Kukosekana kwa maji kumenisabisha kujisaidia haja kubwa mbali na ofisi

Kukosekana kwa maji kumenisabisha kujisaidia haja kubwa mbali na ofisi

Kata gogo asubuhi nenda kazini, au home kaja house girl mpiya mkuu!
 
Hakuna Kempinski Tz kwa zaidi ya miaka 10 sasa wewe Kempinski ipi unayojisaidia,kama huwa unaenda nenda kasome tena bango lao wanaitwaje?
Ukisema Hyatt Regency wengi hawatapata picha, Kempiski ni jina kongwe tangu enzi za level 8 disko. Ila wengi wameelewa sema wazee wa kupenda ligi hamkosekanagi. Au basi The Kilimanjaro.
 
Kwa kweli kuna kipindi tulikuwa na maisha mazuri mpaka tukasahau matenki ya maji.

Sasa wale tuliopo na ofisi ambazo vyoo vyetu vya kuflash na plan za ofisi swala la tank la maji hakuna.

Kila mwanadamu lazima kutoa taka mwili. Nipo ofisini mara nasikia hali si nzuri, kwenda chooni hakuna maji na ningetumia ukatili bila maji lazima ningejulikana kuwa mimi ndio nimeingia. Ikabidi niwashe gari kwenda nyumbani kwa sababu ofisi na nyumbani si mbali kama dakika 12.

Kilichonisaidia zaidi ya hapo ningeharibu CV ya choo cha ofisi na CV za taka taka zote wangeziona
kwa hali inavyoendelea wekeza kwenye adult diapers tu mkuu. Unapiga zako diapers halafu inakuja boxer. Ukifika nyumbani unachukua wipes zako unasafisha uchafu then maji tiririka, mambo yanakuwa safi.
Tatizo pekee hapo ni kwamba wenzio ofisini wataanza kusema umetoka kishundu.
 
kwa hali inavyoendelea wekeza kwenye adult diapers tu mkuu. Unapiga zako diapers halafu inakuja boxer. Ukifika nyumbani unachukua wipes zako unasafisha uchafu then maji tiririka, mambo yanakuwa safi.
Tatizo pekee hapo ni kwamba wenzio ofisini wataanza kusema umetoka kishundu.
Hicho kishundu kinaweza kupelekea kuombwa jicho na wala tope.
 
Usiombe kukutwa na bwana Pepsi! Tangu maji yaanze kusumbua huduma ya kuingia maliwatoni ni jero sahizi[emoji28] sio 200 tena!
Kwa hiyo kuingia chooni imekuwa moja ya anasa kwa mtanzania [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Gari..anasa, ghorofa..anasa, chips kuku...anasa, leo chooni..anasa!
 
Kweli dunia inatupeleka mbio mpaka wadau wameanza kuleta nyuzi za mavi mavi hapa jf na wadau nao wamelipokea vema nao wanaanza kujadili mavimavi haki kweli watu tunaelekea kuchanganyikiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom