Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Acha utani basi yaan hata kikatio chako ni feki?Tz kila kitu fake
Umetaka mwenyewe,Pombe hatari halafu ukute feki ni hatari square ,sawa na kunywa sumu iliyo expire
Hahaa ivi mkuu sumu ikiexpire ndo inazidi makali au vpPombe hatari halafu ukute feki ni hatari square ,sawa na kunywa sumu iliyo expire
Google utapata jibu.Acha utani basi yaan hata kikatio chako ni feki?
Kakatio chako Si unacho hapo unaweza ukascreenshot ukanitumia PM nikione km ni feki kweliGoogle utapata jibu.
Inakuwa hatari zaidi😄Hahaa ivi mkuu sumu ikiexpire ndo inazidi makali au vp
Ni kama chako tuu haina haja ya screenshot. MkuuKakatio chako Si unacho hapo unaweza ukascreenshot ukanitumia PM nikione km ni feki kweli
Kwa hio wewe ni feki au OG?Ni kama chako tuu haina haja ya screenshot. Mkuu
Usisahau kioo ili ukione vizuriKakatio chako Si unacho hapo unaweza ukascreenshot ukanitumia PM nikione km ni feki kweli
Jibu lipo kwako kwakuwa uko kama mimi.Kwa hio wewe ni feki au OG?