100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Pombe hainitoi kwenye uislamu, nitaendelea kuitandika tu.Anza kujidhibiti wewe mwenyewe kwanza kwa kuwacha kunywa mipombe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pombe hainitoi kwenye uislamu, nitaendelea kuitandika tu.Anza kujidhibiti wewe mwenyewe kwanza kwa kuwacha kunywa mipombe.
Huenda MAMLAKA ni mnufaika pia wa hiyo Biashara ya Pombe feki..Kumekuwepo kwa kukithiri kwa wingi kwa pombe fake hapa Tanzania ni kama mamlaka imeshindwa kudhibiti hali imekuwa mbaya sana serikali ionee huruma wananchi wake huko mbeleni hali itakuwa mbaya sana
Tulipiga sana hizo issue Dom.Bora kuanza kutenegeneza red wine mwenyewe nyumbani, unaivundika,
Pombe sio chaiTulia punguza miguno,
Pole
Fafanua, bia fake inakuwaje. Kwa uzoefu wangu mlevi hata alewe vipi ukimfungulia bia asisikie gesi hiyo yako haitaki. Pili katika hizi bia kuna grades. Kuna ambazo ni laini na ambazo ni chungu lakini zote brand moja. Kama wewe sio mlevi unaweza kisema bia fake kumbe hujui.Kumekuwepo kwa kukithiri kwa wingi kwa pombe fake hapa Tanzania ni kama mamlaka imeshindwa kudhibiti hali imekuwa mbaya sana serikali ionee huruma wananchi wake huko mbeleni hali itakuwa mbaya sana
Ukiwa bar kuanzia saa sita usiku na kuendelea bia zinazouzwa mida hii nyingi ni fake
Kutokuwepo na gesi haimaanishi hiyo ni feki, huenda imesababishwa na leakages au gesi haikujaa vzuri kiwandaniFafanua, bia fake inakuwaje. Kwa uzoefu wangu mlevi hata alewe vipi ukimfungulia bia asisikie gesi hiyo yako haitaki. Pili katika hizi bia kuna grades. Kuna ambazo ni laini na ambazo ni chungu lakini zote brand moja. Kama wewe sio mlevi unaweza kisema bia fake kumbe hujui.
Hakuna kitu kinaitwa pombe fekiNaomba kueleweshwa pombe feki nikwamba inakuwa viwango vya kilevi vinakuwa chini au juu ya kiwango stahiki? Au ndo haina vibali?
Sukari pia inaua hivyo vitu vyote...kuwa makini usije acha pombe ukakimbilia sida na juisiPombe hazifai ,zinaua maini na figo , ndo maana wajanja wana take advantage kuandaa pombe fake ili kuua moyo.
Serikali fatilieni haya mambo perfectly kuokoa hiki kizazi
Halafu ukienda peponi unajua kutakuwa na mito ya Pombe.Pombe hainitoi kwenye uislamu, nitaendelea kuitandika tu.
Pombe fake isha Fanya yakeHaya panua panua,
Pole
Wanywaji wenyew hawalalamiki ikiwa kali ndio wanapenda watakwambia izo za tbs sio kali acheni watu wanywe wamependa wenyewe
Ulaya pombe ni ghali watu wanakunywa kwa mahesabu makubwa sana.Mnywaji wa bongo (africa kwa ujumla) yupo hatarini kupata dosari ya figo mapema zaidi (miaka 5-10), wakati katika nchi zilizoendelea watu wanapiga pombe miaka hadi miaka bila kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa hao,walevi wengi ulaya wanazeeka vizuri tu.
Zinazoitwa bad life style duniani kote zinafanyika ila mwisho wa siku huku Africa ndio zinako leta madhara makubwa, kwanini? Ni kwamba huku zinafanyika katika namna ambayo ni FAKE.
Hili tatizo la udhibiti wa vyakula na vinywaji haliwezi kuisha kwasababu tuna wataalamu waliokariri masomo ya sayansi ambao hawawezu kui-navigate sayansi. HAWAJUI LOLOTE.