Kuku wa kuoka pamoja na mboga mboga

Kuku wa kuoka pamoja na mboga mboga

Hahahahaa! Kumbe mume ndo huwa anaharibu eeh...

Ila kama unapenda kutumia oven kuoka, ni muhimu uka maintain usafi wake.

Hususan kama kuna mafuta mafuta yemedondoka au yamechuruzika. Huwa hazikawii kutoa moshi.

Na moshi ukishaanza, smoke detector nazo zinaanza. Huwa zinanikera sana hizo detector...zina kelele mno [i guess lengo lake ni zuri, hata hivyo]
Nitajitahidi sana,sipendi vya kukaanga sana ata chips napenda ku bake
 
Safi!

Vya kuoka vina mafuta machache sana.

Vya kukaangwa vina mafuta tele!

Mimi hata samaki [napendelea tilapia] huwa naoka kwenye oven...
Same to us,sato wa foil afu umtie rosemary,garlic,ginger and lemon na mboga mboga au siku nyingine anakuwa steamed 😋😋
 
Huyu ni foodie kabisa,alivo anajipenda wali wake anapika old school kwenye jiko sio kama sie tunapika kwenye rice cooker majukumu mengi.

Hahahaaa rice cooker ilishanishinda aisee.

Najua ninayo nyumbani lakini iko kwenye garage huko inakusanya vumbi tu!
 
Mimi mwenyewe huwa napenda sana kukorofisha, kipindi flani uzito ukawa juu sana hadi kupelekea presha, siku hizi afadhali kidogo baada ya kufuata masharti

Yaelekea hufanyi mazoezi eh? Au ulizembea tu?
 
IMG_1963.JPG


Muonekano ni huu mara tu baada ya kutoka kwenye oven bila ya kukoroga mchanganyo wetu.

I hope mtapenda.
 
Back
Top Bottom