Sozo_
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 776
- 1,132
Tusipotezeane muda niingie moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu, nilikuwa nanunua LUKU nikawa nimekosea namba moja nikawa nimenunua kwa mita namba nyingine.
Nimepiga simu nirejeshewe fedha yangu naambiwa hadi niandike barua. Hivi TANESCO hawawezi kuwa na mfumo kama wa mitandao ya simu ya kurejesha muamala wa mteja aliyekosea pasipo kumhangaisha na mizunguko kibao?
Nimepiga simu nirejeshewe fedha yangu naambiwa hadi niandike barua. Hivi TANESCO hawawezi kuwa na mfumo kama wa mitandao ya simu ya kurejesha muamala wa mteja aliyekosea pasipo kumhangaisha na mizunguko kibao?