financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
😀😀😀 wanywa bia ndani ya swimming pool ,hapo watakua walikua wanamalizia humo humo aarghMe kuna mahali nilienda na hapa dar pool yao imeunganika na bar kuna jamaa walikuwa ndani ya pool wakipiga soga huku wakinywa bia
Nilikaa hapo kama 3 hours sioni wanaenda chooni nikaambia yule nilikuwa nae hapa siyo pazuri 🤣 🤣 🤣
ukiona mahali wameweka kikao hicho usiingie hayo maji😀😀😀😀😀 wanywa bia ndani ya swimming pool ,hapo watakua walikua wanamalizia humo humo aargh
Me kuna mahali nilienda na hapa dar pool yao imeunganika na bar kuna jamaa walikuwa ndani ya pool wakipiga soga huku wakinywa bia
Nilikaa hapo kama 3 hours sioni wanaenda chooni nikaambia yule nilikuwa nae hapa siyo pazuri [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Aisee kwahiyo wenyewe wanakua comfortable kabisa humo ndani kuchafuliana maji😀🙌ukiona mahali wameweka kikao hicho usiingie hayo maji😀😀
Akhaaa!Mikoani hamnyi humo?
Hii kitaalamu tunaiita "kalaraizesheni of kimba/kojo"Nasikia swimming pools nyingine maji yanawekwa dawa ukikojoa tu pale ulipokojoa maji yanabadilika rangi!
Mtoa mada, wahi chambo kimenasa!Hakuna mtu hajawahi kukojoa kwenye pool nasema hakuna mtu huyo
🤣🤣🤣🤣Me kuna mahali nilienda na hapa dar pool yao imeunganika na bar kuna jamaa walikuwa ndani ya pool wakipiga soga huku wakinywa bia
Nilikaa hapo kama 3 hours sioni wanaenda chooni nikaambia yule nilikuwa nae hapa siyo pazuri 🤣 🤣 🤣
Aisee hata Mimi nikifikiriaga ayo nashindwa kabisa,, mwingine anaenda toilet, kuchamba anakuja kuchambia kwenye swimming pool kimtindo
au kama sisi mtu umefanya sex na mmeo asubuhi na sperms hazikutoka zote, sasa ukiwa unaogelea zinaendelea kutoka, daah.
I'll never swim in the pool for God sake 🤣🤣🤣🤣siwezi banwa mkojo nkatoka kwny pool, hii mtansamehe. unatoka kiswimming cost kmekushika bara bara, watu mimacho kodo. mi nktoka kwny swimming jua sirud tena humo
Mi sijawahiHakuna mtu hajawahi kukojoa kwenye pool nasema hakuna mtu huyo
Kumbe we ni mwanamke? AyseeTabia hii ipo kwetu wakina dada, yani tukisha ingia ,labda kwa zile nguo zinachora"k" ilivyo mtu anaamua abaki ndani , anakojoa huko huko we utashangaa tu ukioga unawashwa.
wengine pia unakuta MTU YUPO HEDHI ila analazimisha kuoga, nayo mbaya sana hii, unakuta maji yanakuwa na rangi ya ajabu.
Tubadilike.
HE HE HEEEI'll never swim in the pool for God sake 🤣🤣🤣🤣