Sauda
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 860
- 1,106
Kuku mwenyewe katotoa leo leo!
Kuna tiba/kinga ya kuwafanya vifaranga hao wote wakue?
yaani hata kama kifaranga akifa, afe kwa kuangukiwa na ndoo au jembe, ila sio afe kwa ugonjwa.
NB; Naishi porini, hakuna duka la dawa.
hivyo dawa naomba ziwe za asili, maana kuna kila aina ya mmea hapa
Kuna tiba/kinga ya kuwafanya vifaranga hao wote wakue?
yaani hata kama kifaranga akifa, afe kwa kuangukiwa na ndoo au jembe, ila sio afe kwa ugonjwa.
NB; Naishi porini, hakuna duka la dawa.
hivyo dawa naomba ziwe za asili, maana kuna kila aina ya mmea hapa