Kukutana na soulmate wako wakati tayari una mtu na mshazaa mtoto. Je, ni sahihi kuendelea na anayekupa furaha?

Kukutana na soulmate wako wakati tayari una mtu na mshazaa mtoto. Je, ni sahihi kuendelea na anayekupa furaha?

ndonger

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2018
Posts
894
Reaction score
1,635
Wadau,

Kuna jamaa yangu anaomba ushaur.

Ni hiv..miaka miwil iliyopita alikutana na mdada single mama,(divorced) wakaanzisha mahusiano huyu single mama baada ya mwaka akapata ujauzito wa mwana.

Huyu single mama ana vitabia flan ambavyo mwana havikubal.. Anasema demu ni controling sana.hasira etc na mambo mengne ingawa wanaish kwenye mjengo wa huyo single mama.

Ishu ni kwamba mwana kakutana na mdada mwingne wamependana sana ndan ya mda mfupi .yaan sana.na mwana anahis kwamba hapo ndo amefika..na huyu mdada mpya anajua situation ya mwana kuwa ana mtu na anaishi nae na wanamtoto..

Ila dada ameridhia..dada ni mpole,mstaarabi.msomi..yaan anasifa zote .na ni mzuri pia .hana mtoto. Afya yake safi, ila pia ni divorced.

Ila mwana anafuraha sana anapokua na huyu sabab anasema wana character znaendana na wanapendana sana.

Mwana anauliza je afanyaje na anampenda huyu dada mpya kinoma noma.

Nawasilisha wadau
 
Hakuna furaha inayodumu mkuu
Tulia hapohapo...huyo soulmate nenda mgongane Rudi home...nenda tena,yaan tena...utagundua kuwa dunia hii hakuna soulmate Wala nini ni nyegemshindo tu huwa zinatusumbua.

Kama huamini waulize kinasoulmates waliooana kwa sasa hali zao zipoje
 
Ni hiv..miaka miwil iliyopita alikutana na mdada single mama,(divorced) wakaanzisha mahusiano

Huyu single mama ana vitabia flan ambavyo mwana havikubal.. Anasema demu ni controling sana.hasira etc na mambo mengne ingawa wanaish kwenye mjengo wa huyo single mama.

Ila dada ameridhia..dada ni mpole,mstaarabi.msomi..yaan anasifa zote .na ni mzuri pia .hana mtoto...afya yake safi..ila pia ni divorced.
Madogo kila siku humu tunawaeleza habari za single mothers ila mnatuona kama wakata viuno wa Akudo impact, mnajiona ninyi ni special saana. Yanayowakuta wenzenu nyie hayawei kuwakuta.

Halafu ulivyo fala ukaona uishi kabisa kwa mwanamke ambaye ni single mother, Are you Pumbu?
Na bado unalalamika eti huyo single mother ni controling. Yaani unalaza makalio kwenye nyumba ya mwanamke halafu unataka asiwe controling!We Dogo fala nini.

Maamuzi yako yanafanywa kwa Nyege(Hisia) na sio Akili. Eti umepata Soulmate hehehe.

Be a Man, wekeza nguvu katika kujiboresha na kuongeza thamani yako ili uache kulelewa na Mwanamke, acha kuhangaika na Mapenzi na ufanye vitu vya msingi ili ulee Mtoto wako.
 
ulishafanya makosa.
1. Kukaa katika Nyumba ya mwanamke.
Lazima aku control
 
Wadau,

Kuna jamaa yangu anaomba ushaur.

Ni hiv..miaka miwil iliyopita alikutana na mdada single mama,(divorced) wakaanzisha mahusiano huyu single mama baada ya mwaka akapata ujauzito wa mwana...
Huyo jamaa yako (kama siyo wewe) ni bwege mpenda kitonga na hana mapenzi yoyote na huyo single mother bali amefuata hifadhi.

Hii ndiyo maana amevutiwa na mwingine kwa haraka. Hii hutokea sana kwa single mothers wenye uwezo na ''wanaoa'' vijana wadogo kwa tamaa za mwili. Matokeo yake hao vijana hawatulii kwa sababu wako pale kwa kutaka hifadhi na siyo mapenzi.

Mwambie huyo jamaa yako (ambaye ni wewe) afanye kazi ili ajitegemee na aoe huyo anayedhani ni soul mate wake, aache kufugwa kama mbwa.
 
Wadau,

Kuna jamaa yangu anaomba ushaur.

Ni hiv..miaka miwil iliyopita alikutana na mdada single mama,(divorced) wakaanzisha mahusiano huyu single mama baada ya mwaka akapata ujauzito wa mwana...
Upo kwenye penzi jipya tu ila ukishakaa mwezi tu na huyo mdada mpya utatamani kurudi kwa huyo singo maza wako.
 
Wadau,

Kuna jamaa yangu anaomba ushaur.

Ni hiv..miaka miwil iliyopita alikutana na mdada single mama,(divorced) wakaanzisha mahusiano huyu single mama baada ya mwaka akapata ujauzito wa mwana.

Huyu single mama ana vitabia flan ambavyo mwana havikubal.. Anasema demu ni controling sana.hasira etc na mambo mengne ingawa wanaish kwenye mjengo wa huyo single mama.

Ishu ni kwamba mwana kakutana na mdada mwingne wamependana sana ndan ya mda mfupi .yaan sana.na mwana anahis kwamba hapo ndo amefika..na huyu mdada mpya anajua situation ya mwana kuwa ana mtu na anaishi nae na wanamtoto..

Ila dada ameridhia..dada ni mpole,mstaarabi.msomi..yaan anasifa zote .na ni mzuri pia .hana mtoto. Afya yake safi, ila pia ni divorced.

Ila mwana anafuraha sana anapokua na huyu sabab anasema wana character znaendana na wanapendana sana.

Mwana anauliza je afanyaje na anampenda huyu dada mpya kinoma noma.

Nawasilisha wadau
Huyo mwana ni WEWE
 
Wadau,

Kuna jamaa yangu anaomba ushaur.

Ni hiv..miaka miwil iliyopita alikutana na mdada single mama,(divorced) wakaanzisha mahusiano huyu single mama baada ya mwaka akapata ujauzito wa mwana...
Soulmate my foot!
 
Zimebaki chini ya siku mbili tufanye uchaguzi wa serikali za mitaa
1000016400.jpg
 
Back
Top Bottom