Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Kwani mmelazimishwa kunywa pombe!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee umenikumbushaNikipiga zangu eagle au bingwa natulia tuliii kiroho safi.hizo spirit kunyweni wenyewe kuna siku nilipiga valuer macho yakagoma kufunguka uzuri nilikuwa nyumbani tangu siku hiyo sitaki kusikia kitu kinaitwa spirit
Ni jukumu lamamlaka ipi ,unayoilalamikia ni Tbs au maabara ya mkemia mkuu wa serikaliKumekuwepo kwa kukithiri kwa wingi kwa pombe fake hapa Tanzania ni kama mamlaka imeshindwa kudhibiti hali imekuwa mbaya sana serikali ionee huruma wananchi wake huko mbeleni hali itakuwa mbaya sana.
Ukiwa bar kuanzia saa sita usiku na kuendelea bia zinazouzwa mida hii nyingi ni fake.