Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Chini ndio wapiPunguzeni kupenda chini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chini ndio wapiPunguzeni kupenda chini
Mtu anaye mpenzi mzuri au mke mzuri lakini hariziki anafuta huko nje wengine kibao lazima ahudumie sizani kama mke bora anaweza fanya hayo au mpenzi bora anaweza fanya hayo, sasa mtu wapenzi 4 kila huyo atake lazima aje kulalamika humuUnaonyesha interest kwa wanawake wangapi? Kwani ukibaki na huyo mmoja mliyechaguana hizo kero nyingine utazipata wapi?
Ukionyesha interest ya kumla mdada na wakati huna nia ya kuwa na mahusiano ya kudumu au yanayoeleweka basi usilalamike unapopigwa mizinga.
Mke au mpenzi wako halali hawezi kukupiga mizinga kiboya boya. Ukipenda kugongagonga hovyo hovyo basi jiandae kupingwa mizinga kihovyo hovyo pia.
Basi tulieni na mtu 1 ili matumizi yapungue mwingine anajua kabisa hayupo pekeyake lazima atikise ATMmtatufirisi
Hivi hamuwezi kujitegemea? Unataka mwanaume akugharimie hadi pesa ya bikini!!!Aisee si Kwa majibu hayo na Kwa staili hyo wadada wazuri wote utaishia kuita shemeji tu[emoji3] [emoji3]. Mwanamke matunzoo
Pole. Basi hapo ni kuachana nae kama amezidiDemi tatizo unamuonyesha mtu kuwa uko tayari kuoa na kutoa mahari lakin bado kwa maksudi anakufanya mradi.
Yaan ww kumwambia kuwa unampango wa kuoa ndio kama umefungua kitabu cha bank cheque ni vibomu mpaka kero.
Down there mkuuChini ndio wapi
Wapambane na hali zao kwa kweliMtu anaye mpenzi mzuri au mke mzuri lakini hariziki anafuta huko nje wengine kibao lazima ahudumie sizani kama mke bora anaweza fanya hayo au mpenzi bora anaweza fanya hayo, sasa mtu wapenzi 4 kila huyo atake lazima aje kulalamika humu
Nawapambane nao huwa akikatiza mrembo hapo utasikia wakubwa wanafaidi unajiuliza yeye anashindwa nini kuwatafuta kama hao? Au ndiyo kuhudumia hakuna mwanamke mbaya bali ni matunzo tuWapambane na hali zao kwa kweli
Wanapenda ambao tayari wanao wa kuwahudumia, yaani akute mtoto mzuri, ananukia kapiga pamba kali ndo wanawataka. Hapo hajiulizi nani anagharamia. Ukiwa mchafu pia unapondwaNawapambane nao huwa akikatiza mrembo hapo utasikia wakubwa wanafaidi unajiuliza yeye anashindwa nini kuwatafuta kama hao? Au ndiyo kuhudumia hakuna mwanamke mbaya bali ni matunzo tu
Aisee si Kwa majibu hayo na Kwa staili hyo wadada wazuri wote utaishia kuita shemeji tu[emoji3] [emoji3]. Mwanamke matunzoo
Nani amtunze sasa. Sio kwamba mwanamke kujitunzaAisee si Kwa majibu hayo na Kwa staili hyo wadada wazuri wote utaishia kuita shemeji tu[emoji3] [emoji3]. Mwanamke matunzoo
Wanapenda ambao tayari wanao wa kuwahudumia, yaani akute mtoto mzuri, ananukia kapiga pamba kali ndo wanawataka. Hapo hajiulizi nani anagharamia. Ukiwa mchafu pia unapondwa
He unipondeponde bure bure?