Fragaria
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 7,188
- 40,444
😂Nimeiscrinishoti kabisa ili nisiisahau.. najikutaga kila nikiiona nakuwa sina apples nimezila zote..Hahahhh hujaisahau [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂Nimeiscrinishoti kabisa ili nisiisahau.. najikutaga kila nikiiona nakuwa sina apples nimezila zote..Hahahhh hujaisahau [emoji23]
[emoji23]Nimeiscrinishoti kabisa ili nisiisahau.. najikutaga kila nikiiona nakuwa sina apples nimezila zote..
usipende Kula Kula.*****Mahitaji*****
1)Kuku 1
2)kitunguu maji 1 kikubwa
3)Pilipili boga (hoho) 1
4)Kitunguu saumu na tangawizi 1tsp
5)mbatata 5 (viazi) ndogo
6)Spices upendazo
7)nyanya zilosagwa 4-5
8)giligilani
9)chicken broth mix(sio lazima)
10)ndimu 1
11)chumvi.
12)bilinganya 3 ndogo
*****Namna ya kuandaa*****
1)katakata vegetable zote weka pembeni.
2)Weka kuku chumvi na spices unazopendelea.
3)weka kuku kwenye tray juu yake weka vegetables na katia giligilani kwa juu.
4)Mimina nyanya ulosaga
5)unaweza kuongezea chumvi kwa juu na pilipili manga (mtama).
6)Funika foil na bake kwa lisaa limoja au hadi iwe imewiva.
Maasalam [emoji8].View attachment 1160628
View attachment 1160632View attachment 1160634
usipende Kula Kula.
Nafungua huu uzi af simu naiacha mezani kwa makusudi, ili mama watoto ajiongeze[emoji16][emoji16]*****Mahitaji*****
1)Kuku 1
2)kitunguu maji 1 kikubwa
3)Pilipili boga (hoho) 1
4)Kitunguu saumu na tangawizi 1tsp
5)mbatata 5 (viazi) ndogo
6)Spices upendazo
7)nyanya zilosagwa 4-5
8)giligilani
9)chicken broth mix(sio lazima)
10)ndimu 1
11)chumvi.
12)bilinganya 3 ndogo
*****Namna ya kuandaa*****
1)katakata vegetable zote weka pembeni.
2)Weka kuku chumvi na spices unazopendelea.
3)weka kuku kwenye tray juu yake weka vegetables na katia giligilani kwa juu.
4)Mimina nyanya ulosaga
5)unaweza kuongezea chumvi kwa juu na pilipili manga (mtama).
6)Funika foil na bake kwa lisaa limoja au hadi iwe imewiva.
Maasalam [emoji8].View attachment 1160628
View attachment 1160632View attachment 1160634
na uhai ni kulaKula ni uhai .
Nafungua huu uzi af simu naiacha mezani kwa makusudi, ili mama watoto ajiongeze[emoji16][emoji16]
Inaonesha tamu ntajaribu soon
Kama yakifanyika yalio nje ya lengo langu..kweli naweza lala njaa[emoji23][emoji23][emoji23]Kama hutolala njaa kabisa [emoji23]
Kutamaniehana huku
Hapana coconut cream/milk,unachemshaje sasaOhh wazo zuri
Unaichemsha kabla pia au
Navofanya mimi kwny mashed potatoesHapana coconut cream/milk,unachemshaje sasa
Navofanya mimi kwny mashed potatoes
Nachemsha viazi and salt kdogo sufuria 1
Na milk and butter sufuria ingine
Mda wa kumash ndo nachanganya and serve straight
Ss sijajua coconut milk uchemshe na viazi kabisa au separate
Ndiyo mimi namix mwishoni nikimaliza kuponda,wakati naanza kuponda ndo naweka butter na ingredients nyingine nikimaliza naweka iyo coconut cream namix basi inakuwa tayari,kama ni coconut milk kwa sababu ni nyepesi huwa nikimaliza kuponda narudisha jikoni moto wa chini namix nakoroga mpaka nipate uzito ninao hitaji then na serve LadyRedI guess coconut ukiipika itaondoa ule u creamy na ladha yake.
cadey wewe si unamix mwisho pamoja na ingredients nyengine?