Kukupa laki moja ndio umuite mume wako mwanaume suruali?

Kukupa laki moja ndio umuite mume wako mwanaume suruali?

Bila shaka mleta mada atakuwa ndio kafika mjini! Tumwambie ukweli au tumwache ?
 
Igwee!

Ni pisi Kali sikatai. Mtoto mweupe pee! Mtoto kanyooka vibaya mno. Kiuno Dondora. Yakamshinda nikatema sumu ya king cobra, mtoto chaliii miguu juu macho rebwerebwe. Tukapanga siku yakukutana ili nimnyandue, siku ikafikia. Toto likasema halina nauli, nikamuagizia Bolt, mtoto akaletwa akaliwa kimasikhara.

Huyo mtoto sijui nimueleze vipi. Mtamu balaa! Baada ya kumaliza mchezo nikampa Laki moja kwa furaha niliyoipata. Mtoto Acha aanze kumponda mume wake. Ati ni mwanaume suruali. Kisa tangu aolewe hajawahi kupewa laki Moja. Nikaona huyu ananijaza ili niingie mkenge nikamwambia aache kunichocha. Akatoa simu kunithibitishia. Kwa kweli nilisikitika mno.

Sasa nauliza, hivi inakuwaje mtu anakupa laki moja ndio iwe kigezo cha kumtukana mumeo matusi yote Yale ilhali yeye ndiye anakutunza hata Kama anatoa Mia mbili! Mia mbili!

Sisi ni wahuni wakupita tuu! Ni matunda ya msimu.

Hamisa umenikera Sana! Hata kama shombeshombe lakini unaakili za kicherema.
Watu uhesabu wanachokiona muda huo anasahau kuwa gharama anayoingia mumewe ni kubwa sana kuliko hiyo one time laki.
Umesema ni mrembo ikiwa ina maana anapata matunzo kama nguo, mafuta, kusuka, na mengine la sivyo angeonelana mchafu mchafu kachakaa. Hiyo ni gharama lakini yeye hahesabu.
Ndio maana unaweza mnunulia mwanamke gari milion 18, akaja kuona aliyemwekea mafuta ya 40,000 ndo wa maana. 🤣🤣🤣
 
Igwee!

Ni pisi Kali sikatai. Mtoto mweupe pee! Mtoto kanyooka vibaya mno. Kiuno Dondora. Yakamshinda nikatema sumu ya king cobra, mtoto chaliii miguu juu macho rebwerebwe. Tukapanga siku yakukutana ili nimnyandue, siku ikafikia. Toto likasema halina nauli, nikamuagizia Bolt, mtoto akaletwa akaliwa kimasikhara.

Huyo mtoto sijui nimueleze vipi. Mtamu balaa! Baada ya kumaliza mchezo nikampa Laki moja kwa furaha niliyoipata. Mtoto Acha aanze kumponda mume wake. Ati ni mwanaume suruali. Kisa tangu aolewe hajawahi kupewa laki Moja. Nikaona huyu ananijaza ili niingie mkenge nikamwambia aache kunichocha. Akatoa simu kunithibitishia. Kwa kweli nilisikitika mno.

Sasa nauliza, hivi inakuwaje mtu anakupa laki moja ndio iwe kigezo cha kumtukana mumeo matusi yote Yale ilhali yeye ndiye anakutunza hata Kama anatoa Mia mbili! Mia mbili!

Sisi ni wahuni wakupita tuu! Ni matunda ya msimu.

Hamisa umenikera Sana! Hata kama shombeshombe lakini unaakili za kicherema.
Duuh
 
Back
Top Bottom