Kuku wa kuoka pamoja na mboga mboga

Kuku wa kuoka pamoja na mboga mboga

Unakula pekee au unambeba ukale na ugali/ubwabwa

Mimi huwa namla peke yake ila naweka na bbq sauce.

Kwenye menu yao unaweza kuagiza ije kama meal [yaani rice and peas, cabbage, na hiyo jerk chicken].

Ila mimi huwa naagiza chicken only.

Sijui kama unaendaga kwenye migahawa ya Wajamaica. Wao wanaposema rice & peas, wanamaanisha ni wali na maharage.

Sijui ni kwa nini wanayaita maharage 'peas' na siyo beans.

I guess labda kwenye huo ukanda wa Caribbean maharage ndo wanayaita hivyo.
 
Waiting......
Sijaweka viazi...nimerialize vimeisha na giligilani pia wakati nishaandaa. Instade nimeweka rosemary...[emoji3526][emoji3526]
IMG_20190726_192106.jpeg
 
Mimi huwa namla peke yake ila naweka na bbq sauce.

Kwenye menu yao unaweza kuagiza ije kama meal [yaani rice and peas, cabbage, na hiyo jerk chicken].

Ila mimi huwa naagiza chicken only.

Sijui kama unaendaga kwenye migahawa ya Wajamaica. Wao wanaposema rice & peas, wanamaanisha ni wali na maharage.

Sijui ni kwa nini wanayaita maharage 'peas' na siyo beans.

I guess labda kwenye huo ukanda wa Caribbean maharage ndo wanayaita hivyo.

Oh okay,Ntaandaa siku moja nyumbani pamoja na huo wali wao.
 
Me napenda chicken wings with honey and garlic sauce[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39].

Napenda na vyakula vyenye sweet and sour taste .

Misamiati migumu sanaa inatuchanganya

1. Kuku marinated ndio amekua amefanywaje
2. Chicken Wings ndio vipapatio au??( yaani kwenye kuku mzima ww unapenda vipapatio??)
3.
 
Misamiati migumu sanaa inatuchanganya

1. Kuku marinated ndio amekua amefanywaje
2. Chicken Wings ndio vipapatio au??( yaani kwenye kuku mzima ww unapenda vipapatio??)
3.

1)kuku marinated maanake amewekwa viungo

2)chicken wings ndio vipapatio napenda kuku part zote ila wings napenda nipike wa mayai na bread crumbs au baked pamoja na honey garlic sauce
 
Back
Top Bottom