Sahihi, barua itakuwa ni attachment kwenye voucher vinginevyo CAG atasema ni ubadhirifuMalipo ya serikali hawarudishi kirahisi hivo, wao wataulizwa mbna mlitoa hii pesa? Watajibu vipi?
Hapo hio hela utateseka sana kuipata,
aende Tanesco acheki huyo mteja adress yake.. akampe bure au amuuzie kwa punguzohuo mzunguko ni mzuri as utakuwa makini zaidi kufanya malipo mda mwengine
fvck yeahNdio maana namba yangu ya mita huwa naikopi na kuipesti staki ujinga 🤣🤣🤣