MILCAH28
JF-Expert Member
- Jul 9, 2014
- 1,140
- 327
Hii wanajamiii Wajasiliamali wenzanguu..
Nina shida kidogo hapa kwa wale wanaofuga kuku wa kienyeji....
Nina Kuku wangu wanataga mayai ila awatotoi na kama wakitotoa ni kifaranga kamoja Kimoja nini tatizo...
Pili hawa kuku waajabu sana Mfano mmoja akitaga na mwingine anaendaa kukaaa Pale Pale naye anataGa..
Tatu Nataka kujuaa ni chakula gani cha kuku amabacho nikiwapa watakuwaa wanataga kwa kasi ya 4G...
Ni hayo 2!!!....
Nina shida kidogo hapa kwa wale wanaofuga kuku wa kienyeji....
Nina Kuku wangu wanataga mayai ila awatotoi na kama wakitotoa ni kifaranga kamoja Kimoja nini tatizo...
Pili hawa kuku waajabu sana Mfano mmoja akitaga na mwingine anaendaa kukaaa Pale Pale naye anataGa..
Tatu Nataka kujuaa ni chakula gani cha kuku amabacho nikiwapa watakuwaa wanataga kwa kasi ya 4G...
Ni hayo 2!!!....