Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hajaiva tu??Ndio naoka usijali vikiwa mtaona.View attachment 1160652
Angekuwa samaki au nyama mngenikamata...hawa viumbe wanenishinda mie.
Hongera kwa mapishi mazuri.
Nimefika mkwe[emoji39][emoji39]
Naomba upitisha kijicho nione ikiwa imevurugika[emoji1431][emoji39][emoji39][emoji39]
Safi sana Mkwe
Nimeona .. nimeona .. si mchezo..
😋😋😋 Wallahi!
Shukran kwa kuona.Nimeona .. nimeona .. si mchezo..
Unataka nikupikie?
Majani ya rosemaryMkuu samahan huyu rosemary ndo nani
Nitajaribu one day, athante.
[emoji39][emoji39][emoji39] Wallahi!
Yaani ..nimejiona nnavyompakua na kujinoma! Dah weekend nampika.. na ile pilipili ya appleUmejiramba mie mwenzio nshakula nimeshiba kitumbo mbwi 🤣
Yaani ..nimejiona nnavyompakua na kujinoma! Dah weekend nampika.. na ile pilipili ya apple