Kukwambia nakupenda sio umepata kazi tumeelewana...

Kukwambia nakupenda sio umepata kazi tumeelewana...

Unaonyesha interest kwa wanawake wangapi? Kwani ukibaki na huyo mmoja mliyechaguana hizo kero nyingine utazipata wapi?
Ukionyesha interest ya kumla mdada na wakati huna nia ya kuwa na mahusiano ya kudumu au yanayoeleweka basi usilalamike unapopigwa mizinga.
Mke au mpenzi wako halali hawezi kukupiga mizinga kiboya boya. Ukipenda kugongagonga hovyo hovyo basi jiandae kupingwa mizinga kihovyo hovyo pia.
mtatufirisi
 
GIRL> baby wiki ya pili Sasa sijaenda saluni
MWANAUME WA KWELI > nenda ukirudi utanikuta

GIRL> mmh alafu baby kuna mkoba nimeupenda
MWANAUME WA KWELI> endelea kuupenda

GIRL> jomooon basi kesho Bata Wapi MWANAUME WA KWELI> kwenye banda Lao

GIRL> enheee nikwambie Jana nilipita pale kariakoo nikaiona iPhone 7 jamani niliipenda
MWANAUME WA KWELI > kesho ntakupa nauli ukaione tena

GIRL> nna hamu yakunywa Soda
MWANAUME WA KWELI> msichana kunywa soda huo ni uzamani msichana wa Sasa anakunywa sumu

GIRL> Begi langu la nguo nililiweka wapi sijui
[emoji23][emoji23]
 
inategemeana unapondwa kiaje kama unafikishwa hadi kikeleni kilimanjaro
Nikwambie tu kuwa mpenzi wako mliokubaliana mtadumu nae milele huyo hawezi kukupiga mizinga. Uje unitake mie tuwe na mahusiano yasiyo rasmi kwanini usilipie?
Ukute mie sina shida ya sex kwa tamaa zako unataka kunila, nikupe bure ili iweje sasa? Hamna kitu km hicho..
 
Unaonyesha interest kwa wanawake wangapi? Kwani ukibaki na huyo mmoja mliyechaguana hizo kero nyingine utazipata wapi?
Ukionyesha interest ya kumla mdada na wakati huna nia ya kuwa na mahusiano ya kudumu au yanayoeleweka basi usilalamike unapopigwa mizinga.
Mke au mpenzi wako halali hawezi kukupiga mizinga kiboya boya. Ukipenda kugongagonga hovyo hovyo basi jiandae kupingwa mizinga kihovyo hovyo pia.
Hivi unadhani kila mtu akiwa na mwanamke mmoja wengine wataishije!?
We are there to share our conjugal rights.

Lakini sio nipoonesha dalili za kukaribia uanze kukamua maziwa hata ng'ombe hujui Kama kweli anatoa.
Tengeneza bomba zuri la kufyonza bhana ndio uanze kufyonza taratiiibu!!

Siku ya Kwanza tu unaanza na kizinga!!
 
Demi tatizo unamuonyesha mtu kuwa uko tayari kuoa na kutoa mahari lakin bado kwa maksudi anakufanya mradi.
Yaan ww kumwambia kuwa unampango wa kuoa ndio kama umefungua kitabu cha bank cheque ni vibomu mpaka kero.
Nikwambie tu kuwa mpenzi wako mliokubaliana mtadumu nae milele huyo hawezi kukupiga mizinga. Uje unitake mie tuwe na mahusiano yasiyo rasmi kwanini usilipie?
Ukute mie sina shida ya sex kwa tamaa zako unataka kunila, nikupe bure ili iweje sasa? Hamna kitu km hicho..
 
Nikwambie tu kuwa mpenzi wako mliokubaliana mtadumu nae milele huyo hawezi kukupiga mizinga. Uje unitake mie tuwe na mahusiano yasiyo rasmi kwanini usilipie?
Ukute mie sina shida ya sex kwa tamaa zako unataka kunila, nikupe bure ili iweje sasa? Hamna kitu km hicho..
Aisee. Taamaaa zangu nazileta kwako mrembo. Nipige vizinga vitatu tuuu.
 
Back
Top Bottom