Kuku gani nifuge kibiashara?

Kuku gani nifuge kibiashara?

mkuu mimi pia kienyeji nataka niwe natotolesha na mashine inawezekana??? Maana ninao wachache na pia nataka mwezi wa saba nitafute hata 1.5MIl niitumbukize kwa kuku wa mayai itabidi nitafute mtu wa kunipa shule ya kiwango cha chakula na chanjo maana eneo ninalo.
Ndio kuwa unakusanya mayai kuku akitaga toa yahifadhi Ila kila baada ya siku saba unaenda kutotolesha
 
Je,naweza kufuga kuku wa kienyeji lakini nikawa nawapatia huduma kama kuku wa kisasa?
Unaweza kufuga wa kienyeji na ukawapa huduma ya wa kisasa ....je Nini madhumuni yako?
 
Unaweza kufuga wa kienyeji na ukawapa huduma ya wa kisasa ....je Nini madhumuni yako?
Lengo nikua wakue vizuri na haraka ili nifanye biashara ya nyama ya kuku wa kienyeji.
 
Back
Top Bottom