Uchaguzi 2020 Kukiuka Maadili ya Uchaguzi kunaweza kupelekea mgombea kuzuiwa kufanya Kampeni hadi siku ya Uchaguzi au kuondolewa kabisa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Napitia hapa kanuni za maadili wakati wa uchaguzi mkuu.

Kiukweli hawa wagombea waliosaini kuziheshimu na kuzizingatia kanuni hizi halafu baadae wanazikiuka sijui wanajiamini haswa kwa sababu miongoni mwa adhabu ni kuzuiwa kuendelea na kampeni hadi siku ya uchaguzi ama kuondolewa kabisa kwenye orodha ya wagombea.

Chadema zingatieni kanuni adhabu ni kali.

Maendeleo hayana vyama!
 
Hii tume haina lolote La maana zaidi ya kukibeba chama cha ccm. Tume hii sio huru
 
Ndivyo mnavyopanga kumfanyia?
 
mnajifanya wajinga sio!
 
JPM anapaswa awe wa kwanza kuitwa. NEC wanacheza na hatari.
 
Naona mmeamua kurudisha mpira kwa kwa kipa
 
ndiyo mmepanga hivyo na watu wenu wa NEC? mmeshachelewa
 
Chadema wametuletea mgombea Urais Mwanasheria asiyetaka kufuata sheria.
 
Chadema wametuletea mgombea Urais Mwanasheria asiyetaka kufuata sheria.
Jiwe kakiuka sheria mara ngapi? Kwa nini haitwi?
Anazunguka anahubiri ubaguzi wa kivyama hadharani na hajaitwa.
Hao NEC ya ccm wathubutu kufanya uhuni mwaka huu waone
 
Think tank wenye kamasy kichwani katika ubora wenu!!

Mgombea ccm akiwa kwenye kampeni sengelema alitoa Rushwa ya kuwajengea watu barabara kwa kupigia simu!!

Mgombea wa ccm kigoma akampigia simu Jaffo kupeleka hera akiwa kwenye kampeni!!

Mgombea wa ccm anawagawa anatangaza hadharani kutokuwapelekea maendeleo wananchi kisa watachagua upinzani. Kama hizo pesa za maendeleo anazitoa mfukoni kwake au kauza mashamba yake!!!

Tume mbovu hi ni chanzo kikubwa chakutuandikia historia mbaya Tz
 
Wajaribu waone..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…