Kukupa laki moja ndio umuite mume wako mwanaume suruali?

Kukupa laki moja ndio umuite mume wako mwanaume suruali?

Ndio muwape hela wake zenu.

Kama mkiwapa 10,000 ikizidi 20,000 ya masimango mtatukanwa tu hamna namna!!!!
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu hao ndo wanawake.
Ananunuliwa gari na mumewe ila anakuja kuliwa na fundi uchwara aliembadilishia tairi tu, na hapo atamponda mumewe kua hamjari.
Yaani hii gender ptuuiuuu [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Hii imekaa dizaini kama Kadi ya mwaliko hivi..

Anyways: Mkuu kama huna hela za mawazo zitoe tu,, achana na hayo mengine hayakuhusu,, ungeona huruma mumewe kutukanwa usingemchukua demu wake...

Bro Code inasema kamwe usile demu wa mshikaji....labda usitambue uwepo wake.. Acha unafiki,, kutukanwa mwamba ndio furaha yako,, angeheshimiwa wewe usingepata uchi.
 
Igwee!

Ni pisi Kali sikatai. Mtoto mweupe pee! Mtoto kanyooka vibaya mno. Kiuno Dondora. Yakamshinda nikatema sumu ya king cobra, mtoto chaliii miguu juu macho rebwerebwe. Tukapanga siku yakukutana ili nimnyandue, siku ikafikia. Toto likasema halina nauli, nikamuagizia Bolt, mtoto akaletwaakaliwa kimasikhara.


Hamisa umenikera Sana! Hata kama shombeshombe lakini unaakili za kicherema.
Watoa laki wana dimensions zao kwanza wanaparameters simple sana, kauli mbiu kila mmoja ashinde mechi zake
 
😊😊😊

Hujanikamata bado.

Round hii nitakupa Laki tano ili umuite nguruwe 😀😀

Ila ninyi Wabaya Sana.
Uwiii ukinipa hiyo laki tano si ndo namuacha kabisa🤣🤣🤣
 
Igwee!

Ni pisi Kali sikatai. Mtoto mweupe pee! Mtoto kanyooka vibaya mno. Kiuno Dondora. Yakamshinda nikatema sumu ya king cobra, mtoto chaliii miguu juu macho rebwerebwe. Tukapanga siku yakukutana ili nimnyandue, siku ikafikia. Toto likasema halina nauli, nikamuagizia Bolt, mtoto akaletwa akaliwa kimasikhara.



Hamisa umenikera Sana! Hata kama shombeshombe lakini unaakili za kicherema.
Wauni bana hhahhha
 
Kweli watu wapo mjini kutafuta pesa na wanazipata.
Kuna mwingine huko kalipishwa pesa ya maana kuwekewa facebook.
 
Igwee!

Ni pisi Kali sikatai. Mtoto mweupe pee! Mtoto kanyooka vibaya mno. Kiuno Dondora. Yakamshinda nikatema sumu ya king cobra, mtoto chaliii miguu juu macho rebwerebwe. Tukapanga siku yakukutana ili nimnyandue, siku ikafikia. Toto likasema halina nauli, nikamuagizia Bolt, mtoto akaletwa akaliwa kimasikhara.

Huyo mtoto sijui nimueleze vipi. Mtamu balaa! Baada ya kumaliza mchezo nikampa Laki moja kwa furaha niliyoipata. Mtoto Acha aanze kumponda mume wake. Ati ni mwanaume suruali. Kisa tangu aolewe hajawahi kupewa laki Moja. Nikaona huyu ananijaza ili niingie mkenge nikamwambia aache kunichocha. Akatoa simu kunithibitishia. Kwa kweli nilisikitika mno.

Sasa nauliza, hivi inakuwaje mtu anakupa laki moja ndio iwe kigezo cha kumtukana mumeo matusi yote Yale ilhali yeye ndiye anakutunza hata Kama anatoa Mia mbili! Mia mbili!

Sisi ni wahuni wakupita tuu! Ni matunda ya msimu.

Hamisa umenikera Sana! Hata kama shombeshombe lakini unaakili za kicherema.
Ungerudia kupiga raundi nyingine halafu umwambie ..."nitukanie Fulani,fulani na fulani"...!Ungeshangaa!
 
Back
Top Bottom