Black Mirror
JF-Expert Member
- Oct 17, 2019
- 919
- 1,192
Nahisi kuna ukweli hadi sielewi, hakika nimekumbana na issue hii mara kwa mara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni kweli[emoji23][emoji28]Wasukuma na Waha wenyewe wakipata vocha kazi yao nikujitungia namba yoyote na kuanza kupiga cm... Kazi yao ni kusalimia tu hadi dakika ziishe ndio starehe yao...
Sasa ngosha ndio kila siku? .......utasikia nipo lamdi! Au.....Itilima😂kabla ya sensa ya juzi tulikua zaidi ya robo ya watz wote tuvumilie tu mkuu
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]mi mpaka nimeacha kutumia huo mtandaoTena mtandao wa airtel, wasukuma wasumbufu haijawahi tokea. Halafu wanaamini kila mtu anapaswa kujua lugha yao.
Nawa masai pia[emoji23]Sijui kwanini aisee..wasukuma na Waha sijui kuna tatizo gani huko,halafu kingine hata zile namba ambazo zinabadilishwa na kupewa mtumiaji mwingine baada ya mwenye nayo kuitelekeza nazo pia wanazielekezea huko si mara moja nakutana na kesi hizi
Mtuwache 😁😁😁😀😀😀 ngoja niwaitie ndugu zao watupelee salamu SHIMBA NGOSHA Shimba ya Buyenze kajekudya Kiranga Nyani Ngabu (huyu sijui yuko wapi siku hizi) Pascal Mayalla msukuma msweetie Sukuma gal Victoire ongezeni na wengine.
Niidhani hili balaa linaniangukiaga mimi tu.Mara zote ni wasukumaSijui kwanini aisee..wasukuma na Waha sijui kuna tatizo gani huko,halafu kingine hata zile namba ambazo zinabadilishwa na kupewa mtumiaji mwingine baada ya mwenye nayo kuitelekeza nazo pia wanazielekezea huko si mara moja nakutana na kesi hizi
Mabūdanganu gabo dūhū bageshi 😬😬😬Jamiiforum raha sana kwa kweli[emoji1]
Huu uzi tayari kila member anayechangia kashapigiwa simu na msukuma kwa kukosea namba
DOLEKAGI NABO SHAMBA BUSE
Ila daah!mnajitahidi kuongeza binadamu duniani.mwingine alinambia ni Nehema yupo kwimba!Mabūtumbasu gabo dūhū bageshi 😬😬😬
Nilidhani wanakoseaga kwangu tu. Utasikia mama Matheyo ni weewe. Na hawa wa Iringa oia washanipigia mara 2. Ila wasukuna wamepiga wengi sana. Kuna mmoja hadi alisema mie nimempigia mume wake🤗 hahah. Labda hawajui kama kila mtu ana namba zake,wanapiga yoyote wanadhani ndugu zao watakimbiziwa simu mfano kwenye kijiji cha Dar🤣🤣Mimi sio mfuasi wa kuponda makabila, nawapenda wote, hata mwenzi wangu sio wa kabila langu. Lakini najiuliza kwanini kila ninapopigiwa simu ya kukosewa huyo mtu anakuwa msukuma, kama sio mwanaume atakuwa mwanamke.
Nawajuaje? Mara nyingi husalimia kikwao, ama kuita majina yao, tunaposhindwa kuelewana huwa nawaambia wamekosea kupiga.
Wengine watarudia mara mbili au tatu na wakati umemwambia amekosea.
Hoja yangu ni kwamba kwanini wawe wasukuma tu? Ina maana nchi hii ina idadi kubwa ya Wasukuma? Au nini ndugu zangu?