Wanionyeshe hiyo hitilafu nikarekebishe na plaiziMchakato unaendelea kumpata mkandarasi,
Papa upanga hao.papa wamekula cable
ova
Inaitwa multihoming.Tuwe na option 2, cable na satellite!, turuhusu starlink!, makampuni ya mawasiliano yafunge autostart in case of one side failure!
Sasa kama nyaya imekatwa na wamejua ilipokatwa wapi si waunganishe tu chapa ngoma liamke tena mbona wanachukua muda sana.Watumiaji wa intaneti nchini Tanzania, Kenya, Rwanda na Uganda wamekuwa wakilalamikia ukosefu wa intaneti huku watoa huduma kote Afrika Mashariki wakikiri kumekuwa na tatizo.
View attachment 2989668
Wamesema wanajitahidi kurekebisha tatizo hilo.
Huduma hiyo ilikumbwa na hitilafu katika nyaya za chini ya bahari zinazounganisha eneo hilo na dunia nzima kupitia Afrika Kusini, mtaalam wa sekta hiyo Ben Roberts aliambia BBC.
Hali kama hiyo ilishuhudiwa katika sehemu za Magharibi na Kusini mwa Afrika mwezi Machi.
Cloudflare Radar, ambayo inafuatilia uunganishaji wa intaneti, imesema kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizoathirika zaidi na trafiki kushuka hadi asilimia 30 ya viwango vinavyotarajiwa.
Gazeti la Citizen la Tanzania lilieleza kilichotokea kama "kuzimwa kwa mtandao ambao kumeathiri njia kuu za mtandao".
Safaricom, pia nchini Kenya, ilisema "inakabiliwa na changamoto". Airtel Uganda imesema inafahamu kuhusu "huduma ya mtandao ya mara kwa mara".
Na MTN Rwanda ilisema kulikuwa na "suala la uharibifu wa uhusiano wa kimataifa". Malawi, Msumbiji na Madagascar pia zimeathirika kulingana na Cloudflare Radar.
Bw Roberts, kutoka kampuni ya pan-Africa ya Liquid Intelligent Technologies, alisema kuwa amethibitisha kuwa kebo moja inayopitia kando ya pwani ya Afrika Mashariki, inayojulikana kama Eassy, ilikuwa imekatwa mapema Jumapili katika Mji wa bandari wa Afrika wa Durban.
Kebo nyingine pia ilikatwa. Alipuuzilia mbali uwezekano kwamba huenda ni hujuma na uongeza kuha hali kama hiyo wakati mwingine hutokea kwa bahati mbaya.
Kebo zingine zinazounganisha Afrika Mashariki na Ulaya pia zinapatikana na hatua kwa hatua huduma inapaswa kuboreshwa kwani data inapitishwa tena.
Lakini kwa vile makampuni mengi makubwa yana vituo vya data nchini Afrika Kusini uharibifu wa kiungo muhimu ambacho Eassy hutoa ulikuwa na athari kubwa.
Chanzo: BBC
Siwi tyna teknolojia ya kuwasilana kwa kutumia bakuli na sahani za maji.Kwanini watanzania huko kwenye masomo ya Sayansi huwa mnasoma nini ?
Lini bara la Afrika litakuwa na uwezo wa kuzalisha yenyewe huduma ya internet bila kutegemea huduma kutoka kwa mzungu ?
Mwambie siku nyingine awe anauliza kwanza...Mshamba huwezi kuelewa hapo ulipo ukiambiwa define internet hujui
INSHORT UNAWEZA TENGENEZA NETWORK ILI UPATAE INTERNET LAZIMA UCONNECT NA GLOBAL INTERCONNECTED COMPUTER NETWORKS (INTERNET) SASA HAPO UNAITENGENEZAJE?
KAA KIMYA SIKU NYINGINE
Kama kiswahili Cha wahindi 😅😅Hiki kiswahili Cha google translator ni shida kukielewa.
Msamehe anawaza ki CHADEMA CHADEMA hawatachelewa kusema ni kwa sababu Kamati Kuu yao ilikuwa na kikaoUnazalishaje internet mwenyewe? internet ni connectivity
Wewe ukiungana na jirani yako nae akaungana na mwengine nakuendelea
Kwa hiyo hiyo cable wameshindwa kuiunga mpk leo?Watumiaji wa intaneti nchini Tanzania, Kenya, Rwanda na Uganda wamekuwa wakilalamikia ukosefu wa intaneti huku watoa huduma kote Afrika Mashariki wakikiri kumekuwa na tatizo.
View attachment 2989668
Wamesema wanajitahidi kurekebisha tatizo hilo.
Huduma hiyo ilikumbwa na hitilafu katika nyaya za chini ya bahari zinazounganisha eneo hilo na dunia nzima kupitia Afrika Kusini, mtaalam wa sekta hiyo Ben Roberts aliambia BBC.
Hali kama hiyo ilishuhudiwa katika sehemu za Magharibi na Kusini mwa Afrika mwezi Machi.
Cloudflare Radar, ambayo inafuatilia uunganishaji wa intaneti, imesema kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizoathirika zaidi na trafiki kushuka hadi asilimia 30 ya viwango vinavyotarajiwa.
Gazeti la Citizen la Tanzania lilieleza kilichotokea kama "kuzimwa kwa mtandao ambao kumeathiri njia kuu za mtandao".
Safaricom, pia nchini Kenya, ilisema "inakabiliwa na changamoto". Airtel Uganda imesema inafahamu kuhusu "huduma ya mtandao ya mara kwa mara".
Na MTN Rwanda ilisema kulikuwa na "suala la uharibifu wa uhusiano wa kimataifa". Malawi, Msumbiji na Madagascar pia zimeathirika kulingana na Cloudflare Radar.
Bw Roberts, kutoka kampuni ya pan-Africa ya Liquid Intelligent Technologies, alisema kuwa amethibitisha kuwa kebo moja inayopitia kando ya pwani ya Afrika Mashariki, inayojulikana kama Eassy, ilikuwa imekatwa mapema Jumapili katika Mji wa bandari wa Afrika wa Durban.
Kebo nyingine pia ilikatwa. Alipuuzilia mbali uwezekano kwamba huenda ni hujuma na uongeza kuha hali kama hiyo wakati mwingine hutokea kwa bahati mbaya.
Kebo zingine zinazounganisha Afrika Mashariki na Ulaya pia zinapatikana na hatua kwa hatua huduma inapaswa kuboreshwa kwani data inapitishwa tena.
Lakini kwa vile makampuni mengi makubwa yana vituo vya data nchini Afrika Kusini uharibifu wa kiungo muhimu ambacho Eassy hutoa ulikuwa na athari kubwa.
Chanzo: BBC
Hiyo cable mpk leo imewashinda kuiunga aseeHabari hiyo hiyo kwa English version kuna podcast ndani yake.
Kwenye mahojiano mtaalamu ambae anamiliki kampuni ya kutandaza hizo cable baharini amesema sababu ambazo cable zinaweza snap trawl fishing, nanga za meli na underwater mad slide.
On average kwa siku duniani cable moja au mbili zinakatika na katika muda wake wa kazi ajawahi sikia sabotage.
Asilimia 99% ya mawasaliano duniani ni underwater cables ndio zenye uwezo wa kusafirisha data nyingi kwa mkupuo, satelitę aina uwezo huo, not reliable na gharama ni kubwa sana kushinda cables.
Kwanza kama satelitę ni asilimia 1% chances asilimia kubwa ya watumiaji wake ni security forces za nchi zilizoendelea na watu wanaosafiri maporini sana.
Sio kazi ambayo kila mtu anaeweza ifanya ni makampuni machache yana uwezo wa kufanya hiyo shughuli duniani.Hiyo cable mpk leo imewashinda kuiunga asee
Na mademu wamuachie nani?Kwanini watanzania huko kwenye masomo ya Sayansi huwa mnasoma nini ?
Lini bara la Afrika litakuwa na uwezo wa kuzalisha yenyewe huduma ya internet bila kutegemea huduma kutoka kwa mzungu ?
embu nieleweshwe jambo, wewe unastar link, na Mtandao wako wa Starlink uko vizuri, lakini mm mwenye server natumia submarine cable tupo kwenye shida ya mtandao, kivip utaweza kupata access ya mtandao ikiwa utaitaji huduma kutoka kwangu?So maana yake ni kuwa kama tungekuwa na internet ya Star link tusinge hangaika bado lawama apewe NAPE NAUYE.
Quran imeeleza nini kuhusu kukatika hiyo cable?Siwi tyna teknolojia ya kuwasilana kwa kutumia bakuli na sahani za maji.
Bora kuliko hii Internet.
Watangulize kufunga na mipira ile ya kufungia mizigo kwenye baiskeli kisha wapige hizo tape nyingi !!Sehem iliyokatika wapige tape nyingi
Nape angekubali internet ya Elon Musk ubgekuta tunaendelea kutumia starlink badala ya kulalamikia cable.Watumiaji wa intaneti nchini Tanzania, Kenya, Rwanda na Uganda wamekuwa wakilalamikia ukosefu wa intaneti huku watoa huduma kote Afrika Mashariki wakikiri kumekuwa na tatizo.
View attachment 2989668
Wamesema wanajitahidi kurekebisha tatizo hilo.
Huduma hiyo ilikumbwa na hitilafu katika nyaya za chini ya bahari zinazounganisha eneo hilo na dunia nzima kupitia Afrika Kusini, mtaalam wa sekta hiyo Ben Roberts aliambia BBC.
Hali kama hiyo ilishuhudiwa katika sehemu za Magharibi na Kusini mwa Afrika mwezi Machi.
Cloudflare Radar, ambayo inafuatilia uunganishaji wa intaneti, imesema kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizoathirika zaidi na trafiki kushuka hadi asilimia 30 ya viwango vinavyotarajiwa.
Gazeti la Citizen la Tanzania lilieleza kilichotokea kama "kuzimwa kwa mtandao ambao kumeathiri njia kuu za mtandao".
Safaricom, pia nchini Kenya, ilisema "inakabiliwa na changamoto". Airtel Uganda imesema inafahamu kuhusu "huduma ya mtandao ya mara kwa mara".
Na MTN Rwanda ilisema kulikuwa na "suala la uharibifu wa uhusiano wa kimataifa". Malawi, Msumbiji na Madagascar pia zimeathirika kulingana na Cloudflare Radar.
Bw Roberts, kutoka kampuni ya pan-Africa ya Liquid Intelligent Technologies, alisema kuwa amethibitisha kuwa kebo moja inayopitia kando ya pwani ya Afrika Mashariki, inayojulikana kama Eassy, ilikuwa imekatwa mapema Jumapili katika Mji wa bandari wa Afrika wa Durban.
Kebo nyingine pia ilikatwa. Alipuuzilia mbali uwezekano kwamba huenda ni hujuma na uongeza kuha hali kama hiyo wakati mwingine hutokea kwa bahati mbaya.
Kebo zingine zinazounganisha Afrika Mashariki na Ulaya pia zinapatikana na hatua kwa hatua huduma inapaswa kuboreshwa kwani data inapitishwa tena.
Lakini kwa vile makampuni mengi makubwa yana vituo vya data nchini Afrika Kusini uharibifu wa kiungo muhimu ambacho Eassy hutoa ulikuwa na athari kubwa.
Chanzo: BBC
Satellite 📡 si ndio ungo ?Nape alipoingia ofisini alusema tz itarusha setelite yake nadhani huu ndio mwarobaini