Uchaguzi 2020 Kukubalika kwa Rais Magufuli/CCM: Kishindo cha asilimia 99.9% ni mawingu tu ya dalili, mvua ni 2020, ni lele tu, ngoma ni 2020!

Uchaguzi 2020 Kukubalika kwa Rais Magufuli/CCM: Kishindo cha asilimia 99.9% ni mawingu tu ya dalili, mvua ni 2020, ni lele tu, ngoma ni 2020!

kama anagombea tena, atakuwa ni pandikizi la CCM.
Maana ataneutralize mioyo ya watu wengi wenye kupenda upinzani hivyo kutanua goli la Ushindi wa CCM
Kugombea ni haki ya kila mwanachama, kwanini awe pandikizi la CCM kwa kutumia haki yake kugombea?! Muhimu ni uchaguzi kufanyika kwa haki na mshindi apatikane kwa kura si kwa mizengwe.
 
Wanabodi,

Kuna msemo wa Waswahili usemao, " Mwanzo wa ngoma ni lele" na "Dalili ya Mvua ni Mawingu". Tukubali, tukatae, huu ushindi wa kishindo cha Magufuli, cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, ni mawingu tuu ya dalili za mvua, lakini mvua yenyewe ni Uchaguzi Mkuu wa 2020, na kama hizi kelele ni kelele za ngoma, then hii ni lele tuu, ngoma yenyewe ni 2020!.

Leo tena nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambapo makala ya leo inajikita kwenye swali

Je Wajua Kuwa Hiki Kishindo cha Ushindi wa CCM, Kushinda kwa Asilimia 99.9% Kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni Mwanzo Tuuz?, Kazi Yenyewe Haswa Kukamilika Uchaguzi Mkuu wa 2020?. Jee Huu Sasa ni Uthibitisho wa Rais Magufuli na CCM Kukubalika Sana na Wananchi?. Kufuatia Kukubalika Huku, Kweli Kuna Haja ya Kufanya Uchaguzi 2020?, or Lets Just Save Time, Money and Resources Kwa Kutokufanya Uchaguzi? Rais Magufuli na Watakao Teuliwa na CCM watangazwe tuu moja kwa moja?

Au kwa vile kufanya uchaguzi ni takwa la kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, 2020 tufanyie tuu Uchanguzi Mkuu hata kama ni igizo tuu la uchaguzi lakini as of now tayari mshindi ni CCM kwa precedence ya matokeo ya uchaguzi huu wa serikali za mitaa?.

Naomba kwanza nianze kwa kukipongeza Chama Cha Mapinduzi, CCM kwa ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kishindo hiki mimi nakiita ni "Kishindo cha Kasi ya Magufuli" na ni uthibitisho wa
Kukubalika kwa chama cha siasa kwa wananchi na hupimwa kwa idadi ya kura wananchi wanazokipigia chama fulani, na ushindi hutangazwa mwisho wa mashindano, anayetangazwa mshindi, ndie mshindi halali kwa mujibu wa kanuni ya "the end justifies the means", naomba sote tukubaliane CCM ndie mshindi halali regardless uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, mshindi ni mshindi, "the winner takes it all, the loser standing small" hongera sana CCM, Hongera Rais Magufuli, Hongera Watanzania kuikubali sana CCM, kumkubali Rais Magufuli.

Uchaguzi huru na wa haki ndicho kipimo pekee cha kupima kukubalika huku, lakini pale ambapo chama kimepata ushindi wa kishindo kwa asilimia 99.9%, ila ni kwa ushindi wa mezani, watu hawakupiga kura baada ya timu pinzani kuweka mpira kwapani, hivyo aliyebaki anatangazwa mshindi halali kwa kupitia bila kupingwa kwenye uchaguzi huru na wa haki, sasa sijui kama kule kutopiga kura kuchagua nako ndiko kukubalika kwenyewe lakini maadam kwa matokeo ya mwisho mshindi ni CCM, then CCM imekubalika.

Inaendelea...
Ila Wewe unakera. Ukabila wako unakupofusha. Hivi unaweza kusifia ushindi wa kishindo wakati hakuna aliyekuwa anashindana naye? Unakera aisee. Tukisema njaa mnakasirika. Unadhani unaweza kuchukua nafasi ya Msigwa pale? Acha hayo. Unaandika utadhani hujasoma. Hayo wasifie mambumbumbu wataeleweka. Umekera. Ingekuwa kwenye group la whatsApp tungesema utolewe tu. Una bahati.
 
Uchaguzi wa tume haungiliki kirahisi! HUU wa mitaa unasimamiwa na SERIKALI ndio maana hivyo CCM haitoshinda kwa 98%

Hakuna taasisi yoyote inayofanya kazi hivi sasa bila kutii amri na utashi wa rais. Tena hiyo tume ya uchaguzi ndio uji kabisa.
 
Wanabodi,

Kuna msemo wa Waswahili usemao, " Mwanzo wa ngoma ni lele" na "Dalili ya Mvua ni Mawingu". Tukubali, tukatae, huu ushindi wa kishindo cha Magufuli, cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, ni mawingu tuu ya dalili za mvua, lakini mvua yenyewe ni Uchaguzi Mkuu wa 2020, na kama hizi kelele ni kelele za ngoma, then hii ni lele tuu, ngoma yenyewe ni 2020!.

Leo tena nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambapo makala ya leo inajikita kwenye swali

Je Wajua Kuwa Hiki Kishindo cha Ushindi wa CCM, Kushinda kwa Asilimia 99.9% Kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni Mwanzo Tuuz?, Kazi Yenyewe Haswa Kukamilika Uchaguzi Mkuu wa 2020?. Jee Huu Sasa ni Uthibitisho wa Rais Magufuli na CCM Kukubalika Sana na Wananchi?. Kufuatia Kukubalika Huku, Kweli Kuna Haja ya Kufanya Uchaguzi 2020?, or Lets Just Save Time, Money and Resources Kwa Kutokufanya Uchaguzi? Rais Magufuli na Watakao Teuliwa na CCM watangazwe tuu moja kwa moja?

Au kwa vile kufanya uchaguzi ni takwa la kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, 2020 tufanyie tuu Uchanguzi Mkuu hata kama ni igizo tuu la uchaguzi lakini as of now tayari mshindi ni CCM kwa precedence ya matokeo ya uchaguzi huu wa serikali za mitaa?.

Naomba kwanza nianze kwa kukipongeza Chama Cha Mapinduzi, CCM kwa ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kishindo hiki mimi nakiita ni "Kishindo cha Kasi ya Magufuli" na ni uthibitisho wa
Kukubalika kwa chama cha siasa kwa wananchi na hupimwa kwa idadi ya kura wananchi wanazokipigia chama fulani, na ushindi hutangazwa mwisho wa mashindano, anayetangazwa mshindi, ndie mshindi halali kwa mujibu wa kanuni ya "the end justifies the means", naomba sote tukubaliane CCM ndie mshindi halali regardless uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, mshindi ni mshindi, "the winner takes it all, the loser standing small" hongera sana CCM, Hongera Rais Magufuli, Hongera Watanzania kuikubali sana CCM, kumkubali Rais Magufuli.

Uchaguzi huru na wa haki ndicho kipimo pekee cha kupima kukubalika huku, lakini pale ambapo chama kimepata ushindi wa kishindo kwa asilimia 99.9%, ila ni kwa ushindi wa mezani, watu hawakupiga kura baada ya timu pinzani kuweka mpira kwapani, hivyo aliyebaki anatangazwa mshindi halali kwa kupitia bila kupingwa kwenye uchaguzi huru na wa haki, sasa sijui kama kule kutopiga kura kuchagua nako ndiko kukubalika kwenyewe lakini maadam kwa matokeo ya mwisho mshindi ni CCM, then CCM imekubalika.

Inaendelea...
Wajinga,waporaji,mafisadi,washamba wameshinda kwa 99.9% uchafuzi wa serikali za mitaa
tapatalk_1574876793074.jpeg
 
Ila Wewe unakera. Ukabila wako unakupofusha. Hivi unaweza kusifia ushindi wa kishindo wakati hakuna aliyekuwa anashindana naye? Unakera aisee. Tukisema njaa mnakasirika. Unadhani unaweza kuchukua nafasi ya Msigwa pale? Acha hayo. Unaandika utadhani hujasoma. Hayo wasifie mambumbumbu wataeleweka. Umekera. Ingekuwa kwenye group la whatsApp tungesema utolewe tu. Una bahati.
Hujamwelewa Paskali Soma vizuri Ukiwa umetulia utamuelewa vizuri sana
 
Kugombea ni haki ya kila mwanachama, kwanini awe pandikizi la CCM kwa kutumia haki yake kugombea?! Muhimu ni uchaguzi kufanyika kwa haki na mshindi apatikane kwa kura si kwa mizengwe.
haki isiyozingatia matunda ya kupata haki hiyo
 
Ni watu wachache wenye kuelewa falsafa ya MAYALA katika uandishi wake. Mara nyingi watu wanasoma kama wasomao hadithi bila kuchenjua kilichomo ndani ya mistari. Kwa kufanya hivyo mnazifikiria makala zake pamoja naye binafsi ndivyo sivyo!

Sawa Mkuu.
 
Wanabodi,

Kuna msemo wa Waswahili usemao, " Mwanzo wa ngoma ni lele" na "Dalili ya Mvua ni Mawingu". Tukubali, tukatae, huu ushindi wa kishindo cha Magufuli, cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, ni mawingu tuu ya dalili za mvua, lakini mvua yenyewe ni Uchaguzi Mkuu wa 2020, na kama hizi kelele ni kelele za ngoma, then hii ni lele tuu, ngoma yenyewe ni 2020!.

Leo tena nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambapo makala ya leo inajikita kwenye swali

Je Wajua Kuwa Hiki Kishindo cha Ushindi wa CCM, Kushinda kwa Asilimia 99.9% Kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni Mwanzo Tuuz?, Kazi Yenyewe Haswa Kukamilika Uchaguzi Mkuu wa 2020?. Jee Huu Sasa ni Uthibitisho wa Rais Magufuli na CCM Kukubalika Sana na Wananchi?. Kufuatia Kukubalika Huku, Kweli Kuna Haja ya Kufanya Uchaguzi 2020?, or Lets Just Save Time, Money and Resources Kwa Kutokufanya Uchaguzi? Rais Magufuli na Watakao Teuliwa na CCM watangazwe tuu moja kwa moja?

Au kwa vile kufanya uchaguzi ni takwa la kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, 2020 tufanyie tuu Uchanguzi Mkuu hata kama ni igizo tuu la uchaguzi lakini as of now tayari mshindi ni CCM kwa precedence ya matokeo ya uchaguzi huu wa serikali za mitaa?.

Naomba kwanza nianze kwa kukipongeza Chama Cha Mapinduzi, CCM kwa ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kishindo hiki mimi nakiita ni "Kishindo cha Kasi ya Magufuli" na ni uthibitisho wa
Kukubalika kwa chama cha siasa kwa wananchi na hupimwa kwa idadi ya kura wananchi wanazokipigia chama fulani, na ushindi hutangazwa mwisho wa mashindano, anayetangazwa mshindi, ndie mshindi halali kwa mujibu wa kanuni ya "the end justifies the means", naomba sote tukubaliane CCM ndie mshindi halali regardless uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, mshindi ni mshindi, "the winner takes it all, the loser standing small" hongera sana CCM, Hongera Rais Magufuli, Hongera Watanzania kuikubali sana CCM, kumkubali Rais Magufuli.

Uchaguzi huru na wa haki ndicho kipimo pekee cha kupima kukubalika huku, lakini pale ambapo chama kimepata ushindi wa kishindo kwa asilimia 99.9%, ila ni kwa ushindi wa mezani, watu hawakupiga kura baada ya timu pinzani kuweka mpira kwapani, hivyo aliyebaki anatangazwa mshindi halali kwa kupitia bila kupingwa kwenye uchaguzi huru na wa haki, sasa sijui kama kule kutopiga kura kuchagua nako ndiko kukubalika kwenyewe lakini maadam kwa matokeo ya mwisho mshindi ni CCM, then CCM imekubalika.

Inaendelea...
Sidhani kama huyu aliyeandika haya ni Pascal Mayalla, account yake imekuwa hacked,hata kama anajipendeza kwa Magu, asingeweza kuandika Upupu huu.majizi hayana utu na haya hata swahibah wao mrema wamemtenda.kuwa mwanaume sio kuwa na korodani tu bali pia kuwa na misimamo ya dhati.
 
Uzuri wa mada zako kaka Paskali uwa zina mantiki na hoja fikirishi sana.
Kwa ufupi % yoyote ya ushindi wa 2020 unaweza kutafsiri hatima ya Demokrasia 2025.
Mbali na hivyo,lakini pia ni kipimo cha wananchi juu ya nini wataka kianze Je ni Demokrasia au Maendeleo.
Katika hoja za Maendeleo tayari serikali ya awamu ya Tano imekwisha pokonya hoja za wapinzania wake.
Kuhusu Demokrasia,hili ni jambo la muda tu kwani hata wale ambao wanaimba wimbo huo tayari wamekwisha sahau beti zake na kusababisha wengi wao kujiondoa kwenye vyama vinavyojinasibu kwa Demokrasia.
 
Wanabodi,

Kuna msemo wa Waswahili usemao, " Mwanzo wa ngoma ni lele" na "Dalili ya Mvua ni Mawingu". Tukubali, tukatae, huu ushindi wa kishindo cha Magufuli, cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, ni mawingu tuu ya dalili za mvua, lakini mvua yenyewe ni Uchaguzi Mkuu wa 2020, na kama hizi kelele ni kelele za ngoma, then hii ni lele tuu, ngoma yenyewe ni 2020!.

Leo tena nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambapo makala ya leo inajikita kwenye swali

Je Wajua Kuwa Hiki Kishindo cha Ushindi wa CCM, Kushinda kwa Asilimia 99.9% Kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni Mwanzo Tuuz?, Kazi Yenyewe Haswa Kukamilika Uchaguzi Mkuu wa 2020?. Jee Huu Sasa ni Uthibitisho wa Rais Magufuli na CCM Kukubalika Sana na Wananchi?. Kufuatia Kukubalika Huku, Kweli Kuna Haja ya Kufanya Uchaguzi 2020?, or Lets Just Save Time, Money and Resources Kwa Kutokufanya Uchaguzi? Rais Magufuli na Watakao Teuliwa na CCM watangazwe tuu moja kwa moja?

Au kwa vile kufanya uchaguzi ni takwa la kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, 2020 tufanyie tuu Uchanguzi Mkuu hata kama ni igizo tuu la uchaguzi lakini as of now tayari mshindi ni CCM kwa precedence ya matokeo ya uchaguzi huu wa serikali za mitaa?.

Naomba kwanza nianze kwa kukipongeza Chama Cha Mapinduzi, CCM kwa ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kishindo hiki mimi nakiita ni "Kishindo cha Kasi ya Magufuli" na ni uthibitisho wa
Kukubalika kwa chama cha siasa kwa wananchi na hupimwa kwa idadi ya kura wananchi wanazokipigia chama fulani, na ushindi hutangazwa mwisho wa mashindano, anayetangazwa mshindi, ndie mshindi halali kwa mujibu wa kanuni ya "the end justifies the means", naomba sote tukubaliane CCM ndie mshindi halali regardless uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, mshindi ni mshindi, "the winner takes it all, the loser standing small" hongera sana CCM, Hongera Rais Magufuli, Hongera Watanzania kuikubali sana CCM, kumkubali Rais Magufuli.

Uchaguzi huru na wa haki ndicho kipimo pekee cha kupima kukubalika huku, lakini pale ambapo chama kimepata ushindi wa kishindo kwa asilimia 99.9%, ila ni kwa ushindi wa mezani, watu hawakupiga kura baada ya timu pinzani kuweka mpira kwapani, hivyo aliyebaki anatangazwa mshindi halali kwa kupitia bila kupingwa kwenye uchaguzi huru na wa haki, sasa sijui kama kule kutopiga kura kuchagua nako ndiko kukubalika kwenyewe lakini maadam kwa matokeo ya mwisho mshindi ni CCM, then CCM imekubalika.

Inaendelea...
Hahahaha mkuu naona unapita njia ile ile ya Jerry Muro hadi akaukwaa ukuu wa Wilaya
 
Wanabodi,

Kuna msemo wa Waswahili usemao, " Mwanzo wa ngoma ni lele" na "Dalili ya Mvua ni Mawingu". Tukubali, tukatae, huu ushindi wa kishindo cha Magufuli, cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, ni mawingu tuu ya dalili za mvua, lakini mvua yenyewe ni Uchaguzi Mkuu wa 2020, na kama hizi kelele ni kelele za ngoma, then hii ni lele tuu, ngoma yenyewe ni 2020!.

Leo tena nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambapo makala ya leo inajikita kwenye swali

Je Wajua Kuwa Hiki Kishindo cha Ushindi wa CCM, Kushinda kwa Asilimia 99.9% Kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni Mwanzo Tuuz?, Kazi Yenyewe Haswa Kukamilika Uchaguzi Mkuu wa 2020?. Jee Huu Sasa ni Uthibitisho wa Rais Magufuli na CCM Kukubalika Sana na Wananchi?. Kufuatia Kukubalika Huku, Kweli Kuna Haja ya Kufanya Uchaguzi 2020?, or Lets Just Save Time, Money and Resources Kwa Kutokufanya Uchaguzi? Rais Magufuli na Watakao Teuliwa na CCM watangazwe tuu moja kwa moja?

Au kwa vile kufanya uchaguzi ni takwa la kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, 2020 tufanyie tuu Uchanguzi Mkuu hata kama ni igizo tuu la uchaguzi lakini as of now tayari mshindi ni CCM kwa precedence ya matokeo ya uchaguzi huu wa serikali za mitaa?.

Naomba kwanza nianze kwa kukipongeza Chama Cha Mapinduzi, CCM kwa ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kishindo hiki mimi nakiita ni "Kishindo cha Kasi ya Magufuli" na ni uthibitisho wa
Kukubalika kwa chama cha siasa kwa wananchi na hupimwa kwa idadi ya kura wananchi wanazokipigia chama fulani, na ushindi hutangazwa mwisho wa mashindano, anayetangazwa mshindi, ndie mshindi halali kwa mujibu wa kanuni ya "the end justifies the means", naomba sote tukubaliane CCM ndie mshindi halali regardless uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, mshindi ni mshindi, "the winner takes it all, the loser standing small" hongera sana CCM, Hongera Rais Magufuli, Hongera Watanzania kuikubali sana CCM, kumkubali Rais Magufuli.

Uchaguzi huru na wa haki ndicho kipimo pekee cha kupima kukubalika huku, lakini pale ambapo chama kimepata ushindi wa kishindo kwa asilimia 99.9%, ila ni kwa ushindi wa mezani, watu hawakupiga kura baada ya timu pinzani kuweka mpira kwapani, hivyo aliyebaki anatangazwa mshindi halali kwa kupitia bila kupingwa kwenye uchaguzi huru na wa haki, sasa sijui kama kule kutopiga kura kuchagua nako ndiko kukubalika kwenyewe lakini maadam kwa matokeo ya mwisho mshindi ni CCM, then CCM imekubalika.

Inaendelea...
Acha kujitoa akili mtu mzima hovyoo
 
Back
Top Bottom