ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Eti wakuu kwa mfano kuku kafa na na ndani ya nusu saa akachinjwa ana shido gani kuliwa?mimi sielewi mantiki ya kuku kutoliwa baada ya kufa nachojua ili mfugo aliwe lazima AFE kwanza..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuchinjwa ni Kabla ya kufa,. Sio afe ndo achinjwe. Ni vile ninavyoamini Mimi. Kama kashakufa ni haramu na mwenyezimungu anajua zaidi.Eti wakuu kwa mfano kuku kafa na na ndani ya nusu saa akachinjwa ana shido gani kuliwa?mimi sielewi mantiki ya kuku kutoliwa baada ya kufa nachojua ili mfugo aliwe lazima AFE kwanza..
Tumekuja mkuu😅😅😅Kina bwashee wanakuja
Mwambieni huyo jamaa kwanini hamli vibudu.Tumekuja mkuu😅😅😅
Mfu hafi tena.. Au hauliwi tena.. Kitendo cha kuchinja tafsiri yake ni kuua.. Ni kutoa uhai.. Kibudu kimeshakufa sasa unakichinja tena ili iweje😂Eti wakuu kwa mfano kuku kafa na na ndani ya nusu saa akachinjwa ana shido gani kuliwa?mimi sielewi mantiki ya kuku kutoliwa baada ya kufa nachojua ili mfugo aliwe lazima AFE kwanza..
Umeniwahi, nilitaka nimuulize unachinja nini? Si ule tu hivyo hivyo kama mbwa akikuta mzoga?Mfu hafi tena.. Au hauliwi tena.. Kitendo cha kuchinja tafsiri yake ni kuua.. Ni kutoa uhai.. Kibudu kimeshakufa sasa unakichinja tena ili iweje😂
Hizo ni mila tu na tamaduni ila mnyama akifa kwa sababu zinazojulikana mfano kamba imemnyonga bahati mbaya , kama hajapitisha masaa mengi unakata shingo una mwandaa tu mezani😅😅Mwambieni huyo jamaa kwanini hamli vibudu.
Nyama ya kuku kwenye mabar na vibanda vingi vya chips ni vibudu. Walinyongwa kabla ya kuchinjwa baadae na wengi ni wa wiziUkichunguza ukajua kafa na kitu gani hata ukila hakuna shida yoyote, hi ni kwa mujibu wa fikra huru na sio mawazo ya kidini.
hana shida labda kama alikuwa na ugonjwa mbayaEti wakuu kwa mfano kuku kafa na na ndani ya nusu saa akachinjwa ana shido gani kuliwa?mimi sielewi mantiki ya kuku kutoliwa baada ya kufa nachojua ili mfugo aliwe lazima AFE kwanza..
Watu tunakula vibudu mno ila nyama ya kibudu haina ladha nzuri😂😂😂 labda ukaang'e ule na bia nyingi😅Nyama ya kuku kwenye mabar na vibanda vingi vya chips ni vibudu. Walinyongwa kabla ya kuchinjwa baadae na wengi ni wa wizi
SIMBA mwenyewe hali kibudu.Eti wakuu kwa mfano kuku kafa na na ndani ya nusu saa akachinjwa ana shido gani kuliwa?mimi sielewi mantiki ya kuku kutoliwa baada ya kufa nachojua ili mfugo aliwe lazima AFE kwanza..
Hebu waambie na zile nyama wanazonunua kule buchani au zile wanazokula kwa mama ntilie au mishkaki ya kwenye chipsi wanazokula huko mtaani wana uhakika kuwa ng'ombe hakuwa kibudu. Je, wanaweza kuitambua nyama kibudu inayonukia baada ya kuwekwa tui la nazi? Au nyama kutoka kwenye mnyama kibudu iliyochomwa vizuri na kuwekwa viungo vya Kizanzibar?Eti wakuu kwa mfano kuku kafa na na ndani ya nusu saa akachinjwa ana shido gani kuliwa?mimi sielewi mantiki ya kuku kutoliwa baada ya kufa nachojua ili mfugo aliwe lazima AFE kwanza..
Basi 'sahwaHizo ni mila tu na tamaduni ila mnyama akifa kwa sababu zinazojulikana mfano kamba imemnyonga bahati mbaya , kama hajapitisha masaa mengi unakata shingo una mwandaa tu mezani😅😅
amekufa unachinjaje tenaEti wakuu kwa mfano kuku kafa na na ndani ya nusu saa akachinjwa ana shido gani kuliwa?mimi sielewi mantiki ya kuku kutoliwa baada ya kufa nachojua ili mfugo aliwe lazima AFE kwanza..
Kuku kibudu anakuwa amepoa nyama yake haina radha tofauti na anayechinjwa akiwa mzima.Eti wakuu kwa mfano kuku kafa na na ndani ya nusu saa akachinjwa ana shido gani kuliwa?mimi sielewi mantiki ya kuku kutoliwa baada ya kufa nachojua ili mfugo aliwe lazima AFE kwanza..
Koma wewe!. Mwili wa mnyama aliyekufa iwe ni kwa kuchinjwa au kwa ugonjwa unaitwa ni mzoga. Mwili wa binadamu aliyekufa una heshima yake - mwili mfu huo wa binadamu unaitwa maiti. Na ahuyo aliyekufa anapewa cheo cha Marehemu.Kumbe kuna watu mnakula maiti
Ni kweli lakini Hoja ya mdau si analiwa??Kuku kibudu anakuwa amepoa nyama yake haina radha tofauti na anayechinjwa akiwa mzima.