Kuku wanaopikwa hotelini asilimia kubwa ni vibudu ambao huchinjwa na wanawake!

Kuku wanaopikwa hotelini asilimia kubwa ni vibudu ambao huchinjwa na wanawake!

Wote tunajua ni kina nani wana sheria za kuchinja,
Kuna mkristo anaehangaika na kama nyama imechinjwa na mwanamke au mwanaume? Au sijui alinyongwa au vipi ? Tuwe wa wazi tu ndugu
Unataka kusema wakristo wamehalalishiwa kula vibudu na mizoga!
 
Asilimia kubwa ya kuku wa mahotelini wengi wao huchinjwa na wanawake aidha kunyongwa shingo au kutiwa kwenye maji moto wakiwa hai ambapo baadaye hukatwa vichwa au kushikwa mwili na kichwa Maria au Grace akachinja bila wasiwasi.

Maana kwa kuwa watu ni wabishi, fanyeni utafiti. Kwa wale wafia dini je, hii ni halali kuku kuchinjwa na wanawake? Ndivyo vitabu vinavyo tuelekeza?
Daaah aisee tuna safari ndefu bado kufika .
 
Asilimia kubwa ya kuku wa mahotelini wengi wao huchinjwa na wanawake aidha kunyongwa shingo au kutiwa kwenye maji moto wakiwa hai ambapo baadaye hukatwa vichwa au kushikwa mwili na kichwa Maria au Grace akachinja bila wasiwasi.

Maana kwa kuwa watu ni wabishi, fanyeni utafiti. Kwa wale wafia dini je, hii ni halali kuku kuchinjwa na wanawake? Ndivyo vitabu vinavyo tuelekeza?
Who cares? Akichinja inakuwa na sumu au inaoza? We kula nyama kiongozi, haya mengine ni human construction tu hayabadilishi lolote kwenye mboga. Kuleni kuku ni cheap proteins mwili unazihitaji sana. Fikiria nchi ikifikiwa watu milioni 100 nani atachinja kaka?, ni mashine tu na hazijui kibla wala dua za kufikirika. Saudia wenyewe wanachinja kwa mashine kulisha watalii (mahujaji) msimu wao wa high season (kuhiji)

Mboga na dini havina uhusiano, yani mbalimbali kabisa
 
Asilimia kubwa ya kuku wa mahotelini wengi wao huchinjwa na wanawake aidha kunyongwa shingo au kutiwa kwenye maji moto wakiwa hai ambapo baadaye hukatwa vichwa au kushikwa mwili na kichwa Maria au Grace akachinja bila wasiwasi.

Maana kwa kuwa watu ni wabishi, fanyeni utafiti. Kwa wale wafia dini je, hii ni halali kuku kuchinjwa na wanawake? Ndivyo vitabu vinavyo tuelekeza?
Usichunguze sana mkuu utakuja kuumia moyo siku kwa tabia za kuchunguza na kuleta imani Kila sehemu

ndo maana kuna kitu kinaitwa P. E. S. T. E. L Yan Political,Economical, social, Technological, Ethical, Legal

afu kuna
S. W O. T analysis Yan Strength, weakness, opportunity na threat

Kupitia hvi Dunia ndo inakamilika
Kwahiyo "hakuna kitu kikamilifu" Take care
 
Mambo mengi yanafanyika siku hizi kwenye misosi ukianza kuwaza hutakuka kitu, mfano siku hizi kuna mboga zinawekewa mbolea ya kinyesu na nywele za raia
 
Asilimia kubwa ya kuku wa mahotelini wengi wao huchinjwa na wanawake aidha kunyongwa shingo au kutiwa kwenye maji moto wakiwa hai ambapo baadaye hukatwa vichwa au kushikwa mwili na kichwa Maria au Grace akachinja bila wasiwasi.

Maana kwa kuwa watu ni wabishi, fanyeni utafiti. Kwa wale wafia dini je, hii ni halali kuku kuchinjwa na wanawake? Ndivyo vitabu vinavyo tuelekeza?
Wafia dini wengi wanakula haramu (kitimoto) natupo nao humu vijiweni. Itoshe kusema pia kwenye sikukuu za makafiri wakialikwa wanakula nyama za kuku kwa kubugia bila kuuliza ni nani amechinja. Sasa watawezaje kunyoosha vidole kwenye kula kibudu?
 
Asilimia kubwa ya kuku wa mahotelini wengi wao huchinjwa na wanawake aidha kunyongwa shingo au kutiwa kwenye maji moto wakiwa hai ambapo baadaye hukatwa vichwa au kushikwa mwili na kichwa Maria au Grace akachinja bila wasiwasi.

Maana kwa kuwa watu ni wabishi, fanyeni utafiti. Kwa wale wafia dini je, hii ni halali kuku kuchinjwa na wanawake? Ndivyo vitabu vinavyo tuelekeza?
Na bado hata kitimoto watakula tu....mwaka wa kufosi,, ngoja nimwambie dada Grace pale kwenye mapande ya nyama ya ng'ombe aongezee na finyango kadhaa za kitimoto zi dilute kwenye mchuzi
 
Asilimia kubwa ya kuku wa mahotelini wengi wao huchinjwa na wanawake aidha kunyongwa shingo au kutiwa kwenye maji moto wakiwa hai ambapo baadaye hukatwa vichwa au kushikwa mwili na kichwa Maria au Grace akachinja bila wasiwasi.

Maana kwa kuwa watu ni wabishi, fanyeni utafiti. Kwa wale wafia dini je, hii ni halali kuku kuchinjwa na wanawake? Ndivyo vitabu vinavyo tuelekeza?
Ulifanya uchafu mwingi ikiwa ni pamoja na kuiba fedha pale DARUSO leo ndio unakumbuka maandiko!
 
Asilimia kubwa ya kuku wa mahotelini wengi wao huchinjwa na wanawake aidha kunyongwa shingo au kutiwa kwenye maji moto wakiwa hai ambapo baadaye hukatwa vichwa au kushikwa mwili na kichwa Maria au Grace akachinja bila wasiwasi.

Maana kwa kuwa watu ni wabishi, fanyeni utafiti. Kwa wale wafia dini je, hii ni halali kuku kuchinjwa na wanawake? Ndivyo vitabu vinavyo tuelekeza?
Kibudu siyo kuku au mnyama yoyote aliye chinjwa na mwanamke au asiye muislamu ...kibudu ni kuku au mnyama yeyote anayeliwa aliye kufa kabla ya kuchinjwa
 
Sitasahau kuna siku tuliembelewa na mgeni muislamu, nikapewa jukumu la kuchinja kuku, yule mgeni baada ya kuona mimi ndio nimechinja kuku baadae aligoma kula, kimoyo moyo nili enjoy sana, mtu anatandika bia kama hana akili nzuri alafu kwenye kutafuna kitoweo anajifanya muislam safi
 
Asilimia kubwa ni vijana wanaoiba usiku kwenye mabanda na kuwanyonga
Kabla ya Alfajiri wanaanza kusambaza kama makampuni makubwa
Kina mama wanakuwa tayari wamechemsha maji ni kuuliza wangapi
Dogo anatupia kwenye sufuria
Hili lilikuwa kwenye mahakama ya wilaya
 
Kwa kujiona wajanja ndio maana leo hii watu wa jinsia moja wanaona ndugu wa damu wanatafunana kwa kuwa tu kufuata dini ni ushamba!
Kuna watu hawana dini ila sio mashoga

Mi naona wewe kiwango chako cha akili hakiendani na falsafa yangu.

Maisha mema,

Subiria imam akuambie ukajiripue kanisani ili ukienda kuzimu upate mabikra 72
 
Kuna muda najiskia fahari kuwa kama nilivyo kwani sipangiwi na mtu cha kufanya kisa imani huwa naamini katika mizimu ya kwetu tu.
Kwangu bia ruksa, kitimoto twende kazi huku nasukuma na castle lite kidg, kambale nagonga na malaya akipita naruka naye mara moja moja maisha ndio haya haya.
Afu nmekuja kugundua masikini ndio wameshika imani kuliko kawaida yupo radhi akutoe ngeo ili tu kulinda imani yake
 
Back
Top Bottom