Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Mtaelewa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Kempinski Tz kwa zaidi ya miaka 10 sasa wewe Kempinski ipi unayojisaidia,kama huwa unaenda nenda kasome tena bango lao wanaitwaje?Kumbe una gari? Hongera. Mimi huwa naenda kujisaidia Kempiski, Serena Hotel au Holiday inn acha ubahili mkuu.
Ukisema Hyatt Regency wengi hawatapata picha, Kempiski ni jina kongwe tangu enzi za level 8 disko. Ila wengi wameelewa sema wazee wa kupenda ligi hamkosekanagi. Au basi The Kilimanjaro.Hakuna Kempinski Tz kwa zaidi ya miaka 10 sasa wewe Kempinski ipi unayojisaidia,kama huwa unaenda nenda kasome tena bango lao wanaitwaje?
kwa hali inavyoendelea wekeza kwenye adult diapers tu mkuu. Unapiga zako diapers halafu inakuja boxer. Ukifika nyumbani unachukua wipes zako unasafisha uchafu then maji tiririka, mambo yanakuwa safi.Kwa kweli kuna kipindi tulikuwa na maisha mazuri mpaka tukasahau matenki ya maji.
Sasa wale tuliopo na ofisi ambazo vyoo vyetu vya kuflash na plan za ofisi swala la tank la maji hakuna.
Kila mwanadamu lazima kutoa taka mwili. Nipo ofisini mara nasikia hali si nzuri, kwenda chooni hakuna maji na ningetumia ukatili bila maji lazima ningejulikana kuwa mimi ndio nimeingia. Ikabidi niwashe gari kwenda nyumbani kwa sababu ofisi na nyumbani si mbali kama dakika 12.
Kilichonisaidia zaidi ya hapo ningeharibu CV ya choo cha ofisi na CV za taka taka zote wangeziona
Hicho kishundu kinaweza kupelekea kuombwa jicho na wala tope.kwa hali inavyoendelea wekeza kwenye adult diapers tu mkuu. Unapiga zako diapers halafu inakuja boxer. Ukifika nyumbani unachukua wipes zako unasafisha uchafu then maji tiririka, mambo yanakuwa safi.
Tatizo pekee hapo ni kwamba wenzio ofisini wataanza kusema umetoka kishundu.
awape tu maana akiwafungulia wanakutana na mzigo wa take away umeganda😀😀Hicho kishundu kinaweza kupelekea kuombwa jicho na wala tope.
Mzigo uliganda ni sunna kwa wazamaji kwenye tope,wanaenda kuanika ukikauka wanasaga na kunusa kama ugoro.awape tu maana akiwafungulia wanakutana na mzigo wa take away umeganda😀😀
Kumbe una gari? Hongera. Mimi huwa naenda kujisaidia Kempiski, Serena Hotel au Holiday inn acha ubahili mkuu.
Bunju hakuna hoteli kali siyoKwa hiyo atoke Bunju aje huko maana ofice zote zipo posta?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa kweli nafurahi kuona jua linawaka sana.
napata uzoefu wa Jehanamu[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo kuingia chooni imekuwa moja ya anasa kwa mtanzania [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Gari..anasa, ghorofa..anasa, chips kuku...anasa, leo chooni..anasa!Usiombe kukutwa na bwana Pepsi! Tangu maji yaanze kusumbua huduma ya kuingia maliwatoni ni jero sahizi[emoji28] sio 200 tena!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo tuanze kujaduli kipi kati ya :-
Gari, Kiwele ama mkuπduguyangu...[emoji44][emoji1745]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumwombee wivu mtu anayeenda kunya?
Dunia inaenda kwa kasi sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli dunia inatupeleka mbio mpaka wadau wameanza kuleta nyuzi za mavi mavi hapa jf na wadau nao wamelipokea vema nao wanaanza kujadili mavimavi haki kweli watu tunaelekea kuchanganyikiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahMzigo uliganda ni sunna kwa wazamaji kwenye tope,wanaenda kuanika ukikauka wanasaga na kunusa kama ugoro.
Eeh sahizi kudumba ni jefero mzee!😅Kwa hiyo kuingia chooni imekuwa moja ya anasa kwa mtanzania [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Gari..anasa, ghorofa..anasa, chips kuku...anasa, leo chooni..anasa!