Kuku wanaopikwa hotelini asilimia kubwa ni vibudu ambao huchinjwa na wanawake!

Kuku wanaopikwa hotelini asilimia kubwa ni vibudu ambao huchinjwa na wanawake!

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Asilimia kubwa ya kuku wa mahotelini wengi wao huchinjwa na wanawake aidha kunyongwa shingo au kutiwa kwenye maji moto wakiwa hai ambapo baadaye hukatwa vichwa au kushikwa mwili na kichwa Maria au Grace akachinja bila wasiwasi.

Maana kwa kuwa watu ni wabishi, fanyeni utafiti. Kwa wale wafia dini je, hii ni halali kuku kuchinjwa na wanawake? Ndivyo vitabu vinavyo tuelekeza?
 
Wew kula nyama bana,
Kwani dhambi ngapi tunatenda,
Tunazini, tunadanganya,

Hakuna atakaechomwa moto kisa kula vibudu, tutachomwa moto kisa uzinzi, uongo, uchawi, masengenyo na dhambi ka hizo
Vipi tuache maandiko yanavyo elekeza na kuamrisha watu wasile vibudu!
 
Asilimia kubwa ya kuku wa mahotelini wengi wao huchinjwa na wanawake aidha kunyongwa shingo kutiwa kwenye maji moto wakiwa hai baadae hukatwa vichwa au kushikwa mwili na kichwa Maria au Grace akachinja bila wasiwasi maana kwa kuwa watu ni wabishi fanyeni utafiti kwa wale wafia dini je hii ni halali kuku kuchinjwa na wanawake ndivyo vitabu vinavyo tuelekeza!
Kwani umelazimishwa kula kwenye hiyo migahawa. Tengenezeni migahawa ya imani yenu uwe unaenda kula huko wanapochinja wakipiga ngoma na kutamka maneno yasiyoeleweka. Msipangie watu, Kila mtu yupo huru.
 
Kitu ambach dini imeweza kufanikiwa pakubwa ni ku control akili za watu.

Na kitu ambacho mwafrika amefanikiwa pakubwa ni kuwa mhanga wa dini.

ACHA USHAMBA

WAJANJA TUTAKULA CHOCHOTE KILE ATA KICHINJWE NA MALAYA WA BAR
Kwa kujiona wajanja ndio maana leo hii watu wa jinsia moja wanaona ndugu wa damu wanatafunana kwa kuwa tu kufuata dini ni ushamba!
 
Vipi tuache maandiko yanavyo elekeza na kuamrisha watu wasile vibudu!
Usile nyama kabisa ndugu,
Msifanye maisha yawe full masheria ya ajabu ajabu,

Mtu ni mkristo, ni single mama, kaamua kufuga kuku, hapo kuku wamekufa wengine wakiwa vifaranga, leo kwenye kuchinja mnataka aajiri mtu wa kuchinja kisa tu dini yake ? Hapana aiseee, niny chagueni mle nyama mnyamaze, au msile kabisa,

Halafu mbona samaki mnakula na wale vibudu? Au samaki sio nyama ? Au na wenyewe hadi avue muislam?

Sausage za ulaya je vipi nazo? Tuache kucomplicate maisha aiseee
 
Usile nyama kabisa ndugu,
Msifanye maisha yawe full masheria ya ajabu ajabu,

Mtu ni mkristo, ni single mama, kaamua kufuga kuku, hapo kuku wamekufa wengine wakiwa vifaranga, leo kwenye kuchinja mnataka aajiri mtu wa kuchinja kisa tu dini yake ? Hapana aiseee, niny chagueni mle nyama mnyamaze, au msile kabisa,

Halafu mbona samaki mnakula na wale vibudu? Au samaki sio nyama ? Au na wenyewe hadi avue muislam?

Sausage za ulaya je vipi nazo? Tuache kucomplicate maisha aiseee
Mada ni wapi imetaja muislamu?
 
Back
Top Bottom