Kuku aina ya Kenbro

Kuku aina ya Kenbro

Sawa Chasha kuna mchanganyiko kidogo kwenye maelezo yako, hao KENBRO kuna wakubwa say miezi 3 au 4 au 5 na bei zako zikoje? Vivyo hivyo kwa hao majige? Ulituambia bei za vifaranga lakini bei za wakubwa kidogo say wiki 3 au 4 au 5 hujafunguka au huuzi wakubwa kidogo Chasha? Funguka.

Mkuu sina wakubwa wapo vifaranga tu. Kama unataka wa huo umuri unatakiwa usubiri mkuu.
Na mimi naona bora mtu achukue wadogo aanze nao,
 
Chasha funguka pia kuhusu hawa Dorep. Tuwekee hata picha tuwaone na pia sema kidogo on bei zao kwa size na ukubwa mbalimbali. Tunasubiri.
Mkuu Dorep ni kuku wa kienyeji walio crosiwa na breed kutoka uturuki, na kwa sasa ndo mayai yake yako kwenye mashine, Dorep nitaanza kuwauza baadae, ila KENBRO ndo wanapatikana.
Hawa Dorep mkuu kidogo wanataka msosi na wanamaumbo makubwa sana hasa majogoo, pamoja na mayai yake,
Na ukiweza kuwafuga wote wawil kenbro na Dorep unakua ndo mwisho wa umasikini,
Jogoo mfano wa Dorep na Kenbro unaweza wauza bei unayo taka mkuuu
 
Mkuu Dorep ni kuku wa kienyeji walio crosiwa na breed kutoka uturuki, na kwa sasa ndo mayai yake yako kwenye mashine, Dorep nitaanza kuwauza baadae, ila KENBRO ndo wanapatikana.
Hawa Dorep mkuu kidogo wanataka msosi na wanamaumbo makubwa sana hasa majogoo, pamoja na mayai yake,
Na ukiweza kuwafuga wote wawil kenbro na Dorep unakua ndo mwisho wa umasikini,
Jogoo mfano wa Dorep na Kenbro unaweza wauza bei unayo taka mkuuu

Hai wote Dorep na Kenbro wanauwezo wa kuatamia na kuangua vifaranga?
 
Kenbro ni 'Dual Purpose Chicks' ambao ni kienyeji walioboreshwa (improved) na waliendelezwa na kampuni ya kifaransa na kuzalishwa Kenya, wana rangi nyekundu na wana maumbo makubwa sana na hasa majogoo.

Wanastahimili sana magonjwa na hawali sana ukilinganisha kuku wa kisasa.

Kuanzia mwezi wa sita mwishoni nitakuwa na vifaranga wake so atakaye hitaji anaweza ni-contata Arusha Tanzania.

Bei 2,500 kwa kifaranga cha siku 3.

AGALIZO Isije ikawa kama wale KUCHI watoka K
 
Hawa Kuku wa Kenbro ni wazuri sana Chasha, niliwahi kuwaona na hata kuwalanikiwa Sirali mpakani mwa Keny na Tanzania, ni kuku wazuri sana, Ila hao Dorep ni kuku wageni na nazani hata Kenya ni kuku wageni hawana hata Miaka 3.Mimi niko Mmwanza kwa sasa ila tutawsiliana uipe Kenbro hata Vifaranga 40,
nami ningependa nipate vifaranga wa kenbro kama arobaini au kama mayai nitapata.
 
nami ningependa nipate vifaranga wa kenbro kama arobaini au kama mayai nitapata.

mkuu unaweza pata vifaranga kwa Oda lakini, Mayai bado ila yatakapo kuwepo nitawainform but not now,
 
Kwa wanao Fuga Kuku wa aina yoyote ile hata wa kisasa, Kuna some time soko huwa lina sumbua sana, kwenye kuuza Kuku, Kitu ambacho unaweza kufanya ni kuamua kuwongezea thamani Kuku wako, hii inaweza kuwa advantage kwa walioko Mijini lakini,

Unaweza amua ukateneneza mgahwa wako safi kabisa na ukajikita kwenye kuuza kuku tu, Ukiwemo, Kuchoma, Kukaanga, Wakupika na Supu ya kuku, Hii inaweza kuku idia sana, kupunguza tatizo la soko,

Hii sehemu yako unaweza amua kujikita na kuku tu so unaspcelize kwenye kuku tu, na sehemu yako itatambulika kama sehemu ya kuuza kula kuku, hii inaweza kuwa advantage kwako kwa sababu unaweza uza bei tofati nawengine,

So Hii ni Moja ya Market strategies nanext time nitawaeleza njia ningine ya Kudili na Masoko na hii si kwa kuku tu hata kama unafuga Mbuzi au Nguruwe
 
Mkuu sory nilikua Chaka, ni kwamba hao Kenbro watakua tiyali mwisho wa mwezi huu. Ni kuku Chotara ambao ni kutoka ufaransa ila wanazalishwa kenya
Ila kuna wengine wa Dorep ambao ni kienyeji kutoka Uturuki wote wanazalishwa huko. Hawa Dorep mayai yao ni balaa, yanalingana au kuzidi ya bata, na hata kuweka kwenye incubator yanasumbua sana yalivyo makubwa
Hawa Dorep ndo nimepata mayai na vifaranga na kwa mujibu wao wanataga hadi mara 3 kwa siku, ila sijaprove na ni very expensive kuliko kuku wote kenya.

wakiwa tayari nami nijulishe nipo arusha 0714554761
 
Nashukuru kwa tangazo, yaani anatutamanisha hasa, LiverpoolFC tutasubiria akianza utaratibu wa kuwaleta huku Dar au tukiungana na kushare cost itakuwa poa.
Chasha

Mkubwa usinisahau hapa town! NtakuPM muda kwa ajili ya mawasiliano zaidi.
Hapa mambo karibia yanaanza!
Kubota
asigwa
Mama Joe
Mama timmy
Huku kunatuhusu! Mpatapo chanzi leteni mawazo yenu hapa.
 
Habari wakuu? nilisafiri kidogo na nilikuwa sehemu ambao huwezi pata network, maelezo mengine kwa hawa kuku wa Kenbro na Dore ni kwamba kama tulivyo zoea kuku waKienyeji mittea 10 jogoo mmoja, kwa Dorep ni kwamba mitetea minne hadi 5 Jogoo mmoja, hwa Dorep ukiwawekea jogoo mmoa mitetea 10 ni kwamba huyo jogoo anaweza kufa na hakuna atakacho kifanya kwa sababu ni mitetea ni Wakubwa mno, ni the same kwa Kenbro,

Na Kwa mayai a Dorep ni vizuri mtu akatumia Incubators kuatamisha make ukimuwekea kuku basi muwekee 5 make kuku hushindwa kuyatamia vyema kwa sababuya ukubwa wake,
 
Mkubwa mambo vipi???????????? Uko mji huu huu kweli?????????

Tutafutane Mkubwa!
 
Tutafutane Mkubwa wetu!!!!!

Mambo ya upweke hayamati Mkubwa wangu!
 
Mkuu unaweza kuwaachia kwa sabubu hata wa kisasa wapo wanao achiwa, mkuu nita kutaarifu kuhusu hawa Dorep make nilipata mayai yao kwa shida sana nani very expenive, make yai moja ni Tsh 950/, Ila Kenbro ndo watakuwepo available, ingawa hata hawa Dorep kwa sasa mayai yao yako ndani ya Mashine na baada wiki mbili itakua tiyari,

Ila unaakiwakuwaunza vizuri kwa sabau ni kuku ambao kwaza wana maumbo ya kutisha na balaa nikwenye mayai yake ambayo ni makubwa sana kiasi kwamba hata kwenye tray hayaingii, na wanatabia ya kutaga pacha,

Mkuu nikitaka mayai kwa ajili ya kuyaweka kwenye incubator nitayapataje?
 
Chasha si bora ukae nao wakue kidogo hata ukiongeza bei si mbaya maana kakiwa kadogo matunzo mmmh si kanaweza kufa?
 
Habari wakuu? nilisafiri kidogo na nilikuwa sehemu ambao huwezi pata network, maelezo mengine kwa hawa kuku wa Kenbro na Dore ni kwamba kama tulivyo zoea kuku waKienyeji mittea 10 jogoo mmoja, kwa Dorep ni kwamba mitetea minne hadi 5 Jogoo mmoja, hwa Dorep ukiwawekea jogoo mmoa mitetea 10 ni kwamba huyo jogoo anaweza kufa na hakuna atakacho kifanya kwa sababu ni mitetea ni Wakubwa mno, ni the same kwa Kenbro,

Na Kwa mayai a Dorep ni vizuri mtu akatumia Incubators kuatamisha make ukimuwekea kuku basi muwekee 5 make kuku hushindwa kuyatamia vyema kwa sababuya ukubwa wake,

Duu ila Majogoo huwa yanafaidi sana aiseee
 
Wakuu sory nilikua mbali, vifaranga walisha anza kutoka na baadhi watachukuliwa. Na DOREP watakuwepo ingawa ni kwa uchache, hawa DOREP vifaranga wao wa siku moja unaweza zani wana wiki mbili, ni wakubwa mno,
Nilifuatilia mayai ya SUPER CHICKS NA SASSO that is why.
 
Wakuu sory nilikua mbali, vifaranga walisha anza kutoka na baadhi watachukuliwa. Na DOREP watakuwepo ingawa ni kwa uchache, hawa DOREP vifaranga wao wa siku moja unaweza zani wana wiki mbili, ni wakubwa mno,
Nilifuatilia mayai ya SUPER CHICKS NA SASSO that is why.

Well done Chasha
 
Back
Top Bottom