Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni katika kukusifia tu nikajikuta nampondea mahabuba wangu. Ila sikumaanisha🤣🤣🤣Kwa nini lakini ufanye hayo
emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mwanaume soksiMtu mwingine akitokea na kumpa laki 1.5 wewe utakuwa mwanaume soksi.
Yaani hii gender ptuuiuuu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu hao ndo wanawake.
Ananunuliwa gari na mumewe ila anakuja kuliwa na fundi uchwara aliembadilishia tairi tu, na hapo atamponda mumewe kua hamjari.
Watoa laki wana dimensions zao kwanza wanaparameters simple sana, kauli mbiu kila mmoja ashinde mechi zakeIgwee!
Ni pisi Kali sikatai. Mtoto mweupe pee! Mtoto kanyooka vibaya mno. Kiuno Dondora. Yakamshinda nikatema sumu ya king cobra, mtoto chaliii miguu juu macho rebwerebwe. Tukapanga siku yakukutana ili nimnyandue, siku ikafikia. Toto likasema halina nauli, nikamuagizia Bolt, mtoto akaletwaakaliwa kimasikhara.
Hamisa umenikera Sana! Hata kama shombeshombe lakini unaakili za kicherema.
Uwiii ukinipa hiyo laki tano si ndo namuacha kabisa🤣🤣🤣😊😊😊
Hujanikamata bado.
Round hii nitakupa Laki tano ili umuite nguruwe 😀😀
Ila ninyi Wabaya Sana.
Wauni bana hhahhhaIgwee!
Ni pisi Kali sikatai. Mtoto mweupe pee! Mtoto kanyooka vibaya mno. Kiuno Dondora. Yakamshinda nikatema sumu ya king cobra, mtoto chaliii miguu juu macho rebwerebwe. Tukapanga siku yakukutana ili nimnyandue, siku ikafikia. Toto likasema halina nauli, nikamuagizia Bolt, mtoto akaletwa akaliwa kimasikhara.
Hamisa umenikera Sana! Hata kama shombeshombe lakini unaakili za kicherema.
Ungerudia kupiga raundi nyingine halafu umwambie ..."nitukanie Fulani,fulani na fulani"...!Ungeshangaa!Igwee!
Ni pisi Kali sikatai. Mtoto mweupe pee! Mtoto kanyooka vibaya mno. Kiuno Dondora. Yakamshinda nikatema sumu ya king cobra, mtoto chaliii miguu juu macho rebwerebwe. Tukapanga siku yakukutana ili nimnyandue, siku ikafikia. Toto likasema halina nauli, nikamuagizia Bolt, mtoto akaletwa akaliwa kimasikhara.
Huyo mtoto sijui nimueleze vipi. Mtamu balaa! Baada ya kumaliza mchezo nikampa Laki moja kwa furaha niliyoipata. Mtoto Acha aanze kumponda mume wake. Ati ni mwanaume suruali. Kisa tangu aolewe hajawahi kupewa laki Moja. Nikaona huyu ananijaza ili niingie mkenge nikamwambia aache kunichocha. Akatoa simu kunithibitishia. Kwa kweli nilisikitika mno.
Sasa nauliza, hivi inakuwaje mtu anakupa laki moja ndio iwe kigezo cha kumtukana mumeo matusi yote Yale ilhali yeye ndiye anakutunza hata Kama anatoa Mia mbili! Mia mbili!
Sisi ni wahuni wakupita tuu! Ni matunda ya msimu.
Hamisa umenikera Sana! Hata kama shombeshombe lakini unaakili za kicherema.