Kukosea kupiga simu kwanini iwe kwa watu wa kabila moja?

Kukosea kupiga simu kwanini iwe kwa watu wa kabila moja?

hata wanaosumbua kwa kupiga simu huduma kwa wateja kwenye mitandao ya simu yote ni wasukuma....wanapiga simu customer care hadi usiku wa manane ili wakusalimie tu muhudumu....[emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi sio mfuasi wa kuponda makabila, nawapenda wote, hata mwenzi wangu sio wa kabila langu. Lakini najiuliza kwanini kila ninapopigiwa simu ya kukosewa huyo mtu anakuwa msukuma, kama sio mwanaume atakuwa mwanamke.

Nawajuaje? Mara nyingi husalimia kikwao, ama kuita majina yao, tunaposhindwa kuelewana huwa nawaambia wamekosea kupiga.

Wengine watarudia mara mbili au tatu na wakati umemwambia amekosea.
Hoja yangu ni kwamba kwanini wawe wasukuma tu? Ina maana nchi hii ina idadi kubwa ya Wasukuma? Au nini ndugu zangu?
🤣🤣🤣sina majibu
 
Mimi sio mfuasi wa kuponda makabila, nawapenda wote, hata mwenzi wangu sio wa kabila langu. Lakini najiuliza kwanini kila ninapopigiwa simu ya kukosewa huyo mtu anakuwa msukuma, kama sio mwanaume atakuwa mwanamke.

Nawajuaje? Mara nyingi husalimia kikwao, ama kuita majina yao, tunaposhindwa kuelewana huwa nawaambia wamekosea kupiga.

Wengine watarudia mara mbili au tatu na wakati umemwambia amekosea.
Hoja yangu ni kwamba kwanini wawe wasukuma tu? Ina maana nchi hii ina idadi kubwa ya Wasukuma? Au nini ndugu zangu?
Ni kweli, wakifuatiwa na wamasai kwa mbali
 
Mimi sio mfuasi wa kuponda makabila, nawapenda wote, hata mwenzi wangu sio wa kabila langu. Lakini najiuliza kwanini kila ninapopigiwa simu ya kukosewa huyo mtu anakuwa msukuma, kama sio mwanaume atakuwa mwanamke.

Nawajuaje? Mara nyingi husalimia kikwao, ama kuita majina yao, tunaposhindwa kuelewana huwa nawaambia wamekosea kupiga.

Wengine watarudia mara mbili au tatu na wakati umemwambia amekosea.
Hoja yangu ni kwamba kwanini wawe wasukuma tu? Ina maana nchi hii ina idadi kubwa ya Wasukuma? Au nini ndugu zangu?

Na wanakupigia kwa kujiamini kweli kweli...utasikie ubhebhe
 
Hao watu wasumbufu sana halafu ni wagumu sana kuelewa mtu unamwambia umekosea lakini waapi anarudia tena mara nyingi huwa navua koti la ustaarabu na kuvaa la matusi.
Nikigunduaga kuwa amekosea...najitambulisha...mimi ni afande Glenn kituo cha...huwa wanakata simu fasta🤣🤣🤣
 
Mimi sio mfuasi wa kuponda makabila, nawapenda wote, hata mwenzi wangu sio wa kabila langu. Lakini najiuliza kwanini kila ninapopigiwa simu ya kukosewa huyo mtu anakuwa msukuma, kama sio mwanaume atakuwa mwanamke.

Nawajuaje? Mara nyingi husalimia kikwao, ama kuita majina yao, tunaposhindwa kuelewana huwa nawaambia wamekosea kupiga.

Wengine watarudia mara mbili au tatu na wakati umemwambia amekosea.
Hoja yangu ni kwamba kwanini wawe wasukuma tu? Ina maana nchi hii ina idadi kubwa ya Wasukuma? Au nini ndugu zangu?
Kweli kabisa yaani !
 
Nakazia [emoji419]

Ukikosea tarakimu kwenye namba uliyokusudia kuipigia basi... atapokea mtu wa usukumani 90%

Ukiwa na namba ambayo hujaitumia siku nyingi siku ukiipigia tu... utapokelewa na mtu wa kanda ya ziwa 95%

Ukiona namba ngeni tu inakuletea stori tofauti (unakuta hawezi Kiswahili kabisa au hawezi vizuri, anakutaja kwa jina ambalo hata hulijui, anakuuliza swali au anakupa taarifa ambayo huelewi imeanzia wapi inaishia wapi na wakati mwingine anakushutumu umeiba namba ya mtu aliyekusudia kumpigia na anakukomalia kabisa anakwambia mbona hii namba nawasiliana naye kila siku- akimaanisha hajakosea namba)... hii kwa 99.9% huwa ni WASUKUMA

Nadhani ni kutokana na wingi wao... ni kama vile Wanaijeria kwa Africa au Wachina na Wahindi kwa dunia nzima

Angalia mitandaoni utakuta hao watu watatu wamejaa sana kila sehemu. Kwenye WhatsApp ukiona namba ya nchi ya kigeni tu basi ni mnaijeria (tena mara nyingi matapeli). Mitandao mingi, applications na videos nyingi mitandaoni (YouTube, Facebook, Twitter, na kadhalika) zinazofundisha maswala mbali mbali hususani ya kiteknolojia, vichekesho na mautundu mbali mbali ni za wachina na wahindi wakifuatiwa na Wanaijeria
 
[emoji38][emoji38][emoji38] ni kweli kabisa,namba yangu ya Airtel haipiti siku tatu bila kupokea simu ya msukuma au mmasai.
Hili la airtel kuna ukweli maana chuoni ilibidi nibadili namba yangu fulani ya airtel kwa kadhia hii enzi za HAKATWI MTU (nilikuwa kila siku napigiwa na wasukuma na hawanielewi hata nikiwaelewesha)

Nilipobadilisha namba nikawa sipati idadi kubwa kama ile halafu nilipohamia huku airtel haishiki kwahiyo nikawa kwa kiasi kikubwa sikumbani nao tena

Kipindi kile mpaka nabadili namba ingekuwa ndo sasahivi labda wangepigwa sana hela na masela wangu maana nilikuwa nawashirikisha wadau kwenye usumbufu ninaopata.

Nakumbuka mmama mmoja alikuwa kila siku ananiita "kaka Saidi" basi akipiga anasema nimefanana hadi sauti na huyo kaka yake halafu anasema wakati mwingine anampata kaka yake kwa namba hiyo hiyo wanaongea wakati mwingine ananipata mimi basi ikawa tumezoeana kabisa
 
Ni kweli siku ya tatu Leo wanapiga asubuhi, mchana,jioni hata usiku.Jana Niko kwenye vikao wanapiga ukipokea wanaongea kisukuma,yaan nilikereka sana, baada ya hapo Nimejaribu kuziblock zile number Wikiend naweza shinda vizuri Walau.Usiombe hao jamaa wakosee no alafu sio waelewa hata ukiwaambia umekosea.
Kwa nn uwe ni wewe tu?

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Kuna watu walininga balaa.. kila wakipiga simu unasikia Jofureeee kinehee. Nawaambia mm sio jofuree umekosea. Unasikia Hiiiiiii kwani wewe nani[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi sio mfuasi wa kuponda makabila, nawapenda wote, hata mwenzi wangu sio wa kabila langu. Lakini najiuliza kwanini kila ninapopigiwa simu ya kukosewa huyo mtu anakuwa msukuma, kama sio mwanaume atakuwa mwanamke.

Nawajuaje? Mara nyingi husalimia kikwao, ama kuita majina yao, tunaposhindwa kuelewana huwa nawaambia wamekosea kupiga.

Wengine watarudia mara mbili au tatu na wakati umemwambia amekosea.
Hoja yangu ni kwamba kwanini wawe wasukuma tu? Ina maana nchi hii ina idadi kubwa ya Wasukuma? Au nini ndugu zangu?
Simple iko hivi lain unayotumia huna hatimiliki nayo kuna msukuma alikua anatumia sasa ngosha huyo akaacha kuitumia ndio ukapewa wewe kwa hiyo ndugu zake kina ngosha watakusumbua sanaa sababu wanajua line ni ya ngosha mwenzako najipigia tu vitoto vya chuo cha amazon kila siku. Vinapiga simu maana kuna mwalimu wao alikua anatumia line hioo
 
Back
Top Bottom