Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke wa mtu hanaga hizo tabiaMke wa mtu unamuita wa jumuiya kisa kakutana na sumu ya Cobra??
Watu uhesabu wanachokiona muda huo anasahau kuwa gharama anayoingia mumewe ni kubwa sana kuliko hiyo one time laki.Igwee!
Ni pisi Kali sikatai. Mtoto mweupe pee! Mtoto kanyooka vibaya mno. Kiuno Dondora. Yakamshinda nikatema sumu ya king cobra, mtoto chaliii miguu juu macho rebwerebwe. Tukapanga siku yakukutana ili nimnyandue, siku ikafikia. Toto likasema halina nauli, nikamuagizia Bolt, mtoto akaletwa akaliwa kimasikhara.
Huyo mtoto sijui nimueleze vipi. Mtamu balaa! Baada ya kumaliza mchezo nikampa Laki moja kwa furaha niliyoipata. Mtoto Acha aanze kumponda mume wake. Ati ni mwanaume suruali. Kisa tangu aolewe hajawahi kupewa laki Moja. Nikaona huyu ananijaza ili niingie mkenge nikamwambia aache kunichocha. Akatoa simu kunithibitishia. Kwa kweli nilisikitika mno.
Sasa nauliza, hivi inakuwaje mtu anakupa laki moja ndio iwe kigezo cha kumtukana mumeo matusi yote Yale ilhali yeye ndiye anakutunza hata Kama anatoa Mia mbili! Mia mbili!
Sisi ni wahuni wakupita tuu! Ni matunda ya msimu.
Hamisa umenikera Sana! Hata kama shombeshombe lakini unaakili za kicherema.
Hiyo huwa inatokea mkuu, unamla manzi wa mtu ila kwa akili ya huyo manzi unaishia kumsikitikia anaemmiliki.Nimemla lakini maneno yake yamenichoma Mno.
DuuhIgwee!
Ni pisi Kali sikatai. Mtoto mweupe pee! Mtoto kanyooka vibaya mno. Kiuno Dondora. Yakamshinda nikatema sumu ya king cobra, mtoto chaliii miguu juu macho rebwerebwe. Tukapanga siku yakukutana ili nimnyandue, siku ikafikia. Toto likasema halina nauli, nikamuagizia Bolt, mtoto akaletwa akaliwa kimasikhara.
Huyo mtoto sijui nimueleze vipi. Mtamu balaa! Baada ya kumaliza mchezo nikampa Laki moja kwa furaha niliyoipata. Mtoto Acha aanze kumponda mume wake. Ati ni mwanaume suruali. Kisa tangu aolewe hajawahi kupewa laki Moja. Nikaona huyu ananijaza ili niingie mkenge nikamwambia aache kunichocha. Akatoa simu kunithibitishia. Kwa kweli nilisikitika mno.
Sasa nauliza, hivi inakuwaje mtu anakupa laki moja ndio iwe kigezo cha kumtukana mumeo matusi yote Yale ilhali yeye ndiye anakutunza hata Kama anatoa Mia mbili! Mia mbili!
Sisi ni wahuni wakupita tuu! Ni matunda ya msimu.
Hamisa umenikera Sana! Hata kama shombeshombe lakini unaakili za kicherema.
HahahaNa kesho akipata mwingine akampa laki tano, nawe utatukanwa kama alivyomtusi mumewe kwako!
Aiseee🤣🤣