Kukosa credibility kwa tuliokuwa tunawapa kusimamia bandari yetu destiny yake ndio haya DP

Kukosa credibility kwa tuliokuwa tunawapa kusimamia bandari yetu destiny yake ndio haya DP

kanamaheri

Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
99
Reaction score
84
Kwa muda mrefu watanzania wachache walio pewa dhamana ya kuisimamia bandari yetu kuu ya Dar es salaam walikula bila kunawa, mizigo ya watu ilipotea, enzi za uwaziri wa mwakyembe kontena nzima ya vitenge ilidhibitika kupotea kontena ya mama kutoka zambia, waziri alitoa masaa kontena ikapatikana.

Unajiuliza kwa wakati huko na sasa kontena lilinapoteaje lili tembea!!! lakini jibu uaminifu kwa watanzania wenzetu ni sifuri, walisoma kwa gharama za walipa kodi maskini wa nchi hii na return yao kutoka kwale wale waliotumia kodi zao ni kuibia nchi yao.

Leo tunayaona na kuyasikia yanayoendelea waliotufikisha tulipo ni watanzania wenyewe, wakubwa wanafikiri pengine tukiifanya kama wanavyotaka kufanya tutaona tija yake.

Pamoja na tija hiyo tusilidhike na hiyo trilion 26 kwa mwaka. Nilitamani mtafute watu wakuisimamia bandari TPA waadirifu hata sijui mtapata wapi maana na kama kontena linaweza kupotea mbele yao na mifumo kuwepo!!!

Kukosa uaminifu watanzania wenzetu wanatufikisha tunakoelekea.
 
..Muwakilishi huyo wa serikali alijitapa kuwa na mamlaka kamili ya kusaini mikataba kwa niaba ya serikali bila Rais kuhusika na mkataba huo kutambulika kisheria!

Tumeanzia huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa muda mrefu watanzania wachache walio pewa dhamana ya kuisimamia bandari yetu kuu ya Dar es salaam walikula bila kunawa, mizigo ya watu ilipotea, enzi za uwaziri wa mwakyembe kontena nzima ya vitenge ilidhibitika kupotea kontena ya mama kutoka zambia, waziri alitoa masaa kontena ikapatikana. unajiuliza kwa wakati huko na sasa kontena lilinapoteaje lili tembea !!!!! lakini jibu uaminifu kwa watanzania wenzetu ni sifuri, walisoma kwa gharama za walipa kodi maskini wa nchi hii na return yao kutoka kwale wale waliotumia kodi zao ni kuibia nchi yao.
Leo tunayaona na kuyasikia yanayoendelea waliotufikisha tulipo ni watanzania wenyewe, wakubwa wanafikiri pengine tukiifanya kama wanavyotaka kufanya tutaona tija yake. pamoja na tija hiyo tusilidhike na hiyo trilion 26 kwa mwaka. nilitamani mtafute watu wakuisimamia bandari TPA waadirifu hata sijui mtapata wapi maana na kama kontena linaweza kupotea mbele yao na mifumo kuwepo!!!. kukosa uaminifu watanzania wenzetu wanatufikisha tunakoelekea sasa tunaumia lakini sauti zetu si kitu mbele yao waliokitini
Tuache kuwasingizia uongo wazalendo wetu walioitunza bandari yetu miaka yote pamoja na kwamba wamekuwa wakishibisha matumbo yao hapo hapo, na kingine kingi kilichobakia wakatupatia na sisi walalahoi tusife njaa.

Hili la kuwapa DP world bandari zetu zote bure na milele ni uhuni tu wa watawala na wala halina uhusiano wowote na ufanisi duni wa pale bandarini. Kwanini? Watawala wamedhamiria zaidi kuwapa waarabu wa Dubai umiliki wa milele wa bandari zetu zote na sio kuboresha bandari yetu.
 
Bila mizigo yakutosha SGR yetu itageuka ATCL
 
Kwa muda mrefu watanzania wachache walio pewa dhamana ya kuisimamia bandari yetu kuu ya Dar es salaam walikula bila kunawa, mizigo ya watu ilipotea, enzi za uwaziri wa mwakyembe kontena nzima ya vitenge ilidhibitika kupotea kontena ya mama kutoka zambia, waziri alitoa masaa kontena ikapatikana. unajiuliza kwa wakati huko na sasa kontena lilinapoteaje lili tembea !!!!! lakini jibu uaminifu kwa watanzania wenzetu ni sifuri, walisoma kwa gharama za walipa kodi maskini wa nchi hii na return yao kutoka kwale wale waliotumia kodi zao ni kuibia nchi yao.
Leo tunayaona na kuyasikia yanayoendelea waliotufikisha tulipo ni watanzania wenyewe, wakubwa wanafikiri pengine tukiifanya kama wanavyotaka kufanya tutaona tija yake. pamoja na tija hiyo tusilidhike na hiyo trilion 26 kwa mwaka. nilitamani mtafute watu wakuisimamia bandari TPA waadirifu hata sijui mtapata wapi maana na kama kontena linaweza kupotea mbele yao na mifumo kuwepo!!!. kukosa uaminifu watanzania wenzetu wanatufikisha tunakoelekea sasa tunaumia lakini sauti zetu si kitu mbele yao waliokitini
Unajua anayewateua viongozi wa bandari? Tatizo la bandari chanzo chake ni viongozi wa serikali. Nchi inakuwa na viongozi ili kusimamia mambo kama haya. Wameshindwa badala ya kupisha wengine wao wanataka kuuza bandari. Haya ni matokeo ya mtu amabye alitakiwa kuwa mama wa nyumbani kupewa urais. Vision zero. Anafikiri kwenye kusaidiwa tu. Inaonekana hata culture ya sehemu alikokulia inamfanya mwanamke ajione ni kiumbe kinachostahili kufanyiwa mambo watu wenye uwezo.
 
Kwani Ticts si wapo miaka 30 hapo ?
TPA unawalaumu Kwa kipi??
Hao ticts ni kina nani? ni watz pia mwangalizi wa bandari ni watz kupitia TPA. wanastairi kulaumiwa sana tena kama ufanisi na uadilifu ungekuwakwenye kuta za mioyo yao hata hili linaoendelea lisingetupereke huko wenye dhamana wanatupeleke. Ticts ni watanzania hawa kuona huruma namna ya kufanya kazi kidri ya makubaliano... TPA wanastairi lawama kw kushindwa kusimamia mifumo mpaka mizigo ya watu ikawa inapotea na wengine kuhamu mizigo yao kukaa muda mrefu, kwanini ukae na mzigo wa mtu muda mrefu huoni unatengeneza mazingira ya rushwa uhongwe ndio mzigo utoke kwa wakati! TPA hili la DP limezalishwa na wao
 
Unajua anayewateua viongozi wa bandari? Tatizo la bandari chanzo chake ni viongozi wa serikali. Nchi inakuwa na viongozi ili kusimamia mambo kama haya. Wameshindwa badala ya kupisha wengine wao wanataka kuuza bandari. Haya ni matokeo ya mtu amabye alitakiwa kuwa mama wa nyumbani kupewa urais. Vision zero. Anafikiri kwenye kusaidiwa tu. Inaonekana hata culture ya sehemu alikokulia inamfanya mwanamke ajione ni kiumbe kinachostahili kufanyiwa mambo watu wenye uwezo.
walipoteuliwa walikuwa na nyuso za uadilifu walipoingia jikoni walibadilika. kuwa mwanamke kuna maana mtu hawezi kuwa kiongozi bora.. wasomi wote nchi ni mali ya rais yeye anateu ndugu zetu ndugu zetu wanatumia uteuzi kujinufaisha na familia zao na kujenga majumba makubwa wengine ndugu zao wakiishi kwenye nyumba za tembe. WAKUNUNIWA SIO RAIS TUWANUNI NDUGU ZETU KWA KUSHINDWA KUTIMIZA WAJIBU WAO. waliaminiwa wameshindwa kuaminika na wametuzamisha na kutufunga mawe tunashindwa kuibuka tuone na watu tuokolewa na wapita njia.. TPA na wafanyakazi wote wa bandari kwa kujua au kwa kutokujua matendo yao wametufikisha tunaoekelekea
 
Kwa muda mrefu watanzania wachache walio pewa dhamana ya kuisimamia bandari yetu kuu ya Dar es salaam walikula bila kunawa, mizigo ya watu ilipotea, enzi za uwaziri wa mwakyembe kontena nzima ya vitenge ilidhibitika kupotea kontena ya mama kutoka zambia, waziri alitoa masaa kontena ikapatikana. unajiuliza kwa wakati huko na sasa kontena lilinapoteaje lili tembea !!!!! lakini jibu uaminifu kwa watanzania wenzetu ni sifuri, walisoma kwa gharama za walipa kodi maskini wa nchi hii na return yao kutoka kwale wale waliotumia kodi zao ni kuibia nchi yao.
Leo tunayaona na kuyasikia yanayoendelea waliotufikisha tulipo ni watanzania wenyewe, wakubwa wanafikiri pengine tukiifanya kama wanavyotaka kufanya tutaona tija yake. pamoja na tija hiyo tusilidhike na hiyo trilion 26 kwa mwaka. nilitamani mtafute watu wakuisimamia bandari TPA waadirifu hata sijui mtapata wapi maana na kama kontena linaweza kupotea mbele yao na mifumo kuwepo!!!. kukosa uaminifu watanzania wenzetu wanatufikisha tunakoelekea sasa tunaumia lakini sauti zetu si kitu mbele yao waliokitini
Umendika vizuri ila ningekuwa mwaliwa wako ningebadilisha title yako niandike, " Rushwa kwa viongozi wetu ndio imetufisha kwa DPW
 
Kwani Ticts si wapo miaka 30 hapo ?
TPA unawalaumu Kwa kipi??
... sio kwamba ukimwajiri shamba boy halafu shamba halijawahi kutoa cha maana for many years zaidi ya hasara, ceteris paribus, nadhani wa kulaumiwa sio shamba boy; ni wewe mwajiri.
 
walipoteuliwa walikuwa na nyuso za uadilifu walipoingia jikoni walibadilika. kuwa mwanamke kuna maana mtu hawezi kuwa kiongozi bora.. wasomi wote nchi ni mali ya rais yeye anateu ndugu zetu ndugu zetu wanatumia uteuzi kujinufaisha na familia zao na kujenga majumba makubwa wengine ndugu zao wakiishi kwenye nyumba za tembe. WAKUNUNIWA SIO RAIS TUWANUNI NDUGU ZETU KWA KUSHINDWA KUTIMIZA WAJIBU WAO. waliaminiwa wameshindwa kuaminika na wametuzamisha na kutufunga mawe tunashindwa kuibuka tuone na watu tuokolewa na wapita njia.. TPA na wafanyakazi wote wa bandari kwa kujua au kwa kutokujua matendo yao wametufikisha tunaoekelekea
Kosa liko kwa serikali. Imeshindwa kuwasimamia. Imeshindwa kuendesha bandari. Kushindwa kwa CCM siyo kushindwa kwa watanzania wote.
 
... sio kwamba ukimwajiri shamba boy halafu shamba halijawahi kutoa cha maana for many years zaidi ya hasara, ceteris paribus, nadhani wa kulaumiwa sio shamba boy; ni wewe mwajiri.
Nafikiri Una kosea kitu
Ticts waliweza kuongeza kitu tatizo ni mahitaji yamezidi uwezo...sio kwamba ni total failure
 
We kajamaa kaongo kaongo sana...TICTS wamehudumu kwa miaka 22 pekee...hio 30 umeitoa wapi?
Labda incorrect memory?lazima kwako kila kitu kigeuke ubishani wa Simba na Yanga??
 
Nafikiri Una kosea kitu
Ticts waliweza kuongeza kitu tatizo ni mahitaji yamezidi uwezo...sio kwamba ni total failure
TICTS hawakuwahi kujenga ht Gati moja yet alone kuongeza kina...walikua wanalipa mrabaha wa 7B hadi JPM alivyoingia uka double to 14B...wameondoka wamepaacha yale magati yao km walivyoyakuta...it was one of the worse agreement ever made, ndo maana bunge likaamua wakimaliza wasepe...hawa waliingia kabla ya sheria ya national wealth ya 2017 inayolazimisha mikataba kujadiliwa na wanainchi na kupelekwa bungeni, enzi izo karamagi anamalizana na balaza la mawaziri tu ambalo yy alikua sehemu yake.
To me they were a Total failure
 
TICTS hawakuwahi kujenga ht Gati moja yet alone kuongeza kina...walikua wanalipa mrabaha wa 7B hadi JPM alivyoingia uka double to 14B...wameondoka wamepaacha yale magati yao km walivyoyakuta...it was one of the worse agreement ever made, ndo maana bunge likaamua wakimaliza wasepe...hawa waliingia kabla ya sheria ya national wealth ya 2017 inayolazimisha mikataba kujadiliwa na wanainchi na kupelekwa bungeni, enzi izo karamagi anamalizana na balaza la mawaziri tu ambalo yy alikua sehemu yake.
To me they were a Total failure
Still bado wameajiri watu kupinga mwekezaji mwingine...?na still waliojiriwa kupinga muewekezaji mwingine hawajui kuwa wanampigania Ticts?au Mimi kuna kitu sijaelewa??
 
Still bado wameajiri watu kupinga mwekezaji mwingine...?na still waliojiriwa kupinga muewekezaji mwingine hawajui kuwa wanampigania Ticts?au Mimi kuna kitu sijaelewa??
Hakuna anaempigania TICTS watu wanataka better agreement terms regarldess ya muwekezani...
TICTS ht watu wakiwapigania hawawezi kurudi na hata wao wanajua so sioni sababu za wao kuajiri watu kwa ajili ya hilo, kurudi kwao itakua kinyume na azimio la Bunge.
 
Hakuna anaempigania TICTS watu wanataka better agreement terms regarldess ya muwekezani...
TICTS ht watu wakiwapigania hawawezi kurudi, kurudi kwao itakua kinyume na azimio la Bunge.
Nimekuelewa. .I hope HGA italeta better terms..
 
Back
Top Bottom