisi

Unaweza ukaenda mbali zaidi ukamuamuru achojoe ili uangalie kama makalio na hips ni halisi ama la
Hadi bikira fake
 
Yaani unafungua Uzi kabisa kwa sababu ya madawa ya kulevya aina ya pombe?

Umelazimishwa kunywa? Kama unakunywa pombe basi wewe ni jitu la hovyo kabisa, jibinafsi ,linalozulumu familia yake kwa kutumia asilimia 70 ya mapato yake lenyewe na majitu MINGINE ya hovyo unayoyakuta huko huko baa ysliyotelekeza familia na yanaishi kwa kula nyama mbichi za kupashwa kwenye moto maarufu kama nyama choma.

Ni lijitu la hovyo kabisa ambalo halina uwezo wa kuthibiti tamaa za mwili wake kwa kuharibu mwili wake, kwa madawa hayo ya kulevya aina ya pombe

Ni lidude la hovyo ambalo Kila siku hujitetea au hutumia fedha nyingi kulipa fidia au kuomba msamaa kwa makosa lililoyafanya likuliwa nimeb wia madawa hayo aina ya pombe

Ni jitu la hovyo Sana ambalo limeacha MKE mzuri na vitoto vizuri na kwenda kubeba MAGUMEGUME yenye maradhi mbalimbali anayoyakuta yanajiuza huko yakiwa yamejipiga ma make up kuvunika ngozi iliyoshbuliwa na mahonywa lenyewe likishabwia madawa hayo linabeba mwishowe linakusanya na mahonywa kuyapeleka nyumbani. Hovyo kabisa. Kwani usipokunywa unakuta? Hasara za pombe ni kubwa Sana. Watu wamefilisika kwa ajili ya pombe, ma genius darasani wamekuwa vichaa kwa ajili ya pombe, wafanyakazi wamefukuzwa kazi kwa ajili ya pombe, ndoa zimevunyika kwa ajili ya pombe, wamekufa mapema kwa ajili ya pombe. Kama unakunywa wewe ni jitu la hovyo Sana na libinafsi. Kuna vitu vingi vya kufanya zaidi ya pombe, jikite kwenye michezo, mazoezi, ibada, kwaya, vikundi mbalimbali vya kimaendeleo badilisha hobby na marafiki. Achana kabisa ni madude ya hovyo yanayokushauri kunywa madawa hayo yanayokuletea u nusu kichaa
Ndoa ya masanja ilitaka kuvunjika je sababu ilikuwa ni pombe? Je umetafiti kiasi gani mpaka kufikia hizo conclusion..kuna wanakwaya hawanywi pombe lakini wanazagamuana wao kwa wao, whats the difference?
 
Kumekuwepo kwa kukithiri kwa wingi kwa pombe fake hapa Tanzania ni kama mamlaka imeshindwa kudhibiti hali imekuwa mbaya sana serikali ionee huruma wananchi wake huko mbeleni hali itakuwa mbaya sana

Ukiwa bar kuanzia saa sita usiku na kuendelea bia zinazouzwa mida hii nyingi ni fake
Vipodozi feki je?? Ohhhh Mola tusaidie.
 
Back
Top Bottom