mkaamweusi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2013
- 618
- 824
Airtel,
Ukipokea tu utaskia "Sogaduhu"
Ukipokea tu utaskia "Sogaduhu"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mm laini yangu ya voda wamempa mtu kutoka kigoma laini ilikuwa situmiiSijui kwanini aisee..wasukuma na Waha sijui kuna tatizo gani huko,halafu kingine hata zile namba ambazo zinabadilishwa na kupewa mtumiaji mwingine baada ya mwenye nayo kuitelekeza nazo pia wanazielekezea huko si mara moja nakutana na kesi hizi
Hata mm laini yangu ya voda wamempa mtu kutoka kigoma laini ilikuwa situmiiSijui kwanini aisee..wasukuma na Waha sijui kuna tatizo gani huko,halafu kingine hata zile namba ambazo zinabadilishwa na kupewa mtumiaji mwingine baada ya mwenye nayo kuitelekeza nazo pia wanazielekezea huko si mara moja nakutana na kesi hizi
Mkuu goloko nimekuelewa mm Ni junior gorokoKuna kipindi niliwahi fanya kazi call center ya kampuni fulan hivi.. yaan haipiti robo saa unapokea simu ya Msukuma halafu hajui kapiga wap anabaki anauliza na kubung'aa tu, walikuwa wanatukera asee 😂😂
Mimi bas ndio wale murani kbsa koriyangamimi ni wamasai
Halafu kweli. Kuna huyo msukuma alikosea namba. Namwambia amekosea ila kila siku anatuma msg na kupiga simu. Siku anapiga nipo na Mr anaona sipokei, akaniambia pokea simu.Hao jamaa wanokosea kama nisim ya mkeo wanamsumbua mpaka uingilie kati umkoromee harudii tena.
Wanfany kusudi kuna wasukuma na wakurya
Uhuru wa mawasiliano kuwasumbua watu.Hebu mtuache kidogo sisi waha na wasukuma huo ndo uhuru wa mawasiliano[emoji23][emoji23]
Ningeshangaa sana huu uzi ukose hili neno "ushamba". Na nilitegemea kuliona mwanzoni kabisa, lakini hatimaye nimekuja kulikuta, post #16Ushamba ni mzigo
Tukianza kuonga lugha ya taifa utatuelewa hapa? Hagayaaaaa!😀😀😀 ngoja niwaitie ndugu zao watupelee salamu SHIMBA NGOSHA Shimba ya Buyenze kajekudya Kiranga Nyani Ngabu (huyu sijui yuko wapi siku hizi) Pascal Mayalla msukuma msweetie Sukuma gal Victoire ongezeni na wengine.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umenikumbusha kuna namba moja my niece aliitelekeza mimi sina hili wala lile nikapiga kumbe amepewa msukuma bwana, nilijuta....ile namba ilinisumbua kama mwaka mzima. Ilifika wakati namfokea ile kumfokea kama mtoto anapumzika miezi kadhaa siku nyingine unaona tena huyoooSijui kwanini aisee..wasukuma na Waha sijui kuna tatizo gani huko,halafu kingine hata zile namba ambazo zinabadilishwa na kupewa mtumiaji mwingine baada ya mwenye nayo kuitelekeza nazo pia wanazielekezea huko si mara moja nakutana na kesi hizi
Mbona mimi siyo msukuma jamani😀😀😀 ngoja niwaitie ndugu zao watupelee salamu SHIMBA NGOSHA Shimba ya Buyenze kajekudya Kiranga Nyani Ngabu (huyu sijui yuko wapi siku hizi) Pascal Mayalla msukuma msweetie Sukuma gal Victoire ongezeni na wengine.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] voda hiyoKuna kipindi niliwahi fanya kazi call center ya kampuni fulan hivi.. yaan haipiti robo saa unapokea simu ya Msukuma halafu hajui kapiga wap anabaki anauliza na kubung'aa tu, walikuwa wanatukera asee [emoji23][emoji23]