Kuku aina ya Kenbro

Kuku aina ya Kenbro

Ila Kenbro haatamii Mayai, wao wanataga tu ni kama walivyo wa Malawi au Chotara wengine, Ila kuna mbegu nyingine ambayo ni native chicken from france hawa ndo huwa wanaatamia na wanaitwa SASSO
 
Mkuu, nimeipenda sana hii brand na hakika nitahitaji idadi ya kutosha tu. naomba tafadhali tuwasiliane ili tuweke mipango sawa. nicheki kwa email yangu ya henrykarisia2000@yahoo.com. Tafadhali tafadhali tafadhali nawahitaji sana kaka.

Hawa ndo Kenbro Majogoo utaona walivyo wakubwa na hao ni wa miezi 5

ROOSTERS.jpg
 
Mkuu Chasha nimeshindwa kuona picha kutokana na simu yangu,kama inawezekana naweza kukupa email address yangu ili uniwekee.But vipi utagaji wa hawa Kenbro?wanaanza kutaga baada ya muda gani?na Vp mayai yake katika ushindani wa soko?na wanataka kwa wastani gani?i mean kila siku wanataga?na ni mayai mangapi?na majogoo yake naweza kupandishia kwenye kuku wa kienyeji ili nipate mbegu kwa wingi?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Chasha nimeshindwa kuona picha kutokana na simu yangu,kama inawezekana naweza kukupa email address yangu ili uniwekee.But vipi utagaji wa hawa Kenbro?wanaanza kutaga baada ya muda gani?na Vp mayai yake katika ushindani wa soko?na wanataka kwa wastani gani?i mean kila siku wanataga?na ni mayai mangapi?na majogoo yake naweza kupandishia kwenye kuku wa kienyeji ili nipate mbegu kwa wingi?

Hawa kuku ni Chotara ambao wamedevelopiwa na kampuni ya kuku ya ufaransa, Ni kwamba ni wauri sana kwenye Nyama na anaye taka kufuganashauri awe na majogoo wengi kuliko majike make maogoo wke unaweza uza hadi 25,000/ na ukimuacha hadi miezi sita anaweza kuwa ni balaa kabisa, Dual Purpose ila sana kwenye nyama, kwenye kutaga ni sawa na hawa wengine miazi 5 anaanza kutaga

Kwa Upande wa Soko nina uhakika hakuna kuku wa Kienyeji pure anaye weza kushindana na Hawa,kwa sababu ya umbo lao kuwa kubwa na wazito sana na nyama zuri sana,

So ukitaka kufuga zalisha maogoo wa kutosha make ndo wana soko sna kwa sababu mayai yake ni the same na kuku wengine tu, ila kwenye nyama hapo ndo anakuwa hana mshindani
 
Kuna ndugu yake na hawa Kenbro ambao waoni pure kienyeji kutoka France hao ndo wanaatamia na wao ni wazuri sana, ila kuwaata ndo shida sana
 
Hawa kuku ni Chotara ambao wamedevelopiwa na kampuni ya kuku ya ufaransa, Ni kwamba ni wauri sana kwenye Nyama na anaye taka kufuganashauri awe na majogoo wengi kuliko majike make maogoo wke unaweza uza hadi 25,000/ na ukimuacha hadi miezi sita anaweza kuwa ni balaa kabisa, Dual Purpose ila sana kwenye nyama, kwenye kutaga ni sawa na hawa wengine miazi 5 anaanza kutaga

Kwa Upande wa Soko nina uhakika hakuna kuku wa Kienyeji pure anaye weza kushindana na Hawa,kwa sababu ya umbo lao kuwa kubwa na wazito sana na nyama zuri sana,

So ukitaka kufuga zalisha maogoo wa kutosha make ndo wana soko sna kwa sababu mayai yake ni the same na kuku wengine tu, ila kwenye nyama hapo ndo anakuwa hana mshindani
Mkuu thx nimepata picha.
Sasa jee kuna njia ya kitaalamu ya kuzalisha majogoo wengi?

Na usafirishaji wa hawa vifaranga kwa basi kutoka arusha kuja dar umekaaje?hawawezi kufa kwa joto,njaa na kiu?maana ni around 10hrs from Arusha to Dar.
 
Mkuu thx nimepata picha.
Sasa jee kuna njia ya kitaalamu ya kuzalisha majogoo wengi?

Na usafirishaji wa hawa vifaranga kwa basi kutoka arusha kuja dar umekaaje?hawawezi kufa kwa joto,njaa na kiu?maana ni around 10hrs from Arusha to Dar.


Unawasafirisha mkuu, Mbona Interchicks na sijui Euro Poultry huwa wana safirisha kutoka Dar hadi Arusha? Interchick wateja wake wengi wako Arusha na nazai huwa wanaanza safari usiku then mida ya saa tano wanakuwa Arusha,

wale wanao toka Singida mbon huwa wanafika Dar, kuku hawezi kufa kwa kukosachakula within a day , nilisha wahi safirisha vifaranga kutoka Uganda hadi Arsha zaidi ya Kilomita 900 na walifika,

Na si unajua kama ni vifaranga wa siku Moja hawawezi pata shida make waauwezo wakukuaa siku 3 bila chakula, ishu iko kweye kuku ambao tiyari wameisha kula, ila nao bado si ishu kwa sababu ata wa singida huwa wanafika Dar bila shida, Hawawezi kufa mkuu, make Mabasi kama Ngorika huwa saa 7 au 8 yuko Dar na kaondoka Arusha saa Kumi nambili na Nusu
 
Wakuu nilichangnya, Hawa Dorep ni cross cati ya local breed na breed Nyingine kutoka Turkey/uturuki na sio Brazili kama nilivyo eleza, na moja ya sifa zake ni kwamba hufikia uzito a Kilo 6-8

So kwa uzito kwa upande wa Majogoo ni kweli ka sababu niliwashuhudia mwenyewe wakiwa na uzito wa kutisha na mayai yakiwa ni makubwa sawa na hata kuzidi ya bata

Ila kwa Kenbro ni ok, na kwa superchick nao ni sawa na na expect kupata vifaranga wa Superchick by mwezi wa saba mwishoni,

So Kenbro vifaranga wake ndo watakua available at any time, Ila kwa Dorep wanao hitaji itawabidi wasubiri sana, ingawa vifranga wake watapatikana wiki mbili zijazo,
 
Chasha Hao kuku wa kenbro ni wazuri sana, tuliwahi kwenda ziara ya mfunzo Kenya na niliwaona, ni wekundu na wakubwa sana, mimi niko Mbeya ila nitaku pm make nataka mbegu ya hao kuku,
 
Chasha Hao kuku wa kenbro ni wazuri sana, tuliwahi kwenda ziara ya mfunzo Kenya na niliwaona, ni wekundu na wakubwa sana, mimi niko Mbeya ila nitaku pm make nataka mbegu ya hao kuku,

Poa mkuu usijali
 
Hawa kenbro, hawana tofauti na wakienyeji kwenye kuwafuga, unaweza waacha wajitafutie. Ila kupata matokeo mazuri ni vizuri wale vizuri. Magonjwa ni the same tu. Kikubwa ni kuzingatia kanuni za ufugaji
 
nami nawahitaji naomba nitumie namba yako ya simu yangu 0786 499490
 
Sawa Chasha kuna mchanganyiko kidogo kwenye maelezo yako, hao KENBRO kuna wakubwa say miezi 3 au 4 au 5 na bei zako zikoje? Vivyo hivyo kwa hao majige? Ulituambia bei za vifaranga lakini bei za wakubwa kidogo say wiki 3 au 4 au 5 hujafunguka au huuzi wakubwa kidogo Chasha? Funguka.
 
..........
Hawa Dorep ndo nimepata mayai na vifaranga na kwa mujibu wao wanataga hadi mara 3 kwa siku, ila sijaprove na ni very expensive kuliko kuku wote kenya.
Chasha funguka pia kuhusu hawa Dorep. Tuwekee hata picha tuwaone na pia sema kidogo on bei zao kwa size na ukubwa mbalimbali. Tunasubiri.
 
Back
Top Bottom