Kwetusongea
Senior Member
- Nov 30, 2014
- 110
- 41
Ndio kuwa unakusanya mayai kuku akitaga toa yahifadhi Ila kila baada ya siku saba unaenda kutotoleshamkuu mimi pia kienyeji nataka niwe natotolesha na mashine inawezekana??? Maana ninao wachache na pia nataka mwezi wa saba nitafute hata 1.5MIl niitumbukize kwa kuku wa mayai itabidi nitafute mtu wa kunipa shule ya kiwango cha chakula na chanjo maana eneo ninalo.
Je, mayai ya siku ya kwanza na ya saba unayaweka pamoja kwenye incubator?Ndio kuwa unakusanya mayai kuku akitaga toa yahifadhi Ila kila baada ya siku saba unaenda kutotolesha
Unaweza kufuga wa kienyeji na ukawapa huduma ya wa kisasa ....je Nini madhumuni yako?Je,naweza kufuga kuku wa kienyeji lakini nikawa nawapatia huduma kama kuku wa kisasa?
Lengo nikua wakue vizuri na haraka ili nifanye biashara ya nyama ya kuku wa kienyeji.Unaweza kufuga wa kienyeji na ukawapa huduma ya wa kisasa ....je Nini madhumuni yako?
Hawawezi kukua kwa haraka kutokana na genes zao ila watasaidia tuu kukupunguzia faida kwa kukutia gharama kubwaLengo nikua wakue vizuri na haraka ili nifanye biashara ya nyama ya kuku wa kienyeji.
Hiyo kitu haipo na itakupiga shot mpaka ushangaeLengo nikua wakue vizuri na haraka ili nifanye biashara ya nyama ya kuku wa kienyeji.