Kuku aina ya Kenbro

kaka chasa ubarikiwe sana aisee kwa maono yako..ivi mimi ndoo nataka kuanza na kuku mia mia mbil dorep na kenbro natakiwa kuwa na kiasi gan kunua vifaranga pia kuwalisha na ujenz wa mabanda.asante


Karibu sana mkuu uko wapi? Inategemeana na unataka wa Umuri gani na kuhusu Banda nalo inategemeana na materio utakayo tumia, Kuna ujenzi simple sana wa banda la kuku ambao hautumii gharama kabisa, na Ishu ya msosi nayo inadependi na mazingira.

Unaweza ukawa unawalisha kuku na hapo hapo ukawa na supliment zingine kama wadudu, mchwa, mboga za majaini na kazalika na hapo ni lazima gharama za kuwalisha ziwe chini
 
[ndugu niko dar nataka hamsini pia kama una aina nyingine pls.
 
sawa kabisa kaka chasa mie nipo dsm eneo la banda lipo na nataka kuanza na kuku mia au mia mbili sema bado sjajua gharama za banda I mean now npo kwenye harakati za kuongeza kipato by December naanza project naamin kenbro na dorep wote watakuwepo japo dorep ujasema vifaranga itakuwa how much pia mie ntaanza na vifaranga kabisa hata vya wiki mbili kaka
 


Nitumie email nitakutumia Ramani ya Banda, ni pm
 
Wapi kwa Dar naweza pata mayai ya kuku wa kienyeji ya kutotoresha ila yawe ya kuku wanaoweza kuatamia
 
Wapi kwa Dar naweza pata mayai ya kuku wa kienyeji ya kutotoresha ila yawe ya kuku wanaoweza kuatamia

Ninayo ya kuku chotara yaani majogoo ni ya layers na mitetea ni ya kienyeji. bei ya tray moja ni tsh 16000/ tu
 

Attachments

  • 1404414335201.jpg
    71 KB · Views: 285
Ninayo ya kuku chotara yaani majogoo ni ya layers na mitetea ni ya kienyeji. bei ya tray moja ni tsh 16000/ tu
Je wanaweza atamia wenyewe au lazima tutumie incubator tena
 
Mshawa hao kuku kwenye picha ni kama broilers. Ni wa aina gani hao...

Unapatikana wapi bosi, nahitaji kama tray 20.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli mkuu hawa ni parent stock wa broiler... napatikana dsm ni pm namba yako mkuu
 
Mkuu nipo intrested sana na ufugaji wa kuku wa kienyeji nitaku pm kwa uzoefu zaid
 
nataka kujua Mkuu hawa dorep na kenbro naweza kuwa nawatotolesha mayai yake au haiwezekani?

Dah sory nilikuwa mbali sana, Ya kuku akisha kuwa na jogoo basi mayai lazima yawe fertile.
 
eernest51@yahoo.com, na makadilio ya gharama, natanguliza shukrani mkuu

Gharama inakuwa ngumu kwa sababu ya maeneo husika ila kama eneo unalo fugia lina fensi yaani ukuta au basi ulinzi wa kutosha gharama za banda zinaweza kuwa chache mno
 
Kuna uwezekano wa kupata full address ili jamaa aje hapo kununua hao kuku pls, kama upo mda wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…