Kuku aina ya Kenbro

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Kenbro ni 'Dual Purpose Chicks' ambao ni kienyeji walioboreshwa (improved) na waliendelezwa na kampuni ya kifaransa na kuzalishwa Kenya, wana rangi nyekundu na wana maumbo makubwa sana na hasa majogoo.

Wanastahimili sana magonjwa na hawali sana ukilinganisha kuku wa kisasa.

Kuanzia mwezi wa sita mwishoni nitakuwa na vifaranga wake so atakaye hitaji anaweza ni-contata Arusha Tanzania.

Bei 2,500 kwa kifaranga cha wiki Moja na nusu

Call kwa kutumi hii namba 0783691072 na 0713691071
 
Nitakutafuta make nisha wahi kupewa habari zake. Nimeku pm mkuu chasha
 
Mi pia nawatafuta sana, ukileta nijulishe pls


afredmkohiatgmaildotcom
 
Chacha habri zako mkuu vip hawa vifaranga wapo tayari tuwafate? au unataratibu gani
 
Mkuu sory nilikua Chaka, ni kwamba hao Kenbro watakua tiyali mwisho wa mwezi huu. Ni kuku Chotara ambao ni kutoka ufaransa ila wanazalishwa kenya
Ila kuna wengine wa Dorep ambao ni kienyeji kutoka Uturuki wote wanazalishwa huko. Hawa Dorep mayai yao ni balaa, yanalingana au kuzidi ya bata, na hata kuweka kwenye incubator yanasumbua sana yalivyo makubwa
Hawa Dorep ndo nimepata mayai na vifaranga na kwa mujibu wao wanataga hadi mara 3 kwa siku, ila sijaprove na ni very expensive kuliko kuku wote kenya.
 
Hao wa brzil utawauza kwa bei gani ili tujiandae na kama umesha weka kwenye mashine lini yatakuwa yameaunguliwa na pili matunzoyao hao kuku nisawa na hawa wakizungu ama unaweza kuwachia? nilipata kaelim flani kwa Malila pale shambani pake kawachia nje kwa sababu za kiutaalam
 

Mkuu unaweza kuwaachia kwa sabubu hata wa kisasa wapo wanao achiwa, mkuu nita kutaarifu kuhusu hawa Dorep make nilipata mayai yao kwa shida sana nani very expenive, make yai moja ni Tsh 950/, Ila Kenbro ndo watakuwepo available, ingawa hata hawa Dorep kwa sasa mayai yao yako ndani ya Mashine na baada wiki mbili itakua tiyari,

Ila unaakiwakuwaunza vizuri kwa sabau ni kuku ambao kwaza wana maumbo ya kutisha na balaa nikwenye mayai yake ambayo ni makubwa sana kiasi kwamba hata kwenye tray hayaingii, na wanatabia ya kutaga pacha,
 
Chacha habri zako mkuu vip hawa vifaranga wapo tayari tuwafate? au unataratibu gani

Ya Kenbro waio kuwepo waliisha ake walikuwa wachache saana ila kuna mayai ambayo yako kwenye mashine n wiki zijzo means vifaranga watakuwepo, Kenbroni kuku wa zuri sana hasa kwenye nyama make majogoo wake ni wakubwa sana na wana nyama laini na yenye radha nzuri sana
 
Mkuu hao wa Brazili nikiwataka kuanzia mwezi wa 9 ntawapata?
Japo 100-200mkuu!
 
Hawa Kuku wa Kenbro ni wazuri sana Chasha, niliwahi kuwaona na hata kuwalanikiwa Sirali mpakani mwa Keny na Tanzania, ni kuku wazuri sana, Ila hao Dorep ni kuku wageni na nazani hata Kenya ni kuku wageni hawana hata Miaka 3.Mimi niko Mmwanza kwa sasa ila tutawsiliana uipe Kenbro hata Vifaranga 40,
 
Mkuu naomba unipe bei yake na unipe njia ya kuwasafiri sha mimi nipo dar ntaanza na kuku 100 shambalangu ni jipya kabisa na hao wa brazili nijuze kabisa ukisha watotolesha utawauza kiasi gani nikutarishie pesa zako kabisa mkuu

 
Mkuu naomba unipe bei yake na unipe njia ya kuwasafiri sha mimi nipo dar ntaanza na kuku 100 shambalangu ni jipya kabisa na hao wa brazili nijuze kabisa ukisha watotolesha utawauza kiasi gani nikutarishie pesa zako kabisa mkuu

Kusafirisha ni kwa basi ingawa hata kwa ndege huwa wanasafirishwa, unaulizia kenbro? au hao Dorep? mke nazungumzia aina mbili, kwa Dorep wait nitakunform make ndo kwanza mayai yako ndani ya mshine, Ila unaweza chukua hata enbro, ni wazuri sana na wanakua na maumbo makubwa sana hasa majogoo,
 



Kumbe una Dorep pia,sasa itabidi nichukue 50/50 na kenbro ili nijaribu zote



alfredmkohiatgmaildotcom
 
Na hawa ni majike, nautaona kwamba majike na Majogoo hawafanani kwa rangi

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…