Rylee
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 542
- 1,015
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia maggi bora kama unayo.
Ndiyo unawezaMy dear..naweza kutumia bone broth badala ya chicken broth
Niliwahi kupika sweet and sour ya chicken and pineapple mmmh mume akala basi tuu,nikipika nakula mwenyeweMe napenda chicken wings with honey and garlic sauce[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39].
Napenda na vyakula vyenye sweet and sour taste .
Ongeza na chicken jerk
Aisee kama ukikosa mume nicheck PM!*****Mahitaji*****
1)Kuku 1
2)kitunguu maji 1 kikubwa
3)Pilipili boga (hoho) 1
4)Kitunguu saumu na tangawizi 1tsp
5)mbatata 5 (viazi) ndogo
6)Spices upendazo
7)nyanya zilosagwa 4-5
8)giligilani
9)chicken broth mix(sio lazima)
10)ndimu 1
11)chumvi.
12)bilinganya 3 ndogo
*****Namna ya kuandaa*****
1)katakata vegetable zote weka pembeni.
2)Weka kuku chumvi na spices unazopendelea.
3)weka kuku kwenye tray juu yake weka vegetables na katia giligilani kwa juu.
4)Mimina nyanya ulosaga
5)unaweza kuongezea chumvi kwa juu na pilipili manga (mtama).
6)Funika foil na bake kwa lisaa limoja au hadi iwe imewiva.
Maasalam [emoji8].View attachment 1160628
View attachment 1160632View attachment 1160634
Nimepitwaje na hii mtu wangu wa nguvu....nashukuru nimeupata uzi ....aiseehhhh darasa la mahanjumati kweli unatujali watu wako wa nguvu sisi tunaofurahia vyakula vitamu vitamu
Mimi jiko langu huwa linataka na joto la kuokea kwa aina ya nyama ninyao oka . kwa kuoka kuku naweza tumia joto centigrade ngapi my dear*****Mahitaji*****
1)Kuku 1
2)kitunguu maji 1 kikubwa
3)Pilipili boga (hoho) 1
4)Kitunguu saumu na tangawizi 1tsp
5)mbatata 5 (viazi) ndogo
6)Spices upendazo
7)nyanya zilosagwa 4-5
8)giligilani
9)chicken broth mix(sio lazima)
10)ndimu 1
11)chumvi.
12)bilinganya 3 ndogo
*****Namna ya kuandaa*****
1)katakata vegetable zote weka pembeni.
2)Weka kuku chumvi na spices unazopendelea.
3)weka kuku kwenye tray juu yake weka vegetables na katia giligilani kwa juu.
4)Mimina nyanya ulosaga
5)unaweza kuongezea chumvi kwa juu na pilipili manga (mtama).
6)Funika foil na bake kwa lisaa limoja au hadi iwe imewiva.
Maasalam [emoji8].View attachment 1160628
View attachment 1160632View attachment 1160634
This is nice my dear..Ndio naoka usijali vikiwa mtaona.View attachment 1160652
Ooohhhh nimeikuta hapa kwenye post hiiMe hayo majiko ata siyajui.
350C ni moto wa wastani kwa oven huo tunatumia hata kubake cake.
Asante ..nitamtengeneza leo...nitakuletea mrejesho unipe marks[emoji3526][emoji3526]
Asante.
Ooohhhh nimeikuta hapa kwenye post hii
This is nice my dear..
Niliwahi kupika sweet and sour ya chicken and pineapple mmmh mume akala basi tuu,nikipika nakula mwenyewe
😋😋😋😋 nibakishie 😂
Nitajaribu nitakupa mrejeshoVyema utajaribu kupika?
Nitajaribu nitakupa mrejesho