TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,763
- 11,873
Kuku asiliwe..Kama hakuna mwanaume hapo mahali, nini kifanyike?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuku asiliwe..Kama hakuna mwanaume hapo mahali, nini kifanyike?
Wape faida wana!kitalamu zipo njia kama tatu za uchinjaji ndugu halafu pia humo ndani yake zimegawanyika
Hatuchomwi moto kabisa. Watu wote mko salamaWew kula nyama bana,
Kwani dhambi ngapi tunatenda,
Tunazini, tunadanganya,
Hakuna atakaechomwa moto kisa kula vibudu, tutachomwa moto kisa uzinzi, uongo, uchawi, masengenyo na dhambi ka hizo
ni darasa pana kidogo japo kwa ufupi kuna njia ya kuwa piga kichwani wazirai hii hutumika kwenye maeneo ya uchinjaji wa namba kubwa ya wanyama au ndege,njia ya kitamaduni kwa hapa kwetu wamasai hutumia kwa kuwatoboa wanyama hata kule uchagani hutengeneza ndafu kwa njia hiyo, kisha kuna njia ya kiislamu hii hufuata muongozo wa dini ya kislamuWape faida wana!
Basi msile mahotelini tuoneAsilimia kubwa ya kuku wa mahotelini wengi wao huchinjwa na wanawake aidha kunyongwa shingo au kutiwa kwenye maji moto wakiwa hai ambapo baadaye hukatwa vichwa au kushikwa mwili na kichwa Maria au Grace akachinja bila wasiwasi.
Maana kwa kuwa watu ni wabishi, fanyeni utafiti. Kwa wale wafia dini je, hii ni halali kuku kuchinjwa na wanawake? Ndivyo vitabu vinavyo tuelekeza?
Hayo mambo ya sijui vibudu ni mapokeo tu yasiyo na mantiki. Kila mtu ruksa kuchinja mnyama wake. Kwanini mlazimishie mambo yenu ya dini kwa kila mtu?
Hasa pande za makobazi.Watu wamekua wajinga na hizo dini zao
Hotelini vipo vingi vya kula zaidi ya kuku!Basi msile mahotelini tuone
Umeeleza vyema ila kidogo ni wa maria kuwa ndio mkamata kisu!ni darasa pana kidogo japo kwa ufupi kuna njia ya kuwa piga kichwani wazirai hii hutumika kwenye maeneo ya uchinjaji wa namba kubwa ya wanyama au ndege,njia ya kitamaduni kwa hapa kwetu wamasai hutumia kwa kuwatoboa wanyama hata kule uchagani hutengeneza ndafu kwa njia hiyo, kisha kuna njia ya kiislamu hii hufuata muongozo wa dini ya kislamu
Analiwa vizuri mbona.Kuku asiliwe..
Iwe mzoga au ya kima!Nyama ni nyama tu
AnaruhusiwaHaruhusiwi!
Wewe kula mkuu ng'ombe wa kufia kwenye lorry wa kufia kwenye matenga!Mbna mm dem wangu alikuwa anachinja kuku
Hakika kabisa ila maria ndio amvute shingo!Mmili wa Hotel hamlazimishi mtu kwenda kula chakula kilichoandaliwa pale.
Umegundua hicho kitu upo sahihi mafukara wa mitandaoni hupenda kujifaharisha!Kuna muda najiskia fahari kuwa kama nilivyo kwani sipangiwi na mtu cha kufanya kisa imani huwa naamini katika mizimu ya kwetu tu.
Kwangu bia ruksa, kitimoto twende kazi huku nasukuma na castle lite kidg, kambale nagonga na malaya akipita naruka naye mara moja moja maisha ndio haya haya.
Afu nmekuja kugundua masikini ndio wameshika imani kuliko kawaida yupo radhi akutoe ngeo ili tu kulinda imani yake
bora hata wamechinjwa na hao wanawake,wanaume tuko bizeAsilimia kubwa ya kuku wa mahotelini wengi wao huchinjwa na wanawake aidha kunyongwa shingo au kutiwa kwenye maji moto wakiwa hai ambapo baadaye hukatwa vichwa au kushikwa mwili na kichwa Maria au Grace akachinja bila wasiwasi.
Maana kwa kuwa watu ni wabishi, fanyeni utafiti. Kwa wale wafia dini je, hii ni halali kuku kuchinjwa na wanawake? Ndivyo vitabu vinavyo tuelekeza?
Miskiti mingapi hapo ulipo watu wamejilipua kwa kutumwa na imamu!Kuna watu hawana dini ila sio mashoga
Mi naona wewe kiwango chako cha akili hakiendani na falsafa yangu.
Maisha mema,
Subiria imam akuambie ukajiripue kanisani ili ukienda kuzimu upate mabikra 72
Hatari sana!bora hata wamechinjwa na hao wanawake,wanaume tuko bize